Salaam wakuu.
Jana nilikuwa msibani, kuna wimbo niliusikia melody na mashairi yake yalinivutia. Bahati mbaya nimeufuta kimakosa baada ya kurekodi.
Baadhi ya maneno yake ni
'Mwamini Mungu ewe mwandamu kwa roho na moyo mmoja
Usijigambeee, usijitapee'.
Ni wimbo wa kwaya na si mtu mmoja na lead...