dodoma

  1. D

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kufahamu ilipo ofisi ya Kampuni ya mabasi ya Mozaico jijini Dodoma na Mawasiliano yao.

    Nahitaji kufahamu lipo ofisi ya kampuni ya Mozaico jijini Dodoma na mawasiliano ya kampuni ya mabasi ya Mozaico ili wanisafirishie pikipiki kutoka Dodoma kuja Benako Ngara.
  2. U

    JamiiForums Tanzania Mafisadi pia wanasafishia pesa zao Dodoma, inflated real estate

    Kiufupi hii nchi Kwa Sasa Kuna watu wamepata pesa nyingi sana ,kupitia ufisadi wa kiserikali kuliko walivyopata pesa nyingi kupitia madawa ya kulevya huku nyumba, huko zikiwa zote hizi ni utakatishaji wa Fedha Sasa wanasiasa waizi, na washirika wao wanapesa nyingi sana na sio kwamba ni ma drug...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Bongo fleva 30 Dodoma

    Hili tamasha la bongo fleva 30 dodoma linarushwa kwenye website gani?
  4. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Wanaodai kwamba Jiji la Dodoma Linaongoza Kwa Maisha Ghali Hawajawahi Ishi Arusha.Dar level ya Maisha unapanga mwenyewe kuanzia ya chini Hadi Juu.

    Mtu hajatembea harafu anafika conclusion.Tafureni pesa acheni kulalamika.
  5. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania COPPER MINING FOR SALE,LOCATED AT MPWAPWA DODOMA

    Copper Mines For Sale 📍Location - Kitati, Mpwapwa, Dodoma ✅Laboratory Result is Coming from 1.2% To 3.7% and mined around 2000 Tons open Pit. ✅Vein Report is 18.5% ✅Full Documents with CSR Activity. ✅1 Container House Easy to come from SGR Station and return same day to Dar Es Salaam ✅5...
  6. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania COPPER MINING FOR SALE,PRICE TSH 2BILLIONS,LOCATED AT MPWAPWA DODOMA

    Copper Mines For Sale 📍Location - Kitati, Mpwapwa, Dodoma ✅Laboratory Result is Coming from 1.2% To 3.7% and mined around 2000 Tons open Pit. ✅Vein Report is 18.5% ✅Full Documents with CSR Activity. ✅1 Container House Easy to come from SGR Station and return same day to Dar Es Salaam ✅5...
  7. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania TAG na EAGT wamaliza Mgogoro wa miaka 40 leo 21-8-2026 Dodoma!

    Mgogoro kati ya Tanzania Assemblies of God (TAG) na Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) ulianza mwaka 1991 kufuatia mfarakano wa kiuongozi na kikatiba kati ya viongozi wakuu, ambapo Mchungaji Moses Kulola aliongoza kundi kubwa kujitenga na kuanzisha EAGT kutokana na kutoelewana na...
  8. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Kamishna wa Ardhi Msaidizi - Dodoma: Upimaji ulizingatia Pagara, nyumba, msingi siyo kuwa na ardhi pekee

    Kamishna wa Ardhi Msaidizi - Dodoma Godfrey Mwamsojo amesema mgogoro wa Kiwanja Plot no 42 Kitalu B kilichopo katika Mtaa wa Image, Kata Kikuyu Kusini (South extension) Jijini Dodoma ni kwamba uhakiki umeonesha mmiliki halali ni Adelaide Henry Mkoko na si mama Exaud Sudda ambaye alikuwa...
  9. U

    JamiiForums Tanzania Tunaomba Chalamila atusaidie na Dodoma , Bus zirudi 8 x 8

    Nimpongeze Kwa KAZI nzuri ya kurudisha mabasi Nane nane, Chalamila anafanya Jema litakalochochea uchumi, kitendo cha kuua stendi zote bubu Mtaani na shekilango ni cha kishujaa, mana zinachafua mji. Sasa Ajue KWAMBA mkuu wa Mkoa mwenzake Huku Dodoma I.e Dada Rosemary yeye Amelala Tu, Huku Makao...
  10. Mjomba Fujo

    JamiiForums Tanzania Umewahi kuona wine ya 1000? Njoo Dodoma

    Baada ya kuingia duka la Mangi nimekutana na wine ya Tshs 1000 ilibidi niulize bei mara mbilimbili. Nimependa strategy ya hawa jamaa, kutokana na ushindani mkubwa sokoni mengi yatajitokeza. Ujazo - 200ml Abv 14%
  11. Malaika wa Misukosuko

    JamiiForums Tanzania Nakodisha Ps4 elfu tano kwa siku, natengeneza Pads za ps4 na ps5, narusha Games za ps4 na ps5 nipo Dodoma ukihitaji huduma Tuwasiliane

    Habari, kama maelezo yalivyo hapo Nakodisha Ps4, Pia Ps4 na Ps5 zinapatikana kwa bei nafuu pamoja na Pads zinapatikana ukihitaji Tuwasiliane nipo Dodoma.
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Nyumba iliyokuwa na mgogoro ikidaiwa hati imebadilishwa bila ridhaa ya wahusika yabomolewa Kikuyu Dodoma

    Nyumba hiyo iliyopo katika Mtaa wa Image, Kata Kikuyu Kusini (South extension), Plot no 42 Jijini Dodoma imebomolewa Agosti 18, 2026. Kusoma hoja ya awali bofya hapa ~ Hati ya Kiwanja imebadilishwa bila ridhaa yetu, TAKUKURU wamebaini ‘mchezo’, aliyepewa hati na Ardhi Dodoma anakuja kutuvunjia...
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Inakuwaje mtu mwenye tiketi analazimishwa kulipia ushuru wa kuingia katika Stendi ya mabasi 88 Dodoma?

    Halmashauri ya Jiji la Dodoma inawaibia abiria waliokata tiketi kupitia mfumo kwa kuwalazimisha kulipia ushuru wa kuingia stendi na kupanda mabasi. Hili ni jambo lisilo sahihi ambalo sijawahi kuliona katika stendi nyingine za mikoani. Ndiyo maana baadhi ya abiria wameanza kuepuka kupandia...
  14. U

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Heche kwa BAVICHA Jijini Dodoma ni moto wa kuotea mbali. Heche angekuwa na Bei CCM wangempa hata Bil 1

    Ukimsikiliza kwa makini Heche anaeleweka sana. Amejenga ushawishi mkubwa sana hapa Tanzania. Ni hakika Heche ni tatizo la CCM. Ni Hakika Heche ni Tunu ya Taifa. Vigogo wa Chadema mliojipanga kufanya fujo acheni huo mchezo. Kwa Heche mtaumbuka. Umma uko na yeye na Mnyika. Lissu anamkubali.
  15. W

    JamiiForums Tanzania Fundi umeme Dodoma 0678 386587

  16. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Polisi Manyara wazuia coaster zilizobeba BAVICHA Karatu kwenda Dodoma, vijana waamua kutembea kwa miguu

    Jeshi la Polisi mkoani Manyara limezuia mabasi (Coaster) yaliyokua yamebeba vijana wa Chadema (BAVICHA) kutoka wilaya ya Karatu, wanaoelekea mkoani Dodoma kwenye maadhimisho ya siku ya vijana duniani yanayofanyika kesho August 12. Soma Pia: Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA...
  17. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Natamani kula nyama pori nani mwenye kibali cha kuuza nyama pori kwa hapa Dodoma na anapatika maeneo gani

    Nimependa sana kula nyama ya nyati, nyumbu au mnyama yyte wa porini kama Kuna mtu anajua wanapouza kwa hapa Dodoma naomba anielekeze.
  18. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kitengo cha Ardhi – Halmashauri ya Jiji la Dodoma kuna baadhi za huduma hazijawekwa kwenye mpangilio mzuri

    Naomba Kitengo cha Ardhi katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma kiboreshwe na watumishi wake watekeleze majukumu kwa weledi na uwazi. Kwa baadhi ya viwanja vinavyouzwa kupitia TAUSI, taarifa muhimu kama mpangilio wa kufuatilia plan number na taarifa nyingine hazijawekwa vizuri kwenye mfumo. Hali...
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ubovu wa miundombinu ya baadhi ya vyoo standi ya Nanenane Dodoma

    Nikiwa nasafiri nilipita katika standi hiyo nikiwa natafuta gari la kuunganisha kwenda mikoa ya kanda ya ziwa hivyo hivyo ikabidi niende chooni Japo huduma ni ya kulipia ila mazingira yake Sio mazuri mfano katika upande Wa masinki ya kuwanawia maji mengine hayatoi maji na mengine hayapo...
  20. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Live From Uwanja wa Dr. J.S Malecela Nzuguni Dodoma, Kilele cha Nane Nane, Dodoma Kuchele!.

    Wanabodi, Mimi mwanabodi mwenzenu, Mzee Pasco, niko hapa jijini Dodoma, nikiwatangazia live mubashara, from Uwanja wa Dr. John Samwel Malecela, Nzuguni Dodoma, kuwaletea kilele cha maadhimisho ya sikuu ya Wakulima ya Nane Nane, inayoadhimishwa kitaifa hapa Dodoma, kiukweli Dodoma Kuchele...
Back
Top Bottom