beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
IKULU, DODOMA: Mkurugenzi wa Idara ya Afrika kutoka Shirika la Fedha Duniani (IMF) Abebe Selassie amesema Shirika hilo litasaidia Tanzania kupata fedha kwa ajili ya kuimairisha sekta zilizoathiriwa na COVID19 ikiwemo Afya, Utalii na Maji
Ameeleza hayo alipokutana na kufanya mazungumzo na Rais Samia Suluhu Hassan
Ameeleza hayo alipokutana na kufanya mazungumzo na Rais Samia Suluhu Hassan