fujo

Fudanjuku (風男塾) is a sub-group of the Japanese idol girl group Nakano Fujo Sisters and was formed in 2007 by Teichiku Records. Fudanjuku is Nakano Fujo Sisters' alter-ego boy band, in which the members take on male personas and dress. Fudanjuku released their debut single "Otokozuka" in 2008 and later stopped performing as Nakano Fujo Sisters in 2011 to focus on Fudanjuku full-time.

View More On Wikipedia.org
  1. chiembe

    JamiiForums Tanzania Kufuatia tishio la wanachadema kufanya fujo, Dar es salaam yote iwekwe chini ya uangalizi maalum wa vyombo vya ukinzi na usalama

    NAshauri hilo lifanyike kwa kuhusisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama. Nyumba za wageni zikqguliwe mara kwa mara kubaini watu waliokuja Dar kwa ajili ya uhalifu huo, nyumba za biongozi wa chadema Dar ws salaam nzima zifuatiliwe kwa karibu, wageni wanaoingia na kutoka. Ofisi za chadema zote...
  2. Vichekesho

    JamiiForums Tanzania Kama nimefanya kwa fujo na anayetumia ARV napata sipati?

    Sitaki maelezo, ufafanuzi wala ushauri nasaha. Nahitaji moja kati ya majibu haya mawili; 1. Sipati 2. Napata Okay?
  3. Replica

    JamiiForums Tanzania Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

    Enzi hizo Sinza kila baada ya nyumba kadhaa unakutana na sehemu ya ulevi, iwe grocery flani hivi ama baa. Sinza ilikuwa na baa maarufu kama Hongera, B-Bar, Lego, Vatican City, Waungwana, Shikamoo, Angel Bar, Marahaba, Dagaa Dagaa na nyinginezo nyingi. Siku hizi Tabata unakutana na Small...
  4. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Abidjan: Omba Omba wapigwa Marufuku ili Kupambana na Fujo za Mjini

    Jiji kuu la Ivory Coast, Abidjan limetangaza kupiga marufuku ombaomba ili kupambana na "fujo za mijini". "Ili kupambana na fujo za mijini, biashara za kutembea kwenye barabara kuu, kuombaomba kwa namna zote, na matumizi ya mikokoteni sasa yamepigwa marufuku rasmi katika wilaya nzima," alisema...
  5. Mjanja M1

    JamiiForums Tanzania Japhet Maganga wa CWT akamatwa kwa kufanya fujo

    KATIBU Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Japhet Maganga, na wenzake 10 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kufanya fujo kwenye mkutano wa Baraza Kuu la chama hicho wakati wakipitisha bajeti ya mwaka. Tukio hilo lilitokea baada ya baraza hilo kuazimia kumsimamisha...
  6. MK254

    JamiiForums Tanzania Video: Wapalestina wafanyia HAMAS fujo, baada ya HAMAS kupiga risasi kijana aliyekua anang'ang'ania chakula

    Hawa Wapalestina akili zitawaingia tu na kujua haya magaidi ya dini hayasaidii kitu zaidi ya kuwasababishia matatizo zaidi, na hamna anayekuja kuwaokoa, ndugu zao katika dini yaani waarabu wanaongea na kutoa matamko kisha wanarudi ndani kwenye shughuli zao za kujenga mataifa yao. Hata waswahili...
  7. TZ-1

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 LGE2024 Rais Samia: Jeshi na vikosi vyote vya Ulinzi vikae tayari kwa lolote wakati wa uchaguzi

    Ombi langu kwenu (JWTZ) ni kwamba mwaka huu na mwakani tunaelekea kwenye chaguzi za nchi yetu na hapa ndipo usalama mkubwa ndani ya nchi unapotakiwa kuangaliwa kwa ukaribu zaidi, niwaombe sana Jeshi la Wananchi wa Tanzania kwenye Kamandi zenu tofauti kujipanga kwa ajili hii, mwaka huu tunaanza...
  8. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Kocha wa Morocco kuanzisha fujo uwanjani naye atafungiwa?

    Baada ya mechi kocha wa Morocco alianzisha fujo kama dk kumi Nataka kuonaa hawa CAF ni kwa ajili ya Tanzania ama
  9. David Harvey

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nimepewa RB kwa kosa la kufanya fujo kanisani

    Wasaalam? Ipo hivi juzi asubuhi Jumapili niliingia nyumbani nilikuwa SA kwa mambo ya kikazi, kufika nyumbani nilimkuta binti yangu wa kwanza pamoja na dada wa kazi kumuuliza mama yako yuko wapi? Akasema ameenda kanisani, nikamuuliza mbona hajaenda na watoto(watoto ni mapacha wana miezi 4)...
  10. chakutu

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi wakaidi na waanzilishi wa fujo wa Shule ya Sekondari Mpwapwa, Dodoma wachoma matranka na nguo za wanafunzi wenzao

    Wakaidi hao Wanajigamba hakuna Mwalimu yeyote wala Mkuu wa Shule anayeweza kuwafanya chochote, Mpaka sasa Wanafunzi wanaendelea na Masomo. Ninachojiuliza ni hivi kama wangeunguza Mabweni ingekuwaje ? Mali zote za shule kongwe kwa kweli zingeungua pamoja na Vifaa vyao
  11. I

    JamiiForums Tanzania Vyama vya siasa vipya 18 kuomba usajili ni kukua kwa demokrasia nchini au ni fujo?

    Msajili wa vyama vya siasa Jaji Mutungi amesema kuna vyama vya siasa vipya vipatavyo 18 vimeomba kusajiliwa. Je hali hii ni kukomaa kwa demokrasia nchini au ni fujo za kisiasa tutegemee? Je vyama vya siasa takribani 20 vilivyopo havitoshi kukidhi matarajio ya kisiasa kwa wananchi? Je kuna watu...
  12. P

    JamiiForums Tanzania Mamlaka kuweni makini kuna mamluki wanataka kuleta fujo na kuisambaratisha amani yetu

    Kwa hali ilivyo, nasisitiza kwa hali ilivyo, Mamlaka ziwe makini sana na kufuatilia kwa karibu mienendo ya hivi karibuni ya baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, Aina ya ukosoaji na lugha zinaztumika si sahihi hata kwa mtu aliyekosa sembuse kwa anaetengeneza Bado nachunguza ila...
  13. covid 19

    JamiiForums Tanzania CAF wasifumbie macho uhuni wa waarabu ule sio mpira ni fujo

    kwa tuliyoyaona jana kwenye mechi ile kubwa kabisa ya fainali africa zima imeshuhudia na rais mwenyewe wa CAF ameshuhudia ule haukuwa mpira zile ni fujo. Lazima waarabu waadhibiwe kwa upumbavu ule, mpira ulisimama mara mbili sababu ya moshi wa baruti kutoka kwa washabiki wao. Mpira ulikuwa...
  14. Street brain

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini makolo wakishinda fujo ni nyingi sana mjini

    Aisee, hawa Makolo kwanini wakishinda fujo ni nyingi town but young africans hatunaga huo ushamba,, yaani tunafanya slow but sure 🤣🤣 sisi ndio vidume sasa Narudia tena SISI NDIO VIDUME
  15. S

    JamiiForums Tanzania Yanga: Fujo na vitisho ni nini?

    FUJO NA VITISHO NI NINI? Ni mara atoke Mayele aingie Starboy Mzize, mara atoke Farid aingie Morrison, mara atoke Nondo aingie Doumbia, mara atoke Mauya aingie Mudathir, mara atoke Kisinda aingie Musonda😀 YANGA NI NINI? Ni timu iliyojaa yenye Sub kila eneo mpaka Makocha! 🔰
  16. 2019

    JamiiForums Tanzania Demokrasia kwa mtu mweusi bado sana labda miaka 100 ijayo, ni fujo tu na uporaji

    Ni nchi gani uliwahi kuona maandamano yasiokuwa na fujo na uporaji kwa nchi za Afrika(isipokuwa za Kiarabu) Kwa mtz ambaye yuko bize na mishemishe zake hawezi kukubali maandamano hata siku moja sababu mambo yatakwama mengi na hasara juu. Angalia kwa jirani zetu Kenya 🇰🇪👇 Waporaji na wezi...
  17. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Vipi tunaleta fujo na hii TISS? Kwanini unazifukua hizi post za TISS?

    Hii ni makosa. TISS inakuwa trivialized kwa kuitajataja bila sababu. Hawa ni state police,wanalinda viongozi,so,what's troubling you? Truly I am amazed. Ni kitu gani kinasababisha hii flurry ya posting za TISS?
  18. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kwa aina ya mazoezi yao ya kushangilia ninayoyaona na walivyofanyiwa fujo Dar kuna watu watafungwa nyingi waendako

    ~ Kwanza muanze kujua kuwa uwanja wao utajaa ile mbaya. ~ Pili mjue kuwa Waarabu fujo na umafia ni moja ya tunu zao. ~ Tatu aina tu ya ushangiliaji wao tayari ni ushindi tosha. Yaani wamewapania hadi kuandika kuwa "Revenge has no Mercy". Mtawakoma!
  19. DELETED ACCOUNT

    JamiiForums Tanzania Yanga msiende kufanya fujo huko Tunisia!

    Katika kufuatilia safari ya Yanga ya siku ya leo kuelekea Tunisia kwa mchezo wa marudiano, msafara huo unahusisha watu 41 huku wachezaji wakiwa 22 na waliobaki ni 'wengine'. Nimekumbuka timu zetu za Olympic ambapo viongozi huwa ni wengi kuliko wachezaji. Sijaelewa watu 19 ni kina nani ila...
  20. ikhlas

    JamiiForums Tanzania Panya road Tabata warudi kwa fujo

    Assalaam Alaikum. Wadau naskitika kuwa jirani yangu maeneo ya Tabata Bima mtaa wa Madukani jana alivamiwa na Panya Road na kumjeruhi vibaya. Walivyofanya hivyo hawakutosheka wakawajeruhi na wengine wa 4. Majeruhi wamepelekwa Amana hospitali usiku ule ule. Tukio hilo la kusikitisha limetokea...
Back
Top Bottom