Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,430
- 49,138
CHADEMA hii ambayo naiita chama cha kudandia kila jambo linalotokea duniani na Tanzania isahau kuingia Ikulu, labda Mungu aamue kubadili mfumo wake wa Dunia ambao kwa malaki ya miaka haujabalika.
Dodoma ipite bahari, Morogoro ipite bahari au iwepo bahari ndipo CHADEMA huenda wakaingia Ikulu kuongoza nchi.
Yes, inawezekana ila ni miaka mingi sana, malaki na mamilioni ya miaka mbele. Si CHADEMA hii ya Heche au ya watoto na wajukuu wao. Hii nchi haipo tu hewani, kuna watu wanawaza usiku kucha namna gani iendeshwe. Mtu ambaye amekosa matumaini anasibiri mafuta yapande aanze kushangilia.
Mtu ambaye anasubiri Treni ya mwendokasi ikwame au ipate ajali iue watu apate ajenda huyo utampaje nchi?
Mtu ambaye leo hii vijana wa chuo kikuu wakilalamika pesa ya kujikimu imechelewa ndio furaha yake akidhani huenda vijana hao wataamsha hasira waanze kuandamana mpaka Rais akimbie Ikulu wapate kuingia wao.
Chama ambacho viongozi wake na members wake wanatamani Trump atume jeshi kuja kumpindua Rais Samia bila kujua kuwa Trump hapiganii Demokrasia ya Dunia bali anapigania uchumi wa Marekani tu.
Jana CHADEMA na Wafuasi wao wamewacheka sana wana CCM kwa kuwaambia watumie kadi za CCM kupata mafuta kwa bei rahisi.
Hoja hii ni ya mtu aliyechsnganyikiwa kabisa. Hao CHADEMA ndio wanaofurahishwa na vamia vamia za Trump na hii hali ya mafuta ni effects za za Trump's regime kwanini wafurahie? Wana CCM ndio walipaswa kuwaambia wana CHADEMA kuwa ongezeko la bei ya mafuta ni matundo ya furaha ya wana CHADEMA wanaomuunga mkono Trump na harakati zake.
Dodoma ipite bahari, Morogoro ipite bahari au iwepo bahari ndipo CHADEMA huenda wakaingia Ikulu kuongoza nchi.
Yes, inawezekana ila ni miaka mingi sana, malaki na mamilioni ya miaka mbele. Si CHADEMA hii ya Heche au ya watoto na wajukuu wao. Hii nchi haipo tu hewani, kuna watu wanawaza usiku kucha namna gani iendeshwe. Mtu ambaye amekosa matumaini anasibiri mafuta yapande aanze kushangilia.
Mtu ambaye anasubiri Treni ya mwendokasi ikwame au ipate ajali iue watu apate ajenda huyo utampaje nchi?
Mtu ambaye leo hii vijana wa chuo kikuu wakilalamika pesa ya kujikimu imechelewa ndio furaha yake akidhani huenda vijana hao wataamsha hasira waanze kuandamana mpaka Rais akimbie Ikulu wapate kuingia wao.
Chama ambacho viongozi wake na members wake wanatamani Trump atume jeshi kuja kumpindua Rais Samia bila kujua kuwa Trump hapiganii Demokrasia ya Dunia bali anapigania uchumi wa Marekani tu.
Jana CHADEMA na Wafuasi wao wamewacheka sana wana CCM kwa kuwaambia watumie kadi za CCM kupata mafuta kwa bei rahisi.
Hoja hii ni ya mtu aliyechsnganyikiwa kabisa. Hao CHADEMA ndio wanaofurahishwa na vamia vamia za Trump na hii hali ya mafuta ni effects za za Trump's regime kwanini wafurahie? Wana CCM ndio walipaswa kuwaambia wana CHADEMA kuwa ongezeko la bei ya mafuta ni matundo ya furaha ya wana CHADEMA wanaomuunga mkono Trump na harakati zake.