dodoma

  1. Magazetini

    JamiiForums Tanzania GE2020 Hafla ya kuapishwa Dkt. John Magufuli kuendelea na Awamu ya Pili ya Urais wa JMT uwanja wa Jamhuri, Dodoma 05 Oct 2020

    Leo November 5, 2020 anaapishwa Dkt. John Magufuli kumalizia Muhula wake wa mwisho kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kutangazwa mshindi wa uchaguzi uliofanyika October 28 mwaka huu. Wageni kadhaa wameshafika akiwemo Rais wa Uganda, Yoweri Museveni. Kuwa nami kukujuza...
  2. CAPO DELGADO

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi halali jijini Dodoma

    Huu uzi ufutwe. Nilikuwa na kijana Namuombea kazi. Alikiwa ni kijana wa Dodoma Elimu yake Undergraduate Development Economics. Masters Degree in Finance and Investment. AMEMALIZA MASOMO NA AMEPATA KAZI. Asanteni kwa ushirikiano. 🙏
  3. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania GE2020 Dkt. Magufuli na Mama Samia Suluhu Hassan kuapishwa kuwa Rais na Makamu wa Rais katika Uwanja wa Jamhuri, Dodoma, Novemba 5, 2020

    Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Magufuli ataapishwa kwenye Uwanja wa Jamhuri, Dodoma, Novemba 5, 2020, hafla itakayohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa na kimataifa. Wananchi wanaopenda kuhudhuria wanakaribishwa kufika uwanjani kabla saa 1 asubuhi. Dkt. Magufuli wa...
  4. Richard

    JamiiForums Tanzania Ndege ya Airbus 220_300 yatua Dodoma kwa mara ya kwanza

    Ndege aina ya Airbus 220_300 leo imetua katika uwanja wa ndege wa Dodoma na kupokelewa na wananchi walokuwa wakiisubiri kwa hamu. Gharama halisi ya tiketi ya ndege kwenda Dodoma sasa ni shilingi 247,000 /-. Ndege hii ina urefu wa ni mita 38.7, na kwa jumla inaweza kuketi abiria 141. Urefu wake...
  5. S

    JamiiForums Tanzania GE2020 Video: Wananchi wa Dodoma Mjini wamkataa Mavunde wadai hawajamchagua

    Mavunde wa Dodoma mjini akifukuzwa na wananchi mara baada ya kuiba kura na kutangazwa mshindi.
  6. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania GE2020 Dodoma: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia

    Wakuu, Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Dodoma. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka. Mkoa wa Dodoma una jumla ya majimbo ya uchaguzi 10. Wagombea walioshinda kwenye hayo majimbo ambayo ni...
  7. C

    JamiiForums Tanzania ATC Kwenda Dodoma

    Vipi ATC Kwenda Dodoma leo asubuhi? Dk 49 tangu ipae ipo Kisarawe tu inazunguka zunguka?
  8. J

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli afungua Msikiti wa Abubakar Bin Zuberi Chamwino, Dodoma

    Rais Magufuli amefungua msikiti wa kisasa unaoitwa Abubakar Bin Zuber Chamwino Dodoma leo. Hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Vyombo vya Dola akiwemo CDF Mabeyo, IGP Sirro, Mkurugenzi wa TISS, Diwani na makamanda wa JKT waliojenga msikiti huo. Source: Channel Ten Maendeleo...
  9. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Yaliyojiri kwenye Mikutano ya Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Dodoma na Singida

    Wakuu kwa sasa ni suala la muda tu kwa Nchi yetu kupata Rais Mpya kutoka kwenye chama kipya , naandika haya kwa kujiamini kabisa baada ya Tathmini ya uhakika , njia pekee ya kumshinda Lissu kwenye uchaguzi huu ni kuiba kura tu . Nirudi kwenye mada , Leo Tundu Lissu ataendelea na mikutano kadhaa...
  10. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 Hii ratiba ya Tundu Lissu mikoa ya Ruvuma, Dodoma, Singida, Moshi, Tanga na Dsm kwa siku 3 ina baraka za NEC?

    Nimemsikia Tundu Lissu kupitia East Africa Radio kwamba leo ataendelea na kampeni mkoani Ruvuma kisha wataelekea Dodoma, Singida, Kilimanjaro, Tanga na kumalizia Dsm siku ya mwisho. Nauliza tu ratiba hii ya mikoa 6 ndani ya siku 3 ina baraka za NEC? Nawatakia Sabato yenye baraka. Maendeleo...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Jimbo la Dodoma Mjini: Mdahalo kati ya Antony Mavunde vs Aisha Madoga

    ..Aisha Madoga ni mgombea wa Chadema. ..Antony Mavunde ni mgombea wa CCM. ..Wagombea wote wameonyesha weledi kutetea hoja zao.
  12. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania GE2020 Matokeo ya Uchaguzi Mkuu yatatangazwa Dar na sio Dodoma kama ilivyosemwa awali

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza kuwa matokeo ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 28 yatatangazwa Da es Salaam na sio Dodoma kama ilivyotangazwa awali Dodoma ni Makao Makuu ya Tume hiyo lakini Dar kuna tawi la Tume kwa hiyo watatumia ofisi ya Dar kama ilivyokuwa katika Uchaguzi Mkuu wa...
  13. The Palm Tree

    JamiiForums Tanzania Shida ya Maji Dodoma: Maji ya ujazo wa lita 20 yanauzwa Tshs 1,000/=

    Hii imeandikwa na Mwananchi Online Newspaper leo.. Kwamba mji wa Dodoma makao makuu ya serikali ya nchi hii kuna shida ya maji kiasi cha wananchi kununua ndoo ya maji Tshs. 1,000? Ni nini kinapaswa kuwa kipaumbele kuwekeza fedha kwa ajili ya maendeleo ya watu? Je ni kujenga uwanja wa ndege...
  14. mugah di matheo

    JamiiForums Tanzania Jijini Dodoma maji dumu shilingi 1000

    Inaelezwa jiji la Dodoma linakabiliwa na uhaba mkubwa wa maji uliopelekea dumu kuuzwa kwa bei ya Tsh 1000 katika mji mkuu huo wa Tanzania Chanzo: Gazeti la mwananchi kupitia Facebook page yao Tukutane kwenye comment
  15. The Palm Tree

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Tundu Lissu amjibu Mama Samia Suluhu kuhusu uhakika wa CCM kuunda Serikali

    Siku chache zilizopita mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM na makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan alinukuliwa ktk moja ya mikutano yake ya kampeni akisema.. Hata kama kura hazitatosha mwaka huu, wao (i.e CCM) wana uhakika wa kuunda serikali na kuendelea kutawala kwa miaka mingine...
  16. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kishindo: Sheikh Ponda atoa neno kwenye mkutano wa Lissu Dodoma, Uwanja walipuka kwa shangwe

    Kadri muda unavyozidi kwenda ndivyo Wanaomuunga Mkono Tundu Lissu wanavyojitokeza na kuzidi kuongezeka. Mwangalie Sheikh Ponda Issa Ponda alivyotikisa Dodoma leo. Video hii hapa ==== SHEIKH PONDA: WAISLAMU TUMEKUBALIANA TUTAMPIGIA KURA LISSU Sheikh Ponda Issa Ponda amesema Mgombea wa Urais...
  17. Q

    JamiiForums Tanzania GE2020 NEC yatoa ratiba ya mwisho: Lissu atafungia Dar, Magufuli Dodoma

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa ratiba ya mwisho ya kampeni za urais inaonyesha wagombea wanaochuana katika Uchaguzi Mkuu, Rais John Magufuli wa CCM atafunga kampeni zake Dodoma huku Tundu Lissu wa CHADEMA akihitimisha Dar es Salaam 27 Oktoba 2020. Ratiba inaonyesha mgombea wa CCM, Rais...
  18. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Yaliyojiri Mapokezi ya Tundu Lissu Kongwa na Dodoma Mjini

    Mgombea Urais kupitia Chadema Tundu Lissu leo anaendelea na kampeni zake za kuingia Ikulu katika mikoa ya kati. Mgombea huyo ambaye kila dalili inaonyesha atapata ushindi mkubwa ataingia jimboni Kongwa anakotokea aliyekuwa Spika wa Bunge Job Ndugai. Kuna Maandalizi makubwa ya mapokezi...
  19. CUF Habari

    JamiiForums Tanzania GE2020 Prof. Lipumba, Dodoma - Chemba: Mkinichagua Oktoba 28, kuwa Rais wa Nchi hii nitawekeza kwa watu, kisha watu wawekeze kwenye vitu

    MKINICHAGUA OKTOBA 28, KUWA RAIS WA NCHI HII NITAWEKEZA KWA WATU, KISHA WATU WAWEKEZE KWENYE VITU"PROF. LIPUMBA" DODOMA- CHEMBA Tutahakikisha haki sawa na furaha kwa wote Haki ya Elimu kwa kila Mtanzania Haki ya Lishe Bora na uhakika kwa kila Mtanzania Haki ya Afya Bora na ya uhakika kwa...
  20. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tundu Lissu afafanua maana ya uhuru, haki na maendeleo ya watu kwa watu wa Dodoma

    Akiwa mkoani Dodoma ambayo kwa asili ni ngome ya chama cha mapinduzi, Ndugu Lissu amefafanua kwa uzuri kabisa na kwa lugha rahisi kabisa ya kueleweka anamaanisha nini pale CHADEMA inaposema haki, uhuru na maendeleo ya watu. Mheshimiwa Lissu ameelezea ukosefu wa haki kwa kutolea mfano chaguzi za...
Back
Top Bottom