Koroco ndio nini?koroco
Anzania je? Katype kama yuko kwenye jogging 😂Koroco ndio nini?
😂😂😂Baada ya mechi kocha wa koroco alilianzisha ba kuanzisha fujo kama dk kumi
Nataka kuonaa hawa caf n kwa ajili ya anzania ama?
Pdidy again: mwandiko gani huu mwamba??Baada ya mechi kocha wa koroco alilianzisha ba kuanzisha fujo kama dk kumi
Nataka kuonaa hawa caf n kwa ajili ya anzania ama
Warabu hawastahili adhabu ?Hapana yeye ni mwarabu.
Pdidy again: mwandiko gani huu mwamba??
Warabu hawastahili adhabu ?
We umekuwa mgeni kwa Pdidy?
Ndiyo zake hizo.
Ndiyo anaandikaga hivyo hivyo...Ajifunze kuandika
Ndio ni wanadamu daraja la kwanza.Warabu hawastahili adhabu ?
mbona amrouche adel naye ni wallah nabata ushungu?Hapana yeye ni mwarabu.
Mods wanamjua, huwa wanamsaidia kuandika vizuri
We umekuwa mgeni kwa Pdidy?
Ndiyo zake hizo.
Mods wanamjua, huwa wanamsaidia kuandika vizuri
Anzania je? Katype kama yuko kwenye jogging