dodoma

  1. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Tanzania’s Nickel And Copper Processing Plant In Dodoma Reaches 85% Completion Ahead Of February 2026 Production Start

    https://twitter.com/kwamekivaisi/status/1994267214514389447?t=Vp8zns8vFw_URJZKRV4Dyw&s=19
  2. southernboy

    JamiiForums Tanzania TANGAZO:Fundi umeme wa magari napatikana Dodoma

    TANGAZO: FUNDl UMEME WA MAGARI Unahitaji fundi umeme wa magari? Nipo tayari kukuhudumia kwa weledi na kwa wakati! Huduma ninazotoa: 🔧 Uchunguzi wa matatizo ya umeme (diagnosis) 🔧 Kurekebisha na kufunga starter & alternator 🔧 Kurekebisha mifumo ya taa za gari 🔧 Programu na ufungaji wa computer...
  3. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Wezi wavamia makaburi na kuiba clips vigae

    Kuna watu wamevurugwa kinoma! ========== Watu wasiojulikana wamevamia Makaburi ya Dodoma, yaliyoko katika Mtaa wa Mageuzi, Kata ya Ngokolo, Manispaa ya Shinyanga na kuvunjavunja vigae na kuiba clips zinazoshikilia vigae vilivyowekwa kuimarisha na kupendezesha makaburi hayo.
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kuna Show ya msanii kutokea hapa Bongo imebuma Texas, Watanzania wanaishi huko wameisusia, Waende wakapige show Dodoma

    Kuna hii video ya huyu dada anatokea huko Marekani anadai kwamba moja ya msanii kutoka Tanzania alipaswa kufanya show weekend hii lakini show hiyo imebuma kabisa kutoka na Raia wa Tanzania wanaoishi huko Marekani kucancel tekiti na wale walinunu kuzichana. Na kuwataka wasanii hao wakapige show...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nje ya Posta kuna njia nyingine ya kuagiza bidhaa zifike mkoani ?

    Ninawezaje kuagiza mzigo kutoka China Aliexpress hadi Mkoani
  6. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Nyumba za MC Pilipili Dodoma zazua gumzo

    Nyumba 4 kwenye compound moja huko Dodoma Mali ya mwendazake MC Pilipili zimetia fora kwa nakshi na mazingira zilipo (Swaswa). Kazi na utu
  7. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba akabidhiwa rasmi ofisi na waziri mkuu mstaafu Kassim Majaliwa

    DKT. MWIGULU AKABIDHIWA OFISI RASMI Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba leo Novemba 17, 2025 amekabidhiwa Ofisi na Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa, Mlimwa Jijini Dodoma Novemba 17, 2025. Viongozi waliohudhuria hafla ni pamoja na Naibu Waziri Mkuu Mstaafu Dkt. Doto Biteko, Makatibu...
  8. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Utata kifo cha MC Pilipili: Wauaji hawajajulikana. Polisi wasema alishambuliwa, uchunguzi unaendelea

    Wakati Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma likithibitisha kushambuliwa kabla ya kifo cha aliyekuwa mchekeshaji na mshereheshaji, Emmanuel Mathias maarufu MC Pilipili, suala la kuwatambua waliomshambulia, limebaki kuwa giza nene. MC Pilipili aliyekuwa mkazi wa Swaswa Jijini Dodoma, alifariki dunia...
  9. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wahadhiri Dini ya Kiislam: Lissu aliposhambuliwa Dodoma, TEC hawakutoa tamko sababu rais alikuwa Mkatoliki; Ushahidi wa Tamko la TEC

    Kuna maoni nilisoma mtu akishauri kuwa, Hawa Masheikh na Wanazuoni wanaojitokeza kushambulia TEC wanazidi kuharibu kwani wanaongea hisia badala ya Logics. Nimemsikiliza huyu Sheikh anasema kuwa Lissu alishambuliwa Dodoma, lakini TEC hawakutoa tamko lolote sababu Rais alikuwa Mkatoliki. Katika...
  10. President of China

    JamiiForums Tanzania China, Tanzania, Russia Kushirikiana Kurusha Satelaiti 2026: Je, Huu Ndiyo Mwelekeo Mpya wa Ulinzi na Uchumi wa Kidijitali? (Eneo Chamwino Dodoma)

    Mpango wa pamoja kati ya China, Tanzania na Urusi wa kurusha satelaiti mpya ya kufuatilia masuala ya mawasiliano unaripotiwa kukamilika, na maandalizi ya hatua ya mwisho yanatarajiwa kufanyika mwaka 2026 katika Chamwino, Dodoma. Hatua hii imeibua mjadala mpana kuhusu mwelekeo wa Tanzania katika...
  11. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia akiwaapisha Mawaziri Wateule Ikulu Chamwino, Dodoma - Novemba 18, 2025

    Rais Samia akiwaapisha Mawaziri Wateule Ikulu Chamwino, Dodoma - Novemba 18, 2025 https://www.youtube.com/live/KMmk3T1ShPA?si=DJZZW4e-cy57-R7U
  12. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania Kiapo cha familia ya Rais Samia kitakavyokuwa hapo baadaye ikulu ya Chamwino Dodoma

    Taswira ya kiapo cha baadhi ya mawaziri wa familia moja kitakavyokuwa jijini Dodoma.
  13. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania Walikuponda Dodoma, sasa hivi wamejifungia huko!

    Mwanzoni walikuwa kejeli kibao kila siku wako dar na kupaponda dodoma, mara sijui kukame, mara jangwani, hakuna chochote mambo yote dar, na kweli mambo yote yalikuwa dar. Cha ajabu siku hizi Dar hatuwaoni tena wamejifungia Dodoma city, imekuwaje tena wakati mlikuwa mnapaponda? hata kuapishana...
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Bunge la 13, Mkutano wa Kwanza, Kikao cha 3, Novemba 13, 2025

    Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemteua Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Jina la Mbunge huyo wa Iramba Magharibi limewasilishwa Bungeni na Mpambe wa Rais (ADC) Brigedia Jenerali Nyamburi Mashauri kwa ajili ya Bunge...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Maandamano tarehe 09/12 Nguvu kubwa tuwekeze Dar, Dodoma, Mbeya, Mwanza na Arusha

    Wazalendo, Ukombozi wa nchi yetu unakaribia. Tulichokifanya tarehe 29/10/2025 hawatakuja kukisahau. Tulifanikiwa kuuzuia uchaguzi. Ilikuwa muhimu vijana kuwepo kila sehemu ili kuuzuia uchaguzi. Sasa tunahitaji kuchukua nchi. Inatakiwa nguvu kazi kubwa iwe maeneo muhimu na yenye impact kubwa...
  16. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mbunge wa Kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akiapa Bungeni jijini Dodoma tarehe 12 Novemba, 2

    Mbunge wa Kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akiapa Bungeni jijini Dodoma tarehe 12 Novemba, 2025.
  17. SOWETO MAN

    JamiiForums Tanzania Nauza wine kutoka Dodoma kwa ujazo wa Lita 1, 3 na 5

    Habari wana jukwaa, nauza Sweet na dry Red Wines kutokea Dodoma kwa ujazo wa Lita 1, Lita 3 na Lita 5...Lita 1 ni Sh.7000/=, Lita 3 ni Sh. 18,000/= na Lita 5 ni Sh.27,000/= (Bei hizi ni za reja reja)....Karibuni sana na Mikoani tunasafirisha pia kwa uaminifu mkubwa sana.
  18. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Mkutano wa Kwanza Bunge la 13 November 11, 2025

    Leo, Novemba 11, 2025, Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaanza rasmi vikao vyake kwa kufanyika kwa kikao cha kwanza cha mkutano wa kwanza wa Bunge hilo. Kazi kubwa inayotarajiwa kufanyika leo ni uchaguzi wa Spika wa Bunge, ambapo vyama Sita vimewasilisha wagombea huku mgombea wa...
  19. Seran

    JamiiForums Tanzania Kapata Chuo Dodoma Asome Accounts Akiwa Amesoma PCB –Ushauri

    Habari wakuu, Naomba kupata mawazo yenu kuhusu hili. Mdogo wangu amefaulu vizuri kidato cha sita akiwa na combination ya PCB, lakini amepangiwa kusoma chuo kimoja huko Dodoma Bachelor of Commerce in Accountancy katika. Hii kozi hakuichagua kabisa. Jana kapokea majibu ya mkopo kutoka HESLB na...
  20. Heparin

    JamiiForums Tanzania GE2025 Watu wengine 25 waongezwa kwenye mashtaka ya Uhaini Dodoma, idadi yafikia 187 nchi nzima

    Watu wengine 25 wameongezwa kwenye mashtaka ya Uhaini Dodoma, idadi yafikia 187 nchi nzima. Awali, watu 17 walipandishwa kwenye mahakama hiyo hiyo ya Hakimu Mkazi Dodoma. Kwa sasa, mahakama ya Hakimu Mkazi Kisitu ina watuhumiwa 145 na Hakimu Mkazi Dodoma ina watuhumiwa 42. Pia soma GE2025 -...
Back
Top Bottom