Habari zenu ndugu zangu. kwa yeyote anaejua sehem nzuri na yenye usalama mkubwa ambapo naweza acha gari yangu kwa mda mrefu kwajili ya kufanya ukarabati wa board na kupiga rangi.
Gari ni IST New Model
Location: Dar Es Salaam
Rangi: Silver
Watsapp: 0783 242247
Board ipo sawa lkn kuna sehem...
Kutoka kurasa za BBC Swahili.
https://www.bbc.com/swahili/articles/c90np9xz0z2o
Mmarekani John Francis alifanya uamuzi wa kubadilisha maisha akiwa kijana mwenye msimamo: aliamua kuacha kuzungumza.
Alikuwa kimya hajazungumza kwa miaka 17 kabla ya kugundua kwamba alikuwa na jambo ambalo...
Tembea upande wa kulia wa barabara,
ili uweze kuyaona vizuri na kupishana na magari yanayotoka unakoelekea na iwe pembeni sana iwezekanavyo.
Upande utakaotembea itakusaidia wewe kuliona gari vizuri au vyombo vingine vya usafirikama vile pikipiki, bajaji na kuweza kukuepushia na madhara...
Natumai wazima humu, Msaada nahitaji IST 1290Cc iwe na conditions nzuri isiwe imerudiwa rangi bajeti yangu 10.5M.
Sitaki iwe kwa dalali ila awe mmiliki halali.
Korogwe Mjini, Tanga Karibu na Magereza, Kuna raia alikuwa na gari private akisafiri kuelekea Moshi kutokea DSM. Gari ilipata ajali barabarani kabisa kabisa na bar maarufu iitwayo the spirit, karibu na Magereza Korogwe.
Abiria alipelekwa Hospital ya Wilaya Magunga na akafariki the same day...
Wakuu naomba msaada wa kujua kubadili kadi ya umili wa gari
1. Gari ina cc 1990 ya mwaka 2000
2. Nimenunua kwa mtu wa Mwanza mwaka jana,ila mimi naishi chanika dar
3. Niende TRA ipi kwa hapa Dar?
4. Nilinunua 8500,000/=niandae kama sh ngapi?
5. Nina karatasi ya mauziano ya kawaida tu ya mkono,na...
Habari ndugu zangu...
Nahitaji boss wakunipa gari yake niendeshe nimletee hesabu.
Naahidi tutaenda vizuri tu wala aside na wasiwasi.
Napatikana kerege chama ipo mkoa wa pwani nje kidogo ya mkoa wa Dar es Salaam
Tuwasiliane whatsapp 0679194505
Bila shaka mko poa,
Kufuatia mapokezi ya mgeni mjini usajili wa namba "E" kuna wamiliki wa namba za nyuma hususani "D" ambao kwa namna moja au nyengine mngependa kuuza gari zenu kwa ajili ya kuhamia namba "E" au kwa sababu tofauti.
Nitawatafutia wateja wa gari husika kutokana na network ya...
Habari wakuu. Ninahitaji kuagiza gari nimejaribu kufuatilia mtandaoni nimeona kuna kampuni tofauti kama beforward, sbi nk.
Napata changamoto maana nikiangalia bei zao ziko poa ila ukiangalia kampuni za tz instagram inakuwa mara mbili yake!
Naomba ushauri kuhusu hizi kampuni,
1. kuhusu gharama...
Wanajf , nawasalimu.
Leo tena ningependa tukumbushane mambo haya ya msingi kwenye magari yetu.
Ambazo huchangia kwa kiasi kikubwa matumizi makubwa ya mafuta au ya wastani.
Moja kati ya njia ambazo watengenezaji magari walitumia katika suala zima la kuifanya gari itumie mafuta kidogo ama...
Hasa kwa watu wa Kanda ya Ziwa na mikoa Jirani.
Kwa mahitaji ya kuagiza magari kutoka Japan,Dubai,na UK, tuone "Rubo Motors Tanzania" magari tuagizayo ni Fuso, Canter,Hino,Isuzu,Rosa bus,Coaster,Nissan,na magari madogo ya kutembelea.
Malipo ni awamu mbili. ambayo ni malipo ya awali na malipo...
Wasalaam Wakuu, Naomba kupata ushauri kuhusu kufunga mfumo wa gesi kwenye gari cc 2000.
Je, kuna changamoto yoyote ya ufanisi wa gari nitakayokutana nayo?
Je, ni kweli kwamba mfumo huu unaokoa gharama?
Ni wapi naweza pata huduma ya kufunga mfumo huu kwa gharama nafuu?
Pia kwa yoyote mwenye...
Habari za Muda huu
Kwa wataalamu naombeni msaada Redio ya gari Ina frequency 76-90. Nitaweka kubadili frequency zisome 88-107 au njia mbadala nipate frequency za kibongo.
Najua ujanja duniani ni mwingi Sana.
Gari la mkononi ni chombo ambacho usipokuwa makini unapigwa mchana kweupe pee.
Wengine Hadi wanaacha kuagiza Japan au uarabuni ni hofu ya kupigwa.
Mimi ni miongoni mwao. Madam hakuna kampuni nchini itayonohakikishia gari chessis namba flani IPO na mmliki...
Engine ya gari huwa inakuwa na njia za hewa. Inaweza kuwa hewa na kawaida, moshi, fumes za tank la mafuta, n.k.
Endapo njia hizi za hewa zitaanza kuvuja[leak] huwa inaweza kusababisha matatizo makubwa kwenye gari.
Baadhi ya dalili kwamba engine ina leak hewa huwa ni;
1. Check engine light...
Kwema Wakuu!!
Pesa inamajina mengi Sana kulingana na matumizi ya Huduma Fulani. Kwa uchache haya ni sehemu ya majina hayo;
1. Nauli.
Pesa Kwa ajili ya kupata Huduma au kununua Huduma ya usafiri.
2. Zaka na Sadaka.
Pesa Kwa ajili ya kupata Huduma au kununua huduma ya Ibada au shughuli za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.