Dereva wa Bajaji anahitajka

kayimukaa

JF-Expert Member
Jan 8, 2014
483
636
Heshima zenu wakuu, natafuta dereva wa Bajaji ambaye amejiunga Uber na Bolt kwa ajili ya biashara ya Bajaji. Awe mkazi wa dar maeneo ya Tabata, Mwenge, Msasani, Mikocheni au Kawe au maeneo ya karibu.

Dereva awe na leseni, kitambulisho Cha taifa, barua ya utambulisho na pia awe mchapakazi hasa na sio ujanja ujanja na visingizio. Kipande kwa siku Ni tsh 15,000 Bajaji ipo kwenye hali nzuri Sana.

Mawasiliano
0620704530
 
Heshima zenu wakuu, natafuta dereva wa Bajaji ambaye amejiunga Uber na Bolt kwa ajili ya biashara ya Bajaji. Awe mkazi wa dar maeneo ya Tabata, Mwenge, Msasani, Mikocheni au Kawe au maeneo ya karibu.

Dereva awe na leseni, kitambulisho Cha taifa, barua ya utambulisho na pia awe mchapakazi hasa na sio ujanja ujanja na visingizio. Kipande kwa siku Ni tsh 15,000 Bajaji ipo kwenye hali nzuri Sana.

Mawasiliano
0620704530
naomba iyo kaz mkuu ila nipo mbeya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom