Vyama vya siasa vipya 18 kuomba usajili ni kukua kwa demokrasia nchini au ni fujo?

Izia maji

JF-Expert Member
Dec 1, 2021
2,155
3,798
Msajili wa vyama vya siasa Jaji Mutungi amesema kuna vyama vya siasa vipya vipatavyo 18 vimeomba kusajiliwa.

Je hali hii ni kukomaa kwa demokrasia nchini au ni fujo za kisiasa tutegemee? Je vyama vya siasa takribani 20 vilivyopo havitoshi kukidhi matarajio ya kisiasa kwa wananchi? Je kuna watu wanafadhili wimbi hili jipya la kuzuka kwa vyama vingi vya siasa kiasi hiki?
 
Msajili wa vyama vya siasa Jaji Mutungi amesema kuna vyama vya siasa vipya vipatavyo 18 vimeomba kusajiliwa.

Je hali hii ni kukomaa kwa demokrasia nchini au ni fujo za kisiasa tutegemee? Je vyama vya siasa takribani 20 vilivyopo havitoshi kukidhi matarajio ya kisiasa kwa wananchi? Je kuna watu wanafadhili wimbi hili jipya la kuzuka kwa vyama vingi vya siasa kiasi hiki?
Maana yake inajulikana na Jaji mwenyewe.
 
Msajili wa vyama vya siasa Jaji Mutungi amesema kuna vyama vya siasa vipya vipatavyo 18 vimeomba kusajiliwa.

Je hali hii ni kukomaa kwa demokrasia nchini au ni fujo za kisiasa tutegemee? Je vyama vya siasa takribani 20 vilivyopo havitoshi kukidhi matarajio ya kisiasa kwa wananchi? Je kuna watu wanafadhili wimbi hili jipya la kuzuka kwa vyama vingi vya siasa kiasi hiki?
Anasubiri ruhusa ya kuvisajili maana nchi hii imekabwa kisawasawa
 
Anadai anahakiki kwanza vilivyopo ndipo asajili vipya!
Ametumia kifungu gani cha sheria kuchelewesha usajili wa vyama hivyo?

Yeye kazi yake ni kussjili vyama na suala la uhakiki halitumiki kama kigezo cha kutosajili chama kipya cha siasa.


Tanzania inaongozwa kikaburu sana
 
Msajili wa vyama vya siasa Jaji Mutungi amesema kuna vyama vya siasa vipya vipatavyo 18 vimeomba kusajiliwa.

Je hali hii ni kukomaa kwa demokrasia nchini au ni fujo za kisiasa tutegemee? Je vyama vya siasa takribani 20 vilivyopo havitoshi kukidhi matarajio ya kisiasa kwa wananchi? Je kuna watu wanafadhili wimbi hili jipya la kuzuka kwa vyama vingi vya siasa kiasi hiki?
Nadhani masharti yawe magumu kidogo kusajili chama kipya lazima uwe na wanachama anghalau laki 5
 
Hivi yule nyahonga aliyekuwa anapeleka barua za kuzuia kampeni za lisu kwa bodaboda pale ufipa yu wapi???
Nchi hii ilifika papaya sana
 
Msajili wa vyama vya siasa Jaji Mutungi amesema kuna vyama vya siasa vipya vipatavyo 18 vimeomba kusajiliwa.

Je hali hii ni kukomaa kwa demokrasia nchini au ni fujo za kisiasa tutegemee? Je vyama vya siasa takribani 20 vilivyopo havitoshi kukidhi matarajio ya kisiasa kwa wananchi? Je kuna watu wanafadhili wimbi hili jipya la kuzuka kwa vyama vingi vya siasa kiasi hiki?
Hii ni dalili kubwa ya umaskini.

Marekani Taifa kubwa lina vyama vikubwa 2 vya siasa.

Tanzania maskini wa kutupwa, vyama zaidi ya ishirini. Ukiongeza na hivyo 18? Jibu unalo.
 
Back
Top Bottom