dodoma

  1. J

    Mbunge Mavunde agawa tani 29 za saruji kwa ajili ya ujenzi wa madarasa na zahanati Dodoma Jiji

    MBUNGE MAVUNDE AGAWA TANI 29 ZA SARUJI KWA AJILI YA UJENZI WA MADARASA NA ZAHANATI DODOMA JIJI Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh Anthony Mavunde leo amekabidhi saruji tani 29 kwa Afisa Elimu Msingi na Afisa Elimu Sekondari ili kusaidia ujenzi wa madarasa na matundu ya vyoo kwa shule za msingi...
  2. Erythrocyte

    BAWACHA kuongea na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma

    Taarifa inaeleza kwamba Mkutano huo utafanyika kwenye ofisi za Kanda ya Kati Jijini Dodoma kesho Tarehe 21/4/2021, kuanzia saa 5 kamili asubuhi . Wote Mnakaribishwa . Muhimu : Zingatia mwongozo wa WHO kuhusu janga la corona =========
  3. Marathon day

    Ubaguzi kwenye usaili Dodoma standard gauge

    Usaili mradi wa reli ya mwndo kasi ni shida, wanaofanya usaili na wako vizuri wanaondolewa na wanaingizwa wenye pesa na wanojulikana tu. Bila kujali mtu amekaa hapo zaidi ya wiki ametoka mbali ngarama zote mpaka vipimo juu yako halafu mtu anaambiwa amefeli arudi nyumbani, Serikali ingilieni...
  4. Jamii Opportunities

    Accountant at Dodoma Christian Medical Centre Trust

    The Dodoma Christian Medical Centre Trust (DCMC Trust) Hospital is a registered Private Hospital according to Hospital Regulations CAP 151 R.E 2002. The mission of DCMC Trust is to provide accessible and sustainable quality health care through a Tanzanian comprehensive health system which...
  5. Jamii Opportunities

    Medical/Health Attendants at Dodoma Christian Medical Centre Trust

    The Dodoma Christian Medical Centre Trust (DCMC Trust) Hospital is a registered Private Hospital according to Hospital Regulations CAP 151 R.E 2002. The mission of DCMC Trust is to provide accessible and sustainable quality health care through a Tanzanian comprehensive health system which...
  6. Idugunde

    Dodoma: Rais Samia awatunuku Kamisheni Maofisa wa JWTZ

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan. Atawatunukia Kamisheni Maafisa wanafunzi wa Jeshi la Wananchi Tanzania. Viwanja vya Ikulu Chamwino Dodoma. Matangazo yataanza saa nane kamili mchana leo tarehe 17 Aprili 2021. ==== Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu...
  7. Miss Zomboko

    Musukuma: Profesa Sospeter Muhongo usomi wake hauna faida kwa Tanzania

    Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Musukuma amemshukia mbunge wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo kwamba usomi wake hauna faida kwa Tanzania. Musukuma amesema ni wakati kwa Serikali kuwaamini wasomi aliowaita wa darasa la saba akidai kuwa wanakulia kwenye kazi. Mbunge huyo...
  8. M

    Kama Wabunge wana Magari yao ya 'Kifahari' unadhani ni kwanini hupenda Kutumia 'Bodaboda' na 'Bajaji' tena Nyakati za Usiku tu wakiwa Dodoma?

    Hatimaye Spika Ndugai Uvumilivu umemshinda na kaamua Kuwaonya Wabunge wanaopenda Kupanda 'Bodaboda' na 'Bajaji' wakati wana Magari yao tena ya 'Kifahari' kabisa kuwa yakiwakuta ya kuwakuta Wasilaumu. Chanzo: Daily News Ukurasa wa Pili Na nyie Wabunge ifike muda mjitathmini hivi Magari yenu...
  9. beth

    Waziri Mkuu: Dodoma itaendelea kuwa Makao Makuu ya Nchi. Ujenzi utaendelea

    Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewatoa hofu Watanzania waliofikiri mkakati wa Dodoma kuwa Makao Makuu ya Nchi hautoendelea. Akiwa Bungeni Dodoma, "Serikali imeweka mfumo mzuri wa kuhakikisha Makao Makuu ya Nchi yanaendelezwa kwa kujenga na kuendelea na mipango ya maendeleo ya Jiji la...
  10. J

    Mbunge Mavunde akabidhi madawati 590 kwa Shule za Dodoma Jiji

    MBUNGE MAVUNDE AKABIDHI MADAWATI 590 KWA SHULE ZA DODOMA JIJI Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh Anthony Mavunde amekabidhi madawati 590 yenye thamani ya Tsh 70,000,000 kwa shule za Msingi Dodoma Jiji ili kukabiliana na upungufu wa madawati uliosababishwa na ongezeko kubwa la usajili wa...
  11. Countrywide

    Rais Samia Suluhu akutana na Makamu wa Rais Philip Mpango Ikulu ya Dodoma

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Makamu wa Rais Mheshimiwa Philip Isdor Mpango Ofisini kwake Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo tarehe 14 Aprili, 2021. -- Mama Samia hakika ni alama ya uongozi uliotukuka, anajua kupanga, anajua...
  12. J

    Sijawahi kuona Soko la mbogamboga linaitwa jina la kiongozi mkubwa hapa duniani isipokuwa Dodoma

    Hata sielewi mwendazake Magufuli alifikiria nini? Maana yeye mwenyewe mwendazake Magufuli alipoombwa soko la mbogamboga la Morogoro liitwe jina lake akagoma kabisa akasema apewe chifu Kingalu Kimsingi sokoni ni pahala pa mambo ya kienyeji enyeji ukiona kiongizi mkubwa jina lake linabatizwa...
  13. D

    Utumishi, Usahili wenu kufanyikia Dodoma, ni mzigo kwa waomba ajira. Wanatakiwa wawe na pesa ndefu ya kujikimu karibu laki tatu

    Sijui waziri husika hajaliona hilo au vipi. Vijana wetu wanaoomba ajira ni dhahili serikali haina huruma nao kabisa. Sera za ajira siyo rafiki kwa wasaka ajira. Leo hii unamuita kijana kwenye interview Dodoma, nafasi moja (one post) unaita watu 200 wakagombanie nafas moja kutoka mikoa ya...
  14. Bongo Trust

    Biashara ya maji Dodoma

    Jamani mimi ni mkazi mpya wa jiji la Dodoma, nilipata wazo la kufungua biashara ya kuuza maji ya bomba, (yaani nitengeneze system ya kuyakusanya kisha niwauzie watu watakaokuwa wanakuja kuchota eneo husika) Naomba wenyeji na wazoefu wa issues hio mniambie mchanganuo wake unakaaje/at least niwe...
  15. Marumeso

    CDA Dodoma: Ruhusuni ujenzi wa fensi ndefu za moja kwa moja

    CDA Dodoma: Ruhusuni ujenzi wa fensi ndefu za moja kwa moja. Hizi fensi za marembo mnazowataka watu wajenge zinaruhusu mtu aliyeko nje kuona kilichopo ndani matokeo yake watu wanaibiwa sana.
  16. lucas more

    Biashara nzuri Dodoma

    Habari Great thinkers Nina idea ya kufungua duka la vifaa vya umeme (wiring, bulbs etc) Naomba kujua gharama za kuanzisha duka Dodoma mjini, changamoto zake Au kama kuna fursa nyingine nzuri tujuzane. Asanteni
  17. Environmental Security

    Mradi wa ujenzi wa mji serikali (Mtumba - Dodoma): Ushauri wangu kwa CS Hussein Katanga na VP Dkt. Phillip Mpango

    Habarini wakuu, Leo napenda nami pia kupongeza uteuzi wa Mh. MPANGO na Mh. KATANGA kwa nafasi ambazo wameaminiwa na Mheshimiwa Rais na taifa kutumikia. Nijielekeze ktk mchango wangu wa mawazo juu ya mradi muhimu wa ujenzi wa mji wa serikali, nikichagizwa na furaha ya kuhakikishiwa na Rais wetu...
  18. Nyani Ngabu

    Dodoma kuendelea kuwa makao makuu...

    Kama hiki alichokisema Waziri Mkuu Majaliwa leo ni cha kweli [siku hizi ni muhimu kuzi qualify kauli zetu zinazowahusu viongozi wetu], basi serikali hii ya Mama Samia itaendelea kufanya kazi ikiwa Dodoma, na si kurudi tena Dar. Kama hivyo ndivyo, basi ni jambo zuri sana. Maana hakuna haja ya...
  19. R

    Naomba mawasiliano ya wauzaji (wholesellers) wa bia Dodoma

    Wakuu natumaini mu wazima. Natafuta mawasiliano na wauzaji wa bia kwa jumla pale Dodoma mjini. Kama yupo yeyote humu au kuna mtu anaweza kuniunganisha na muuzaji yeyote tafadhali nitumie namba ya simu niweze kuwasiliana nao kibiashara. Unaweza kuituma hapa au kwenye PM. Natanguliza shukrani...
  20. J

    Anthony Mavunde aishukuru Serikali kwa kuanza utekelezaji wa miradi ya umeme Jijini Dodoma

    Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh. Anthony Mavunde ameishukuru Serikali kupitia Wizara ya Nishati kwa kuanza rasmi kwa utekelezaji wa miradi ya usambazaji wa umeme kupitia miradi ya PERI URBAN na DENSIFICATION yenye jumla ya gharama ya Tsh 68bn, ambayo itayafikia maeneo zaidi ya 120 katika...
Back
Top Bottom