Eloy Joel
Member
- Aug 30, 2023
- 7
- 11
Kumekuwa na Situation ya wanafunzi wengi walio vyuoni kupunguza nguvu ya kusoma kwa bidii, Wanafunzi wengi wamekuwa wakijichanganya sana mtaani kwa shughuri za kuingiza japo pesa kidogo (Mishe Mishe).
Kwa Upande wangu naweza sema, Changamoto ya Ajira wanayo ishuhudia ndio inawakosesha nguvu ya kusoma kwa bidii.
Wengi wana dada zao wengine kaka zao waliosoma na kugraduate vizuri sana Lakini wanawashuhudia wakiteseka na Maisha.
Hii situation inaanza sasa kuharibu mind set ya wanafunzi japo Kuwa tokea awali walikuwa wakisoma kwa malengo Yani toka Shule za msingi, O level, Advance etc.
Wanachokifanya wanafunzi sasa ni kuanza kuzoea Mtaani kabla ya Kugraduate ili pengine isije Kuwa Tabu sana kwao, So automatically mwanafunzi huyo anajikuta tuu hana matokeo mazuri sana chuoni.
Serikali pamoja na wadau wengi waelimu waliosoma wamekazana kusema wanafunzi wapate kuanzia GPA flani za juu kidogo Lakini Pasipo kutazama kiundani zaidi nini wanafunzi wanapitia Miaka hii ya karibuni kwa kushuhudia waliowatangulia bado wanahangaika na walipata Hizo GPA zinazo tajwa.
Sijui Unaweza Sema kitu gani Wewe kama Mtanzania na Mwenye Uchungu wa Maisha na Mwenye kutamani Vijana wajikwamue na swala la Umasikini?
Kwa Upande wangu naweza sema, Changamoto ya Ajira wanayo ishuhudia ndio inawakosesha nguvu ya kusoma kwa bidii.
Wengi wana dada zao wengine kaka zao waliosoma na kugraduate vizuri sana Lakini wanawashuhudia wakiteseka na Maisha.
Hii situation inaanza sasa kuharibu mind set ya wanafunzi japo Kuwa tokea awali walikuwa wakisoma kwa malengo Yani toka Shule za msingi, O level, Advance etc.
Wanachokifanya wanafunzi sasa ni kuanza kuzoea Mtaani kabla ya Kugraduate ili pengine isije Kuwa Tabu sana kwao, So automatically mwanafunzi huyo anajikuta tuu hana matokeo mazuri sana chuoni.
Serikali pamoja na wadau wengi waelimu waliosoma wamekazana kusema wanafunzi wapate kuanzia GPA flani za juu kidogo Lakini Pasipo kutazama kiundani zaidi nini wanafunzi wanapitia Miaka hii ya karibuni kwa kushuhudia waliowatangulia bado wanahangaika na walipata Hizo GPA zinazo tajwa.
Sijui Unaweza Sema kitu gani Wewe kama Mtanzania na Mwenye Uchungu wa Maisha na Mwenye kutamani Vijana wajikwamue na swala la Umasikini?