Hapa nikiwa na ile safari ya kutafuta wa kuwowa ,bado nipo nahangaila ila ,imenijia ,kuna makabila wanawake wakielekea uzeeni huvurugika sura zao na ..Uzuri wao wa sura huondoka na itakuwa mshanielewa..
Pengine alikuwa mrembo na tabia nzuri ila kuelekea uzeeni eeei ndio hivyo,
ila nasikia...