Wakuu nimepata changamoto katika Google Pixel 6 yangu kama ifuatavyo; simu yangu baada ya kuifayia factory reset imeleta hiyo error.
Nimejaribu kuwa contact google kwenye email yao kama nilivyoelekezwa kwenye picha hapo chini lakini nimeshindwa.
Hii simu ni simu yangu wakuu na nimeitumia miezi...
Position: ICT Innovations and Data Management Manager
Reports to: Director of Strategy and Performance Management
Supervise: ICT system analyst, ICT system Administrator, Digital Solutions Partner
Department: Strategy and Performance Management
Duty Station: Head Office -Dar es Salaam
Key...
Position: Senior Data Manager
Reports to: VACS Project Director
Position Location: Dar es Salaam, Tanzania
Overall Job Function
Reporting to the VACS Project Director, the VACS senior data manager will ensure quality data of high standard are collected, analyzed and reported. The VACS senior...
Position: VACS ICT Data Manager
Reports to: Senior Data Manager
Position Location: Dar es Salaam, Tanzania
Overall Job Function
The VACS ICT Data Manager is responsible to ensure good storage and maintenance of tablets in the entire duration of the survey. S/he will be expected to...
Position: Specialist; Fraud Control & Data Analytics
Location: Head Office, HQ
Main Responsibilities:
Utilizing advanced data analytics techniques to closely monitor and analyze data, identify patterns and trends indicative of fraudulent activities, and promptly respond to any suspicious...
The Tanzania Intelligence and Security Service is the national intelligence and security agency of Tanzania. The Agency works closely with other National and International intelligence agencies and security organs in the promotion and maintenance of peace, safety and security in and outside...
Wanajamii, kwa mwenye uhitaji wa hizi huduma zifuatazo, anicheki Whatsapp mawasiliano 0676245401:
1) Data Analysis
2) Kupika data
3) Kutengeneza Logo
4) Kutoa ban whatsapp
5) Translation of articles/books/magazines(kutafsiri vitabu,majarida n.k) eng-kisw na kisw-eng
6) Kutengeneza card za...
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ungezeko la gharama za vifurushi vya internet DATA.
Ebu tushauriane hapa njia zipi hasa zitasaidia kupunguza matumizi ya DATA.
Mimi huwa najiuunga Gb9.5 kifurushi cha mwezi ila mara zote huisha ndani ya wiki mbili tu.
Nimejaribu kupata apps ambazo...
Wanajukwaa mnaotumia laini ya TIGO kama mimi naomba msaada.Mimi data nikiingia internet zinakwanguliwa faster sana.Issue hii imeanza juzi je ?na kwa wengine iko hivi au kuna nini?
Lakini kwenye mtandao wa Airtel data consumption kawaida tu. Changamoto airtel internet kwa maeneo nilipo ni slow...
Kwa wataalam wa IT upande wa software engineering watakubaliana na Mimi kuwa udukuzi ni kitu cha kawaida kabisa katika tasinia ya technologia.
Udukuzi hufanywa Mara nyingi sana. Lakini Kuna iana mbili za udukuzi.
1.Udukuzi wa faida(kujikinga na magaidi na kurinda Usalama)
2.Udukuzi wa...
Hii ni offline app niliyoitengeneza kwa ajili ya matumizi binafsi kwa lengo la kukokotoa jumla ya mauzo ya siku katika fremu yetu ndogo. Nimeiweka Playstore ili kushare na wengine wanaohitaji. Kwa kifupi unavyoanza siku mpya ya biashara unagusa button [J] ili kufungua jalada mpya na utaona...
Job Title: Data Clerk – 38 Positions (Temporary)
Reports to: Strategic Information (SI) Regional Lead
Duration of the Contract: June – Sept 2023
Start Date: Mid-June 2023
Location: Mbeya Region
Specific Task Job Description
Data Clerk will work at facility level to assure timely entry of...
Kwa simu tofauti na laptops nimefanya hii ishu na nimekosa jibu, hata Nikitumia router au modem nayo ni hivyo hivyo.
Nilidhani ni janja janja za mitandao labda kuna vitu vyao ila nishajaribu line 4 tofauti, ni hivyo hivyo.
Nadownload file la MB 10 lakini Data usage inaonyesha MB 12,,,
Hii ni...
Habari wakuu.
Naimani wote mko salama na majukumu yanakwenda. Ninatafuta Kazi ya muda mfupi/mrefu ya kufanya data analysis and visualization na creating of dashboard kwakutumia Excel. Kama utahitaji niwepo kwenye data collection pia nipo tayari.
Natanguliza shukrani na kuwatakia siku njema
Wadau wa tech sijawai kukosa majibu. Kweli watu wa tech ni smart and generous.
Watu wa jukwaa la sheria tutawajadiri siku nyingine.
Sasa katika kutafuta njia ya kisasa ya kutunza movies nikahis kuna kifaa zaid ya hizi HDD ambazo zina expire na data kuharibika.
Je, kwa kifaa na si kutunza kwa...
THE Personal Data Protection Act in Tanzania that was passed by the Parliament in November 2022 has come into effect from May 1st this year, the government has said.
The Minister for Information, Communication and Information Technology, Nape Nnauye said in the public information that was...
UTANGULIZI.
Serikali imekuwa ikikumbwa na ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma ambapo ubadhirifu huu unasababishwa kwa kiwango kikubwa na maamuzi mabovu yanayofanywa na wizara ama taasisi zake kwa makusudi ili kutimiza adhma ya ubadhirifu, kuna maamuzi mengi yanafanyika katika wizara mbalimbali na...
Tanzania imepitiwa na mkongo wa kimataifa wa mawasiliano uliopita chini ya bahari, na kwa ufuatiliaji mdogo nilioufanya juu ya gharama halisi za uendeshaji na utunzaji wa mradi husika (running & Maintanance) , GB 1 ya data ingepaswa tuuziwe kwa shs.100/= , na hapa bado wangepata faida kubwa...
"Unalewa hovyo, unafanya Ngono Garini wakati Gesti ziko tele na una Kwako, unaendesha hovyo Gari, unafanya kila mbwembwe Mitaani au Barabarani na kufanya Upuuzi wote Siku za Sikukuu mahala pekee ambako utaila vyema hiyo Sikukuu yako ni Jela.
Katika Sheria za Nchi hakuna mahala pameandikwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.