TZ-1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 3,208
- 5,441
Ombi langu kwenu (JWTZ) ni kwamba mwaka huu na mwakani tunaelekea kwenye chaguzi za nchi yetu na hapa ndipo usalama mkubwa ndani ya nchi unapotakiwa kuangaliwa kwa ukaribu zaidi, niwaombe sana Jeshi la Wananchi wa Tanzania kwenye Kamandi zenu tofauti kujipanga kwa ajili hii, mwaka huu tunaanza na chaguzi za serikali za mitaa kwa sababu tuko wengi, ni chaguzi zinazoshirikisha vyama vingi vyenye nia tofauti, hatuoni kwamba kila kitu kitaenda kama kilivyopangwa kwahiyo ni vyema tukakaa tayari kukabiliana na chochote kile kitakachojitogeza.
Hatusemi tukafanye chaguzi za kutumia nguvu hapana, taratibu, sheria na miongozo ya uchaguzi itafuatwa lakini Jeshi na vikosi vyote vya ulinzi na usalama vikae tayari kukabiliana na hali yoyote itakayojitokeza, mwakani tunaenda kwenye uchaguzi mkuu na ule ndiyo wenye vishindo vikubwa basi ikabidi nitoe tu taarifa na kuwaweka 'alert' kwamba hayo mambo yanakwenda kutokea na jeshi hatuna budi kujiweka tayari.
========For English Audience Only===========
President Samia: Military and Defense Forces Should Be Ready for Any Situation During Elections
President Samia Suluhu has addressed the need of heightened security in the country because of the upcoming local and general elections in our country this and next year. She has requested the Tanzania People's Defense Force to get prepared due to the vast population in the country and the involvement of multiple political parties with diverse agendas. This action is for the purpose of making sure everything goes according to plan and to be ready to face any unforeseen challenges.President Samia: Military and Defense Forces Should Be Ready for Any Situation During Elections
She added "Let me emphasize that we are not advocating the use of force in elections. The electoral processes will strictly adhere to procedures, laws, and guidelines. However, the military and all security forces must be prepared to address any situations that may arise. Next year, we will be heading into the general elections, which are known for their significant dynamics. Therefore, I felt it necessary to provide this alert, urging the military to be ready for potential developments."
Furthermore, she added that it is not about using force but rather about being proactive and ready to ensure safety and stability of our nation during these critical times. Let us be vigilant and steadfast, adhering to the rule of law while maintaining a readiness to address any challenges that may emerge.