Abuu Dharr
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 2,898
- 3,006
Nataraji Wakuu mpo salama na familia zenu.
Naomba kujua kuhusu elimu ya udereva.
Je, unaweza kusomea udereva wa magari makubwa kabla ya kusomea magari madogo?
Tufahamu kuwa mhusika hana ujuzi kabisa wa udereva.
Nataraji majibu mazuri
Shukrani,
Nawatakia siku njema
Naomba kujua kuhusu elimu ya udereva.
Je, unaweza kusomea udereva wa magari makubwa kabla ya kusomea magari madogo?
Tufahamu kuwa mhusika hana ujuzi kabisa wa udereva.
Nataraji majibu mazuri
Shukrani,
Nawatakia siku njema