data

  1. M

    GPA ya 3.0 as Data analyste kwenye ajira?

    Wakubwa nilikuwa naomba kujuzwa kwa mtu aliesomea Bachelor of science In Information System GPA inasoma 3.0 na anaujuzi wa data analytics. Anauwezekano wa kupata Ajira in goverment or private sectors?
  2. A

    Jamiiforum mnataka tuwashe data (Internet) muda wote?

    Sio kila mtu anapenda kuwasha data muda wote anapoperuzi mtandao, JF zamani kama unasoma bandiko refu basi ulikuwa na uwezo wa kuzima data
  3. Msela Wa Kitaa

    Msaada Wa Jinsi Ya Kuwasha Data kwenye simu ya Sony SOV39

    Msaada tutani wakuu nimsaidie jamaa yangu Sehemu ya data ipo on lakini kwenye screen haionekani kuwa on, hata ukiingia mtandaoni hapafunguki
  4. Kaka yake shetani

    Kampuni za simu bado zinatumia 3G mfumo data japo zinashindwa ku update minara Tanzania acha nieleze ukweli hapa

    Ili jambo lipo afrika na linaigizwa kwa mtindo wa kudanganywa kuwa kifaa chako sasa kina 4g au 5g. Ghalama za kuendana na hiyo mifumo nikubadilisha vifaa vyote kwa wakati ili kumudu vifaa hivyo. Leo niko kijiji X kina mnara tokea wa 3G ila hakuna changamoto ya kuharibika kifaa kina niambia...
  5. M

    Mshahara wa data scientist

    Wakubwa nilikua naomba kufahamu mshahara anaopatiwa data scientist kwa upande wa goverment na private sector?
  6. Red shadow

    Je ni kweli kuna VPN zinapunguza ulaji wa bundle la Data

    Wakuu huku kitaa kuna vpn nyingi ambazo wadau wanadai zinapunguza data kuisha au kutumika zingine wanasema ukiwa nayo unatumia data bure
  7. mkorinto

    Bando za data Vodacom zinaisha kwa kasi ya ajabu, tatizo ni nini?

    Wadau, kuna yeyote kati yenu pia ameshtuka kwamba speed ya uishaji wa kifurushi cha data mtandao wa vodacom umekuwa una kasi isiyo ya kawaida? Mimi ni muumini wa X, threed, jamiiforums kwa matumizi ya muda mwingi wa simu, ni nadra sana kunikuta instagram, ticktock, au youtube ikiwa nitakuwa...
  8. Jamii Opportunities

    Data Analyst at East Africa Fruits July, 2024

    Data Analyst at East Africa Fruits July, 2024 About the job Collect and curate data from various sources, including but not limited to Google Sheets, databases, and APIs. Organize, clean, and maintain datasets to ensure data integrity and accessibility. Apply statistical methods to interpret...
  9. M

    Data science and fullstack web developer

    Wakubwa nilikuwa naomba kwa anaejuwa kati ya data science na fullstack web develpmnt. Ni ipi inasoko sana kwa tanzania na hata nje pia?
  10. B

    SoC04 Utumiaji wa teknolojia ya mfumo wa data wazi(open data) kama chombo muhimu katika mapambano dhidi ya rushwa na kuimarisha utawala bora nchini Tanzania

    "Tanzania tuitakayo kwa miaka 5 hadi 25" Katika mapambano dhidi ya rushwa na utawala bora UTANGULIZI Mfumo wa data wazi ni mfumo ambao unaruhusu ufikiaji wa data na taarifa bila vikwazo au vizuizi. Kuna mambo kadhaa yanayowakilisha mfumo wa data wazi kama vile data inapatikana bila malipo au...
  11. Jamii Opportunities

    Data clerks (44 Positions) at PASADA

    Job Description: The Data Clerk will work at the council level to ensure the timely entry of beneficiaries’ reports for the DREAMS Project and Early Childhood Development (ECD), within one day. After reception of the forms from the M&E officer while undertaking data verification to ensure...
  12. M

    Data center za tanzania zinatumia njia gani kujikinga na cyber attacks kwenye network infrastructure zake?

    Habari wadau Nipo kwenye harakati za kujiandaa kufanya utafiti juu ya matumizi ya Next Gen Firewall hapa Tz na case study yangu itafocus kwenye data center Hivyo ningependa pata first hand experience toka kwa wadau wenye access na knowledge za data canter infrastructure hapa bongo
  13. Jamii Opportunities

    Analyst Procurement Master Data at Kilombero Sugar June, 2024

    Position: Analyst Procurement Master Data Specific Duties and Responsibilities • Maintains Master Data on an on-going basis to support the Purchasing Function in accordance with the Group Procurement Strategy i.e. ensures no duplicates and no remapped MIDs exist in an active state for more than...
  14. the_pythonman2016

    Python for Data Analysis

    Habari, Natoa Training ya Python for data analysis. Modules to be discussed 1.Pandas 2.Numpy 3 Matplotlib 4.Seaborn Tutatumia dataset kutoka sources mbalimbali Training Period: 30 days Training Platform: Zoom Contacts: Phone:+255622071858/+255766047800 Email: infonet20th@gmail.com...
  15. the_pythonman2016

    Python for Data Analysis

    Habari, Natoa Training ya Python for data analysis. Modules to be discussed 1.Pandas 2.Numpy 3 Matplotlib 4.Seaborn Tutatumia dataset kutoka sources mbalimbali Training Period: 30 days Training Platform: Zoom Contacts: Phone:+255622071858/+255766047800 Email...
  16. M

    SoC04 Impact of the Personal Data Protection Act on businesses in Tanzania

    As the number of organizations that process personally identifiable information increases, so does the need for such organizations to ensure the safety and privacy of data. It is essential for organizations to implement a data protection framework that provides guidance on the protection of...
  17. Sir John Deere

    Abdullah Mwinyi ailalamikia Vodacom kwa wizi wa Data, 50000 bila matumizi yeyote imeisha

    Labda hawa viongozi wakisema tutasikilizwa ila kiukweli hii mitandao imekua ni kero.
  18. M

    Bando sasa ziwe bila ukomo wa muda wa matumizi

    Salam kwenu. Kufuatia changamoto ya internet tunayoendelea kuipata niiombe TCRA kuyaagiza makampuni yote yanayotoa huduma za internet. 1. Kufidia wateja wote kwa kurejesha bando zilizolika ama ku expire kipindi hiki cha tufani la internet. 2. Vifurushi vyote vya internet sasa visiwe na ukomo...
  19. mbarakasaidi

    FLASH YANGU INAANDIKA usb corrupted tap to fix ! Inaweza kupona? Na data zisipotee?

    Flash inawaka ila nikiichomeka kwenye PC inalazimisha niifomat. Ila notification inasema tap to fix na signal ya flash inawaka ,hii wadau inaweza kupona na DATA zikaendelea kubaki?
  20. Jamii Opportunities

    Senior Data Visualization at USAID / T-MELA April, 2024

    USAID TANZANIA MONITORING, EVALUATION, LEARNING AND ADAPTATION ACTIVITY (USAID T-MELA) POSITION DESCRIPTION: SENIOR DATA VISUALIZATION / GEOMAPPING EXPERT Office Location: Tanzania – USAID T-MELA Office, Block No. 6, Mlimani City Office Park. Contact: Please send your application by e-mail to...
Back
Top Bottom