hali

Altaf Hussain Hali (1837 – 31 December 1914) (Urdu: الطاف حسین حاؔلی‎ – Alṭāf Ḥusain Ḥālī), also known as Maulana Khawaja Hali, was an Urdu poet and a writer.

View More On Wikipedia.org
  1. Victor MG

    JamiiForums Tanzania Hali ni tete

    Hali yangu sio shwari. Kazi ndio hivyo najaribu kuomba hata vibarua lakini ni za manati. Nasubiri tu vibarua vya kulima vikianza nijitose sina namna. Muda mwingine nakosa hata hela ya vocha kweli? Najutia sana ile bidii niliyoweka huko kwenye elimu ningewekeza hata kwenye skills zingine...
  2. R

    JamiiForums Tanzania SoC03 Uhaba wa dawa na vifaa tiba ni kilio kikubwa kwa jamii ni vyema serikali kuhakikisha hali hii inakoma

    UHABA WA DAWA NA VIFAATIBA NI KILIO KIKUBWA KWA JAMII NI VYEMA SERIKALI KUHAKIKISHA HALI HII INAKOMA Utangulizi Uhaba wa dawa na vifaatiba kwenye hospitali, zahanati na vituo mbalimbali vya afya zikiwemo za serikali hapa nchini. ni hali ambayo kwa kweli bado imekuwa ni changamoto kubwa kwenye...
  3. mtwa mkulu

    JamiiForums Tanzania Kwa wanasheria tuu: Advocate Mwabukusi dhidi ya Jamuhuri mbele ya Justice Mwakusanya(as then he was) hali ingekuwaje?

    Karibuni kwa mjadala
  4. MsemajiUkweli

    JamiiForums Tanzania Kwa Rais huyu, CCM wana hali mbaya sana!

    Ilinichukua miezi mitano kufahamu kuwa Rais Samia hana maisha marefu ya kisiasa kwa sababu hana karama, kipaji na ujuzi wa uongozi. Unaweza kuukataa ukweli lakini hata kama ukiukataa hakuwezi kuubadilisha kuwa uongo. Mwl. Nyerere aliwahi kusema, “Ukweli una tabia moja nzuri sana, haujali...
  5. H

    JamiiForums Tanzania Ukiona mtandao wa simu unakupa sms 10 kwenye kifurushi cha 1500 au 2000 ujue hali ni mbaya

    Salam, mambo ni mengi kwa sasa tuendelee tu Hii mitandao ya mawasiliano sàsa naona kama iko taabani. Inaonekana inapumulia mashine ya gesi ila yanajikaza kisabuni. Yaani sms za kuhesabu sàsa hivi tofauti na zamani. Huwa nikijiunga kifurushi huwa siangalii sms ziko ngapi, huwa najua zipo tu...
  6. MK254

    JamiiForums Tanzania Putin akiri hali ngumu, Ukraine wanapelekea moto kwenye counteroffensive

    Sio kawaida kwa huyu jamaa kukiri kipigo, ukiona mpaka anaisema ujue mle kwenye medani ni kichinjio cha wanajeshi wake... Putin says Ukrainian attacks have intensified in recent days Russian president Vladimir Putin said on Thursday that Ukrainian attacks had intensified in recent days...
  7. R-K-O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baby dady Drama: Ni ngumu sana kushindana na baba wa mtoto ukianzisha mahusiano na single maza, ngumu sana!

    Unaweza ukajipa moyo kwamba waliachana kwa ugomvi na pengine baba wa mtoto hakutoa chochote tangu asikie mwanamke kapata mimba, waweza kudhani jamaa ndio basi tena kahsribu hawezi kuwa tatizo. Kiufupi ni ngumu sana mwanamke kumuacha kirahisi mwanaume aliemtunga mimba hasa ya kwanza ile...
  8. opondo

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa hali ya maisha na fursa kati ya bumbuli (mombo) na kondoa dc

    Kwa wenyeji na ambao wameshafika Maeneo hayo, Mimi ni Mwalimu Niko kigoma miaka 25 Sasa, nimepata mtu wa Kubadilishana nae mmoja kanitafuta yupo kondoa dc kata ya hondomairo Mwingine yupo bumbuli (mbelei)... huko Mimi sio mwenyeji Lakini kwa mazingira ya huku kigoma naona ni changamoto...
  9. The Dictator

    JamiiForums Tanzania KWELI Maeneo nje ya Jiji la Dar es Salaam yalikabiliwa na upungufu wa Mafuta ya Petroli mwaka 2023

    Kuna maeneo fulani nimepita ya mkoa wa dodoma wilayani huko; nimekuta kuna msururu mrefu sana wa vyombo vya moto kwenye moja ya petrol station. Nikajaribu kuuliza kuna shida gani hapa? Wenyeji wanasema mafuta ya petrol hamna kabisa wilayani hapo. Baadhi ya vituo vya mafuta vimesitisha huduma...
  10. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania TMA yatahadharisha uwepo wa El Nino kwa Asilimia 90, Oktoba 2023

    TMA imesema hadi sasa imefikia asilimia 90 ya kuwepo kwa El Nino hasa kipindi cha mvua za msimu wa vuli zinazotarajiwa kunyesha Oktoba hadi Desemba mwaka huu katika maeneo mbalimbali nchini. Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya HewaTanzania (TMA) imesema El Nino inatarajiwa kuwepo katika kipindi...
  11. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Hayati Rais Magufuli alijuaje hali halisi ya maisha ya Wananchi katika uongozi wake?

    Hayati Rais Magufuli kila alipofika kwenye ziara zake hakuangalia wale aliokaa nao karibu mezani mbele,aliangalia wananchi waliosimama kusubiria hotuba yake,aliwaangalia sura zao, na wakati mwingine alienda kuwasalimia. Hiyo ilitosha kumpa ufahamu kuwa ana jukumu kubwa la kufanya ili maisha ya...
  12. polokwane

    JamiiForums Tanzania Hii nchi kwa sasa inakosa viongozi wenye maono na tunakoelekea hali itakuwa mbaya zaidi

    Kwa sasa tuna uhaba mkubwa sana wa watu wenye maono na fikra, wengi waliopo kwa sasa kizazi hiki ni wale ambao hawaijui kuwaza ya kesho na hawana maono ya kesho. Wao wanaiwaza leo tu na mawazo yanaishia hapo na ndio maana hakuna kitu kipo katika mpangilio mzuri wa baadae kila jambo linafanyika...
  13. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa

    Unatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo? Single mama hana moyo wa kupenda tena. Hapo amekufanya wewe mwanaume...
  14. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kutoka usingizini na kudhani umechelewa kwenda shule au kazini?

    Hello, Ushawai kulala mchana ukaamka ukaona kama umechelewa kwenda shule au kazini? Mimi imeshawahi nitokea nikiwa nimelala mchana nikaamka nikaona mbona kama nimechelewa shule, nikaamka chap, nikakimbilia bafuni kuoga na kuvaa sale za shule. Sasa nikiwa navaa viatu kaka akaingia chumbani...
  15. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Sakata la BANDARI ZETU na DPW linataka kuliingiza Taifa kwenye umwagaji wa damu!?

    Cancer inapojitokeza mguuni ujue ilishasambaa sehemu kubwa ya huo mguu .. Mtu anapoumwa malaria huo ni mchakato wa zaidi ya wiki tangu siku alipoumwa na umbu mwenye vimelea! Sakata la bandari zetu na Dpw sio la jana wala la juzi lina zaidi ya mwaka! Limekuja kuwa wazi baada ya hatua za...
  16. Sildenafil Citrate

    JamiiForums Tanzania Jerry Silaa: Watu wote wanaozungumza kwa kufoka kwenye suala la Mkataba wa DP World wamenunuliwa

    Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa anazungumza na waandishi wa habari Muda huu kuhusu sakata la Bandari na uwekezaji wa DP World. === Kuna watu wanatumika kwa maslahi yao binafsi kumuondoa kwenye reli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye utendaji wake wa kazi...
  17. S

    JamiiForums Tanzania Huu ni upendo wa hali ya juu

    Nimekaa nimetafakari nimegundua Walevi tuna umoja sana Toka nitangaze kuacha pombe wengi wamenifuata inbox kuniomba nirudi kundini Lakini kuna wengine wamenitisha sana tena hadharani Kuna waliosema nikiacha pombe nitakufwa, kuna waliosema nikiacha pombe nitakua mchawi na kuna wengine wakafika...
  18. Econometrician

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuelewa kabisa, sijui hii hali inatokea kwangu pekee au nanyi pia inawatokea!

    Yani mambo yanakwenda kasi sana,toka Magufuli amefariki ni miaka 2 but pamoja na kuwa kwangu Serikali mtu akinishitukiza nitaje majina ya watu hawa au niwatambue kwa sura nitashiwndwa kabisa. 1.Mkuu wa majeshi 2.IGP 3. DG wa TISS 4. Mkuu wa TAKUKURU 5. Mwanasheria Mkuu wa Serikali 6...
  19. R-K-O

    JamiiForums Tanzania Naona wazi kabisa kukiwa na nchi ya Tanganyika Demokrasia itakuwa ni ndogo sana, nchi itaongozwa kimuseveni kwa mabavu zaidi

    Mzanibari pamoja na makando kando yake ila akiingia huwa kuna unafuu katika demokrwasia (hatujawai kuwa na demokrasia kamili) Tunapotoka kwenye awamu za uminyaji wa demokrasia basi mzanzibari akiingia ndio tunapata nafuu ya demokrasia kuanzia uhuru wa kutoa maoni, Vyama vya upinzani hupewa...
  20. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Tujiandae kwa hali ya ubaridi kuanzia leo hii Julai 8, 2023

    CHUKUA TAHADHALI MAPEMA DHIDI YA APHELION PHENOMENON Kuanzia leo hii 08/07/2023, saa 5:27 asubuhi, tutapitia kipindi cha APHELION PHENOMENON, ambapo Dunia itakuwa mbali sana na jua. Hatuwezi kuona jambo hilo, lakini tunaweza kuhisi athari yake. Hii itaendelea hadi Agosti. Tutakuwa na hali ya...
Back
Top Bottom