Viongozi wa dini waliokutana Rais Samia Wamemshauri kuifuta kesi ya Mbowe

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,547
217,812
Hivi ndivyo Mwananchi walivyoeleza kwenye tovuti yao jioni hii .

Hoja hiyo iliwasilishwa mbele ya Rais na Shehe Mkuu (BAKWATA) Mufti Aboubakar Zuberi
=======

VIONGOZI WA DINI: BUSARA ITUMIKE KUMALIZA KESI YA MBOWE

Viongozi hao wameomba Mamlaka husika kutumia busara na kuangalia namna ya kumaliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na wenzake

Wametoa rai hiyo leo Machi 2, 2022 walipokutana na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Ikulu Dar es Salaam. Katika Mkutano huo, Viongozi hao wa Dini mbalimbali pia wamependekeza kuwe na Mjadala mpana kuhusu Mfumo mpya wa Elimu utakaokidhi mahitaji ya sasa.

20220303_035419.jpg
20220303_035417.jpg
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi mbalimbali wa Dini mara baada ya Kikao chao kilichofanyika leo tarehe 02 Machi, 2022 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

805C49E1-2C9B-4DAE-A467-AB65AFDCFFD8.jpeg
 
Kichwa cha Habari WAMEMSHAURI

Habari halisi WAMEMWOMBA

Kwani ukisema Rais Ameombwa unaona kama utampa credit Rais?

mwisho: Mh Rais Alishasema; suala hili kwa kuwa lipo Mahakamani si busara kulisemea.

Tuwe na imani na Mahakama yetu na itatenda haki.
Kwa hiyo hao viongozi wa dini hawana akili wote au ni wewe uliyetindikiwa
 
Kichwa cha Habari WAMEMSHAURI

Habari halisi WAMEMWOMBA

Kwani ukisema Rais Ameombwa unaona kama utampa credit Rais?

mwisho: Mh Rais Alishasema; suala hili kwa kuwa lipo Mahakamani si busara kulisemea.

Tuwe na imani na Mahakama yetu na itatenda haki.
Siku zote Rais haombwi , anashauriwa tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom