GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,877
Hatuwezi kumuacha Mpuuzi Mmoja kwasababu tu ya Mibange yake na Malezi yake ya hovyo hovyo atuchafulie Tasnia yetu nzima nchini Tanzania.
Mbasha alikosea ila Adam alikosea zaidi, na kitendo cha kumfuata Mbasha backstage ndio kaharibu kabisaaa.Kumbe mliofurahia jamaa kuitwa mvuta bangi hadharani mpo wengi!
Aliitwa mvuta bangi!?Kumbe mliofurahia jamaa kuitwa mvuta bangi hadharani mpo wengi!
Kumbe mliofurahia jamaa kuitwa mvuta bangi hadharani mpo wengi!
Pole sana Popoma, kipigo cha Mbasha kimekugusa
Alishaomba radhiHatuwezi kumuacha Mpuuzi Mmoja kwasababu tu ya Mibange yake na Malezi yake ya hovyo hovyo atuchafulie Tasnia yetu nzima nchini Tanzania.
Aaaaa huyu popoma naona anataka kumuozesha Mgumba kwa Hanithi.Unatafuta Vita na popoma mstaafu wewe.
anakuja huyo yupo store anafunga kibwebweAaaaa huyu popoma naona anataka kumuozesha Mgumba kwa Hanithi.
Kumbe mliofurahia jamaa kuitwa mvuta bangi hadharani mpo wengi!
Aliomba radhi na pia kasema atatiimaagizo alyopewa na IGP na viongozi wengine wa serikali.Alishaomba radhi
Alishaomba radhi
Kawaomba Radhi CCM au Watanzania wote? Mimi huo Msamaha wake wa Kinafki siukubali na nataka Mamlaka tajwa hapa zimchukulie hatua upesi.
Aliomba radhi na pia kasema atatiimaagizo alyopewa na IGP na viongozi wengine wa serikali.
Labda kaitwa na kuna hatua atachukuliwa, community service pia ni hatua nzuri si lazima waje watangaze kwenye media.
Na wewe punguza wenge, akiachishwa kazi familia yake itakula kwako ?Hatuwezi kumuacha Mpuuzi Mmoja kwasababu tu ya Mibange yake na Malezi yake ya hovyo hovyo atuchafulie Tasnia yetu nzima nchini Tanzania.