ELIMU TANZANIA SHIDA NINI?
kwa mjibu wa Jamii Forums, Mwaka 2017 wavulana 36,434 waliacha shule, na wasichana 29,708 waliacha shule Katika Mwaka huo na kufanya jumla 66142.
Miaka mitatu baadaye yaani 2020 wavulana 96,683 waliacha shule ikiwa ni mara 2.65 ya 2017 na waschana 71,151 Mwaka 2020...