Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,233
- 12,742
Habari wakuu sana. Hivi hapa kwetu huduma ya data recovery kitaalamu ikitokea mtu disk yake imeroga inapatikana wapi? Inagharimu kiasi gani huduma hiyo?
Mbona kafafanua vzr, hujaelewa nini?We jieleze vizuri zaidi ya hapo unatafuta kupigwa.
1. Umefuta data zako kwa bahati mbaya?Habari wakuu sana. Hivi hapa kwetu huduma ya data recovery kitaalamu ikitokea mtu disk yake imeroga inapatikana wapi? Inagharimu kiasi gani huduma hiyo?
Disk imeharibika haisomi kwa PC. Nimenunua mpya na ile nikaweka kwenye kasha la external. Kuiweka kwa PC inadetect tu partition lakini haisomi.1. Umefuta data zako kwa bahati mbaya?
2. Data zimeliwa na virus?
3. Disk drive yako imeharibika na haisomi kwenye computer?
4. Disk drive yako imeharibika na inasoma kwenye computer?
Kuna jamaa alikuwepo pale DIT miaka ya hapa kati alikuwa anafanya haya mambo sijui aliishia wapiDisk imeharibika haisomi kwa PC. Nimenunua mpya na ile nikaweka kwenye kasha la external. Kuiweka kwa PC inadetect tu partition lakini haisomi.
Ikidetect hiyo partition, PC inaendelea kufanya kazi vizuri? Hapo unaweza jaribu recovery software uone kama inadetect hiyo partition. Ikishindikana,kuna kupoteza au kutuma Nairobi.Disk imeharibika haisomi kwa PC. Nimenunua mpya na ile nikaweka kwenye kasha la external. Kuiweka kwa PC inadetect tu partition lakini haisomi.
Na kama Pc inaona HDD ila huwezi kuona mafile ndani ya hiyo HDDIkidetect hiyo partition, PC inaendelea kufanya kazi vizuri? Hapo unaweza jaribu recovery software uone kama inadetect hiyo partition. Ikishindikana,kuna kupoteza au kutuma Nairobi.
Mkuu hii tech yako mpya kwenye data recovery...Wapelekee wazee wa kupiga window...
wataiflashi na kuirooti, halafu wanaikopi na kuipaste kwenye android....