east africa

  1. Jamii Opportunities

    Signature Program Technical Lead - East Africa at Heifer International

    Description Heifer International is an equal opportunity employer. All qualified applicants will receive consideration for employment without regard to race, religion, color, national origin, gender, gender identify, sexual orientation, age, status as a protected veteran, among other things, or...
  2. Jamii Opportunities

    17 Foreign Service Officer Jobs at Ministry of Foreign Affairs and East Africa Cooperation

    Job Overview Foreign Service Officers – 17 Posts Dodoma Ministry of Foreign Affairs and East Africa Cooperation Foreign Service Officer Job Vacancies at the Ministry of Foreign Affairs and East Africa Cooperation POST FOREIGN SERVICE OFFICERS – 17 POST EMPLOYER Ministry of Foreign Affairs...
  3. GENTAMYCINE

    Kwanini Watangazaji wa 'Kipyenga Extra' East Africa Radio wameumia sana na 'Nyundo' aliyopewa Haji Manara?

    Wanatumia muda mwingi Kumtetea huku pia wakiwatafuta Mawakili wenye Uyanga kutoa Ufafanuzi wa Hukumu iliyotolewa na Poti ( Mkurya ) kutoka Kwetu Mkoani Mara ( Musoma ) Watangazaji wa Kipyenga Extra East Africa Radio na wale wa Kipindi cha Michezo cha Usiku cha East Africa Radio nawaonyeni...
  4. Jamii Opportunities

    Country Manager Job at Weir Minerals East Africa

    Manager: Country Weir Minerals East Africa Location: Mwanza, Tanzania Weir has been in business since 1871 and our sustainability and success has been built on attracting, retaining, and developing exceptional people. As a global company, we reflect the diversity of our customers in the...
  5. Sky Eclat

    Financial hub ya East Africa iko wapi?

    Financia hubs zinaza endeleza miji husika. Mipango mingi ya biashara hufanyika humo na wageni wanahitaji usafiri, malazi, chakula, kununua zawadi kwa wapendwa wao na hata nguo zinazoendana na hali ya hewa katika miji waliyofikia. Huduma hizi zote huzalisha ajira, kuanzia tax, cafe, migahawa...
  6. sinza pazuri

    Aaliyah ndio mwanamke mzuri na mrembo kuliko watangazaji wote wa kike East Africa

    Ana sura nzuri. Ni mrembo. Anapendeza kila nguo. Ana swaggs. Ana mvuto. Hakuna mtangazaji yoyote wa kike anaemfikia East Africa.
  7. mr gentleman

    Rayvanny aweka rekodi ya kuwa wa kwanza East Africa kufikisha streams milioni 100 Boomplay

    STAA wa muziki wa Bongofleva na bosi wa lebo ya Next Level Music, Raymond Shaban Mwakyusa (Rayvanny) amefikisha (streams) milioni 100 kupitia jukwaa namba moja la muziki barani Africa Boomplay 🙆🏿 Rayvanny anakuwa msanii wa kwanza East Africa kufikisha idadi hiyo ya streams kwenye boomplay...
  8. Komeo Lachuma

    Mwinyi Jr anaweza kuweka rekodi ya kuwa Mmoja ya Marais wachache wenye akili kutawala Afrika Mashariki

    Ametulia sana tofauti na wengine wengi. Anaonekana kujali sana maslahi ya Wazanzibar na yupo smart kupata anachotaka kwa ajili ya watu wake. Siku tukipata Rais wa namna hii ambaye atatanguliza Tanzania mbele tutafika mbali sana. Ingekuwa si Mzanzibar ningesema 2025 aje agombee huku lakini...
  9. K

    60 floor tower to be built in Upper Hill, Nairobi (new tallest building in East Africa)

    This may be the final design. Source Paul Oburu, Aspera’s Design Director was invited to provide a design proposal for a 60 storey plus tower on a plot in Upper hill, Nairobi. The client’s brief required an iconic and high-end, striking design that would be the tallest building in Nairobi. The...
  10. Suzy Elias

    Polisi 2000 wa Kenya wana matatizo ya kiakili

    Hiyo ndiyo habari ya kiuchunguzi inayosambaa Duniani kwa kasi mno! Mapolisi elfu 2 ya Kenya ni mehu/machizi. ==== Mkuu wa huduma ya kitaifa ya Polisi nchini Kenya, Inspekta Jenerali Hilary Mutyambai amesema takriban maafisa 2,000 wa Polisi nchini humo hawana uwezo wa kiakili kufanya kazi yao...
  11. Mutaitina

    Nigeria versus East Africa

    Okay you'll have seen that tweet from Nigeria about Zanzibar chiq who almost got raped. I was on her side until them Nigerians started tweeting nonsense about Swahili, Kenya and Tanzania!
  12. MK254

    Kenya opens the only ice rink in East Africa

    Tourism and Wildlife secretary Najib Balala said the reopening of the rink will be a boost to ice-skating games, after Ice Lions, Kenya's only ice hockey team, hit global headlines two years ago. PHOTO | COURTESY Panari Nairobi has reopened its ice rink after two years, the only one in East...
  13. sinza pazuri

    Rayvanny aendelea kuvunja records za mauzo: Awa msanii wa kwanza East Africa kuingia Golden Club

    Msanii wa kimataifa Rayvanny anaeiwakilisha Tanzania kwenye matamasha makubwa ya kimataifa kwa sasa. Ameendelea kuonyesha nguvu yake kubwa ya kuuza muziki wake mtandaoni baada ya kufikisha streams million 100 kwenye mtandao wa boomplay. Anakuwa msanii wa kwanza East Africa kufikisha idadi hiyo...
  14. Expensive life

    Nani alikuwa mkali wa kuimba hapa?

    Kati ya hawa malegend nani alikuwa mkali wa sauti tamu? Celine Dion Whitney Houston ( Rip) Mariah Carey Mimi naondoka na Celine Dion huyu mwana mama alikuwa ni shida, moja kati ya nyimbo zake kali ninazozipenda. Love doesn't ask why A new day has come Tiririka hapa ni nani ulikuwa...
  15. Priscallia

    History is made! Democratic Republic of Congo is now a new member of the East African Community

    EAC Heads of State OFFICIALLY admit the Democratic Republic of the Congo (DRC) into the East African Community. H.E Uhuru Kenyatta,Chair of the Summit of EAC Heads of States announces during the 19th Extra-Ordinary Summit of EAC Heads of State. === Mwenyekiti wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya...
  16. MK254

    Kenya is the only country in East Africa with electricity access to over 75 percent of her population

    Kenya has connected approximately 8.6 million households to electricity as of December 2021, up from 7.3 million in January 2020, the energy regulator said on Thursday. Daniel Kiptoo, director general, Energy and Petroleum Regulatory Authority (EPRA) told journalists that Kenya is the only...
  17. data

    BBC Swahili: Zuchu ndio msanii bora wa East Africa 2021!

    How do you find it guys!!? Mi binafsi nakubaliiii. Haappy New yearrr to u alll. Love U === Zuchu Mwanamuziki anayechipuka , ukuaji wake umekuwa wa kushangaza. Mwanamuziki huyu huimba kwa lugha za Kiswahili na Kiingereza na ana sifa za muziki wa Tanzania aina ya Bongo Fleva. Mwaka uliopita...
  18. Suzy Elias

    Je, kampuni ya Wind East Africa ya Wamarekani wenye uswahiba na January Makamba kupewa tenda ya umeme wa upepo?

    Kampuni ya Marekani inayojishughulisha na ufuaji wa umeme wa upepo iliyopigiwa debe mwaka 2013 na Rais Obama ili ije kufua umeme wa upepo kule Singida huenda ikapewa tenda hiyo mapema mwishoni mwa mwaka huu ama mapema mwakani. Ikumbukwe ndugu Rashid Shamte ambaye ni boss wa hiyo kampuni hapa...
  19. III II II II II

    Hodi hodi JF family!

    Habari! Jina langu ni |I| |I |I |I |I Mimi ni Mwanamume. SINA UMRi, wakati mwingine Mimi ni Kijana na wakati mwingine naweza kuwa mzee, kwa hivyo mtanivumilia kwa mawazo yanayokinzana Kiumri nitakayokuwa natoa humu. Kwa muda sasa nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa thread mbalimbali humu JamiiForums...
Back
Top Bottom