Dkt. Kigwangalla aenda kutibiwa Dodoma General hospital, ashangaa kukaguliwa barakoa getini

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,599
141,415
Kigwangalla.JPG

Mbunge wa Nzega Kijijini Dkt. Kigwangalla amesema amekumbana na ukaguzi wa barakoa muda mchache uliopita pale geti kuu la Dodoma general hospital.

Dkt. Kigwangalla amesema amefika hospitalini hapo kwa matibabu.

Mungu ampe wepesi na uponyaji wa haraka.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
 
Back
Top Bottom