Tanzania kuna huduma ya data recovery? Inagharimu kiasi gani?

1. Umefuta data zako kwa bahati mbaya?
2. Data zimeliwa na virus?
3. Disk drive yako imeharibika na haisomi kwenye computer?
4. Disk drive yako imeharibika na inasoma kwenye computer?
Disk imeharibika haisomi kwa PC. Nimenunua mpya na ile nikaweka kwenye kasha la external. Kuiweka kwa PC inadetect tu partition lakini haisomi.

Inadetect hizo D, F na G.
1702847222332.png
 
Back
Top Bottom