dawa

Da‘wah (Arabic: دعوة‎, [ˈdæʕwæh] "invitation", also spelt daawa, dawah, daawah or dakwah😉 is the act of inviting or calling people to embrace Islam. For certain groups within Islam like the Salafis and Jamaat-e-Islami, Dawah is also considered as a political activity. For these groups, the aim of Dawah outreach is also to engineer a reversal of what they perceive as the decline of Islam in the modern era, through the systematic propagation of Islamist ideology and ultimately enable the establishment of an Islamic state.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    JamiiForums Tanzania Grace Products (Zoa Zoa) yaja na Dawa ya Meno

    Grace Products (Zoa Zoa) yaja na Dawa ya Meno Ile kampuni maarufu Bongo kwa utengenezaji wa bidhaa mbalimbali za vipodozi, maarufu kwa jina la Zoa Zoa imepiga hatua nyingine mbele kwa kutoa dawa ya Meno iitwayo Zoa Zoa ya Meno. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...
  2. mwanzo wetu

    JamiiForums Tanzania Nina siku moja tangu nimemaliza dawa za UTI naweza kunywa pombe?

    Mimi na siku moja nimemaliza dozi za UTI , sasa leo nimejikuta na kunywa pombe ,naomben ushauri je nimekata dozi , na weza kuanza upya? Nawaza sana naomben ushauri ndugu zangu.
  3. Manstone

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa dawa ya kutibu tatizo la kichwa kuuma mara kwa mara

    Habari wapendwa? Nakuja kwenu kuomba anaefahamu dawa ya maumivu ya kichwa kwani yamekuwa yananisumbua kila siku najikuta natumia painkiller kila aina lakini zinagonga mwamba huu mwaka was saba sasa kinanisumbua tu. Nimeenda hospitali mbalimbali lakini naambiwa sina, nimepiga CT scan MRI...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Hivi addiction ya pombe ina dawa kweli?

    Nina ndugu yangu alikuwa ameacha pombe kama miaka minne hivi iliyopita. Sasa hizi sikukuu za juzi: Akaniambia: "Aisee, ngoja niinjoi kinywaji kuanzia krismasi mpaka mwaka mpya tu, halafu mambo yarejee kama awali." Jamani, Leo hii (tarehe 15/1/2022) yuko kaunta ana bia ya nne! Jamani kuna...
  5. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Maduka ya Dawa yaliyo nje ya mageti ya Hospitali za Serikali huwa na dawa muda wote lakini ndani ya Hospitali husika hamna dawa

    Kipindi cha awamu ya tano Mheshimiwa Rais Magufuli alipiga marufuku sana ya maduka yaliyo nje ya hospitali za Serikali, kwani ilionekana kuwa hayo maduka ndo chanzo cha Kukosekana dawa ndani ya hospitali hizi za serikali. Wengi tulishuhudia huduma nzuri pamoja na upatikanaji wa dawa ndani ya...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Muhimbili tusaideni hili la dawa ya tezi dume

    Facebook kuna clip inayotangaza dawa ya kutibu tezi dume bila upasuaji wala vidonge. Tangazo linajinasibu ya kuwa dawa hiyo inatoka Muhimbili. Ukiangalia anayetangaza kavaa Tshirt yenye nembo zinazohusiana na serikali. Ukijaribu ku-chat ili kujua bei majibu yanakuwa si ya wazi sana. Kwakuwa...
  7. R

    JamiiForums Tanzania SUA kweli kwenye maabara zenu hamuwezi kubuni dawa kama Butalex? na zingine za mifugo?

    Najiuliza kweli hamuwezi kubuni kutoka maabara zenu kwa kutumia miti shamba yetu kutengeneza dawa kama Butalex? hii dawa sasa hivi haipatikani madukani, kuna formulations zenye mapungufu makubwa. Mnakwana wapi na mmejaza maprofesa na MaDr kibao wenye mabooks na madictionary kibao? Litafakari...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Bajeti ya Dawa ifutwe ni kiini macho na Upigaji wa Wazi

    Nimefika katika hospitali mbali mbali ndani ya msimu huu wa mafua ya kawaida na sikukuu za mwisho wa mwaka. Katika hospitali zote nilizokwenda kama mgonjwa au kupeleka wagonjwa nimethibitisha tashwishi yangu kuhusiana na bajeti ya dawa. Hakuna wagonjwa wanaopata huduma ya dawa. Dawa zote...
  9. figganigga

    JamiiForums Tanzania Lindi: Ally Chinga mkazi wa kata ya Msinjaili, amefungiwa ndani na kupuliziwa dawa ya Mbu kwa tuhuma za Wizi

    Kijana mmoja aliefahamika kwa jina la Ally Chinga mkazi wa kata ya Msinjaili manispaa ya Lindi amefungiwa ndani na kupuliziwa dawa ya Mbu baada ya kupigwa na mtu aliyemtuhumu kuiba betri ya gari leo Disemba 28, 2021. Imeelezwa kuwa, Mtuhumiwa huyo ambaye ni kondakta, alipewa gari hiyo kwenda...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Nimeanza kutumia PEP saa ya 38 tangu kujichoma sindano ya mtu aliyeathirika na VVU

    Habari wakuu Katika kujipima kutumia bioline nimejikuta nimejichoma sindano niliyokuwa nimemchoma mtu mwenye HIV Sasa nilikuwa mbali kidogo na eneo la kituo cha afya kwahiyo kesho yake ikanibidi niende kituo cha afya mida ya saa nane nikawaelezea wakanipa dawa ya pep imeandikwa LTD m...
  11. Mkaruka

    JamiiForums Tanzania "Dokta nimekuelewa, ila kama unadhani hizo Dawa ni Tamu, Meza wewe"

    Kiukweli binadamu ni wabishi sana. Yaani mtu ameathirika na VVU, akashauriwa kuanza kumeza dawa akakubali. Baada ya kumeza kwa muda akaacha. Sasa leo anatafutwa tujue tatizo nini ili kulinda afya yake haya ndio majibu anatoa🙄 Anyway, hawa ndio binadamu.
  12. elmagnifico

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Binti aliyebebeshwa dawa za kulevya na mchumba wake wakati wa safari ya kwenda kutambulishwa ukweni

    Jumapili nilikuwa nasikiliza kipindi cha njia panda cha Clouds nikasikia story yam dada flani anayeitwa Mansura. Mansura ni mwenyeji wa Moshi, alikuja kuishi Dar mwaka 2013 wakati alipojiunga na chuo cha Bandari. Kama mnavyojua mabinti wa chuo, Manstura alikuwa ni sista du wa ukweli. Siku moja...
  13. mwanamakole

    JamiiForums Tanzania JITIBU Kisukari, Shinikizo la damu, Arthritis, Vidonda vya tumbo nk kwa dawa hii

    WATER THERAPY Faida zake; Utaondokana na changamoto zifuatazo: 1. Uzito usiotakiwa 2. uchovu kwa wakati usiostahili 3. kutopata usingizi kwa wakati muafaka wa kulala 4. Maumivu sugu ya Tumbo, Kichwa, viungo nk 5. kupunguza Tumbo/ Kitambi 6. Cancer, Kisukari, asthma, Shinikizo la damu( la juu...
  14. Mdadamwema.

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa dawa ya ganzi

    Nawasalimu wakuu. Mwenye kujuwa dawa ya hii shida naomba anisaidie tafadhali. Ninashida ya kufa ganzi viganja vya mikono hasa kwenye vidole yaani huwa vinapokezana,vinaweza kufa ganzi vidole viwili vya mwisho au vya Kati tu au wakati mwingine kiganja kizima, na mikono pia hupokezana,na hii...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Wapi napata dawa ya COVIDOL ?

    wakubwa nauliza si kwa ubaya naweza pata wapi ile dawa ya Madagascar iliyozinduliwa na muheshimiwa Kaboud mwaka jana
  16. EvilSpirit

    JamiiForums Tanzania Natafuta dawa ya kimazingaombwe ya wa namna hii

    nikitumia dawa hiyo nikimwambia mtu jambo anikubalie na asikatae,je dawa ya namna hii huwa ipo
  17. Da Vinci XV

    JamiiForums Tanzania Acha Al-Khasus, mimi ninazo mpaka dawa za china

    Naam Naam yeye ni zawadi ya kimwambao, binti wa pwani. Sijui nimuite malaika wa kibantu, kihabeishia au kiajemi sielewi nimuweke kundi lipi hata Unaweza kuuona uzuri wa wake pia kwa kuitazama tu ngozi yake, laini yenye mvuto usiomithilika usio wa dukani ambao umetunzwa vyema mara nyingi...
  18. Frumence M Kyauke

    JamiiForums Tanzania Fahamu dawa ya PrEP na inatumika vipi kuepuka maambukizi ya VVU

    PrEP ni nini? Pre-exposure prophylaxis au PrEP ni matumizi ya dawa za kupunguza makali ya VVU na watu wasio na VVU ili kuzuia upatikanaji wa maambukizi ya VVU. Tangu Septemba 2015, WHO imependekeza kwamba watu walio katika hatari kubwa ya kuambukizwa VVU, wanaojulikana kama watu walio katika...
  19. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Jela miaka 40 kusafirisha dawa za kulevya

    MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Mtwara imewahukumu watu wawili kati ya watatu kifungo cha miaka 40 jela na kulipa faini ya Sh. 1,517,853,318 baada ya kupatikana na hatia ya kusafirisha dawa za kulevya. Hukumu iliyotolewa na Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam aliyeteuliwa...
  20. Mbao Tanzania

    JamiiForums Tanzania Mbao zenye dawa ni bora kuliko chuma

    Inatamanisha kutumia chuma katika kuezeka au kukamilisha ujenzi wa majengo na utengezaji wa samani kama vitanda, meza, makochi n.k. Lakini malighafi ya chuma ni gharama sana na inaweza kukupatia hasara. Chuma kinapata kutu, kinaoza, kinasumbua kwenye uandaaji na matumizi yake. Ni bora kutumia...
Back
Top Bottom