rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,199
- 20,176
Siku zote najua tunaibiwa data na MAKAMPUNI ya simu lakini sikujua Kama ni wezi kiasi hicho.
Mara nyingi naweka kifurushi cha wiki lakini hata simu yangu ilizima charge kwa kukosa umeme kifurushi huwa kinakaa siku moja tu na so zaidi.
Leo sijui imekuwaje nimezima data baadae nikaangalia salio nikakuta na mb 269. Sijui nimewaza Nini bado sijawasha data kuangalia salio nakuta mb 266 nikashtuka baada ya dakika mbili nimeangalia salio hapo data nimezima nikakuta mb 263. Kwa maana nyingine hata ukizima data bado mb zinaisha.
Jumatatu naenda TCRA Kuna Jambo nafatilia nitawaonyesha hao maafisa jinsi gani tunaibiwa ndio maana sijataja jina la kampuni.
Mara nyingi naweka kifurushi cha wiki lakini hata simu yangu ilizima charge kwa kukosa umeme kifurushi huwa kinakaa siku moja tu na so zaidi.
Leo sijui imekuwaje nimezima data baadae nikaangalia salio nikakuta na mb 269. Sijui nimewaza Nini bado sijawasha data kuangalia salio nakuta mb 266 nikashtuka baada ya dakika mbili nimeangalia salio hapo data nimezima nikakuta mb 263. Kwa maana nyingine hata ukizima data bado mb zinaisha.
Jumatatu naenda TCRA Kuna Jambo nafatilia nitawaonyesha hao maafisa jinsi gani tunaibiwa ndio maana sijataja jina la kampuni.