MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,734
Na je, Mwenyezi Mungu aliona nini mpaka Kulisemea hili mpaka Kusisitiza kabisa kuwa Mwanaume ndiyo awe Kiongozi na kuainisha Majukumu ya Mwanamke na Ukomo wake?
Kwenye Kitabu cha Quran (cha Waislamu) hiyo Aya nimeiona na imesisitizwa kweli kweli na naomba kama kuna anayejua Aya inayosema hivi katika Kitabu cha Biblia (cha Wakristo) aniwekee hapa.
Tuyaheshimu sana Maagizo ya Mungu!
Kwenye Kitabu cha Quran (cha Waislamu) hiyo Aya nimeiona na imesisitizwa kweli kweli na naomba kama kuna anayejua Aya inayosema hivi katika Kitabu cha Biblia (cha Wakristo) aniwekee hapa.
Tuyaheshimu sana Maagizo ya Mungu!