dereva

  1. gimmy's

    JamiiForums Tanzania TRA yampiga faini ya 3,500,000 dereva kisa kapakia tenga 27 za nyanya

    Siku chache zilizopita niliandika kueleza ugandamizwaji unaofanywa na TRA uliomuhusu dereva mmoja wa semi ambae alipigwa faini ya 3,000,000/= kisa kapakia tenga 20 za parachichi na alipoulizwa risiti ya transport hakuwa nayo kwani mzigo ule haukuhusu ofisi,ilikuwa ile kawaida ya madereva...
  2. Pascal_TZA

    JamiiForums Tanzania Afisa LATRA aliemtishia dereva lori panga asimamishwa kazi (+video)

    Mamlaka ya Udhibiti usafiri Ardhini LATRA imemsimamisha kazi Afisa wake kutoka Mkoa wa Lindi ambaye video yake imesambaa mtandaoni akimshikia silaha aina ya panga dereva wa lori lenye namba ya usajili T412 DNN kilichotokea tarehe 11/11/2020. Mkurugenzi Mkuu wa LATRA, Gilliard Ngewe amesema sasa...
  3. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Lindi: Mtumishi wa LATRA amtishia sime dereva wa lori ili ampe leseni

    Emmanuel Manase, Mtumishi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (LATRA) alimtolea sime dereva wa lori akimtaka ampe leseni yake. Tukio hilo limeonekana kuwa na ugomvi mkubwa na baadae mtumishi huyo aliamuru dereva aandikiwe faini ya Tsh. 500,000 ili kumkomoa. Umoja wa Wamiliki wa Mabasi...
  4. I

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya udereva

    Husika na kichwa cha habari hapo juu,heshima zenu wote poleni na majukumu ya hapa na pale. Natafuta gari hesabu /mkataba Uber/Bolt/Ping/ hata kumuendesha mtu binafsi /kampuni napatikana Dar es Salaam vigezo vyote ninavyo pamoja na vyeti vya ufundi. Nitashukuru kama nitasaidiwa 0716-326162...
  5. I

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya Udereva Uber, Bolt, Ping nk

    Husika na kichwa cha habari hapo juu,heshima zenu wote poleni na majukumu ya hapa na pale. Natafuta gari hesabu /mkataba Uber/Bolt/Ping/ hata kumuendesha mtu binafsi /kampuni napatikana Dar es Salaam vigezo vyote ninavyo pamoja na vyeti vya ufundi. Nitashukuru kama nitasaidiwa 0716-326162...
  6. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

    Wanabodi Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu, "Shambulizi la Lissu, wanaomdhania dereva anahusika, sio wajinga!, wana hoja za msingi!" Swali ni Jee Dereva Anahusika? Si maanishi kuwa dereva wa Lissu anahusika, bali mazingira ya tukio...
  7. maroon7

    JamiiForums Tanzania Dereva na konda wanusurika kichapo baada ya kuwanyima abiria raha ya Flyover

    Juzi siku moja baada ya uzinduzi wa barabara ya juu kuna daladala ya kutokea Makumbusho kwenda Buguruni ilileta tafrani baada ya konda kumwambia dereva asipite flyover ili ajazie abiria pale kituo cha mafuta cha Oilcom iliyo pembeni ya flyover. Dereva kama kawaida yao wanatumiaga akili za konda...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Dereva wa Bajaji anahitajka

    Heshima zenu wakuu, natafuta dereva wa Bajaji ambaye amejiunga Uber na Bolt kwa ajili ya biashara ya Bajaji. Awe mkazi wa dar maeneo ya Tabata, Mwenge, Msasani, Mikocheni au Kawe au maeneo ya karibu. Dereva awe na leseni, kitambulisho Cha taifa, barua ya utambulisho na pia awe mchapakazi hasa...
  9. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania Nimewaza Ujinga: Kwanini magari yasigome kuwaka mpaka dereva atakapochomeka leseni yake na funguo kwa pamoja?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Ndugu zangu watanzania eti; Kwanini kusiwe na mfumo ambao utawezesha, licha ya kwamba engine imewashwa kwa funguo, lakini bado gari itagoma kuwaka mpaka utakapochomeka pia leseni yako ya udereva? Yaaani kunakuwa na direct contact baina ya...
  10. issawema

    JamiiForums Tanzania Natafuta kampuni ya usafirishaji au dereva wa kusafirisha vitu vya ndani

    Natafuta kampuni au dereva anihamishie vitu kutoka Dar kuelekea Mafinga na vitu vya ndani kitanda kabati etc...kwenye tar 26 au 270 mwezi huu. Kama unainua kampuni au ww ni dereva ni PM contacts zako nkutafute. Aksanteh
  11. P

    JamiiForums Tanzania Dereva wa uber natafu gari ya kazi iwe hesabu au mkataba

    Mimi ni dereva wa uber natafu gari ya kazi iwe hesabu au mkataba pia nina account ya uber na leseni namba yangu ni 0764254637
  12. politicians

    JamiiForums Tanzania Natafuta dereva wa magari ya mzigo anayekwenda Kenya Nairobi

    Habari wadau!, natafuta dereva wa magari ya mizigo anayekwenda kenya,ambaye anayeweza kunichukulia mzigo wangu kidogo kutoka nairobi kuleta Tz,anitext +255687234549,tutaelewana.
  13. BAVICHA Taifa

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Tundu Lissu afuata gari lake lililoshambuliwa ofisini kwa RPC Muroto. Ashangaa hadi sasa hajahojiwa yeye na Dereva wake

    CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA Mgombea Urais wa JMT kwa tiketi ya CHADEMA, Mh. Tundu Lissu, leo ametembelea Ofisi ya Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma kwa lengo la kuchukua gari lake ambalo limehifadhiwa na Jeshi la Polisi Mkoa huo jaribio la mauaji...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Mnyika: Ratiba ya Tundu Lissu kurudi ni ile ile na tarehe 28 atakwenda msibani

    Hayo yamesewa na Mhe. Mnyika kupitia mtandao wa twitter. Taafika kamili ya chama kwa umma:
  15. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Angellah Kiwia na dereva wahukumiwa kulipa 800,000/-

    MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu mwandishi wa habari, Angellah Kiwia na dereva Mohamed Rushaka, kulipa faini ya Sh. 800,000 au kwenda jela kutumikia kifungo cha miaka miwili gerezani baada ya kukiri na kutiwa hatiani kwa kosa kujipatia pesa kwa njia ya vitisho. Kadhalika washtakiwa...
  16. sijaelewa

    JamiiForums Tanzania Huu mwendo, bado kuna utaratibu wa ving'amuzi vya mabasi?

    Habari wanaJF nipo safarini ndani ya basi fulani ya Njombe, Mmmmhh huo mwendo, unanipa mashaka kama bado kuna utaratibu wa ving'amuzi maana huwa vinalia kila dereva akifika spidi 80 kwa saa. Kwenye hili basi hakuna hata kubeep, mara kutaka kumpita basi mwenzake mara break za ghafla. Nisaidieni...
  17. F

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya udereva, nina akaunti active Uber, Bolt nk

    ....
  18. D

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu kurudi bila dereva wake, maisha yake yako shakani

    *TUNDU LISSU KURUDI BILA DEREVA WAKE* - *Ni yule aliyekuwa naye wakati anashambuliwa Dodoma* - *Chadema walimtorosha akiwa Dar baada ya kuhitajika na Afande Mroto kwa mahojiano* - *Chadema walimtorosha kwa gari yao walioifunga bendera ya CCM hadi mpakani Namanga* - *Haijulikani ni kwa nini...
  19. GuDume

    JamiiForums Tanzania Dereva fahamu HAKI na WAJIBU wako unapokutana na Traffic Barabarani kuepusha Migogoro

    Wadau wenye usafiri tuweze shirikishana mambo mbalimbali ambayo madereva wanapaswa kuzingatia barabarani hasa kwa upande wa Haki na Wajibu wao. Na sisi tusio na magari pia tutapata darsa hapa.maana nakumbuka miaka ile sisi tunasoma tulijifunza kwenye Geography Kilimo cha Mahindi USA lakini...
  20. MK254

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Tanzania yasalimu amri kwa Uganda pia, kila dereva lazima apimwe, hamna kucheka cheka

    Duh! Kumbe Watanzania walikua wamenunia na Waganda pia, hawa wenzetu diplomasia imewashinda, sasa ni mwendo wa full migogoro na majirani wote. Hii ni baada ya Tanzania kusalimu amri kwa Kenya na kukubali madereva wake kupimwa na Wakenya, sasa imetangazwa hata kwa Uganda mwendo ndio huo huo...
Back
Top Bottom