Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,895
- 940
JE, WAJUA?
Maisha ya Kenani yanatupa Somo
- Amekuwa Waziri Mkuu wa Chuo Kikuu cha Iringa
- Amekuwa Katibu Mkuu Mtendaji wa Jumuiya ya vyuo vikuu Tanzania TAHLISO
- Amekuwa mjumbe wa Kamati ya Siasa Tawi.
- Mjumbe wa Kamati ya siasa Kata.
- Mjumbe halmasahuri Kuu ya Wilaya.
- Mjumbe wa Kamati ya siasa ya Mkoa.
- Mjumbe wa halmashauri kuu ya Mkoa.
- Mjumbe wa Baraza kuu UVCCM Taifa,
- Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa
- Amegombea udiwani akakosa
- Akagombea uenyekiti UVCCM wilaya akakosa
- Akagombea uenyekiti wa UVCCM mkoa akapata
- Akaenda China kuwakilisha mkutano wa kiuchumi wa Vijana 2018
- Akateuliwa kukimbiza mwenge wa Uhuru kitaifa
- Akateuliwa kuwa DC Wialaya ya Arusha, baadae Akateuliwa tena Wilaya ya Iramba
- Leo Mwenyekiti wa CCM TAIFA Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan na Kamati Kuu ya CCM wanamteua kuwa katibu mkuu UVCCM Taifa.
Usikate tamaa, kuwa muadilifu, kuwa mzalendo, penda kujitolea na ishi kwa kuheshimu wengine. Wakati wa Mungu ukifika utainuka. Kazi iendelee
Maisha ya Kenani yanatupa Somo
- Amekuwa Waziri Mkuu wa Chuo Kikuu cha Iringa
- Amekuwa Katibu Mkuu Mtendaji wa Jumuiya ya vyuo vikuu Tanzania TAHLISO
- Amekuwa mjumbe wa Kamati ya Siasa Tawi.
- Mjumbe wa Kamati ya siasa Kata.
- Mjumbe halmasahuri Kuu ya Wilaya.
- Mjumbe wa Kamati ya siasa ya Mkoa.
- Mjumbe wa halmashauri kuu ya Mkoa.
- Mjumbe wa Baraza kuu UVCCM Taifa,
- Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa
- Amegombea udiwani akakosa
- Akagombea uenyekiti UVCCM wilaya akakosa
- Akagombea uenyekiti wa UVCCM mkoa akapata
- Akaenda China kuwakilisha mkutano wa kiuchumi wa Vijana 2018
- Akateuliwa kukimbiza mwenge wa Uhuru kitaifa
- Akateuliwa kuwa DC Wialaya ya Arusha, baadae Akateuliwa tena Wilaya ya Iramba
- Leo Mwenyekiti wa CCM TAIFA Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan na Kamati Kuu ya CCM wanamteua kuwa katibu mkuu UVCCM Taifa.
Usikate tamaa, kuwa muadilifu, kuwa mzalendo, penda kujitolea na ishi kwa kuheshimu wengine. Wakati wa Mungu ukifika utainuka. Kazi iendelee