Dar es Salaam is the largest city and financial hub of Tanzania. With a population of over five million people, Dar es Salaam is the largest city in East Africa and the sixth-largest in Africa. Located on the Swahili coast, Dar es Salaam is an important economic center and one of the fastest-growing cities in the world.
Hapa Muhimbili kitengo cha tiba asili. CHIPE nikihudhuria semina kuhusu kongamano la ku zisema urejeshaji wa uoto wa asili katika mij hii inayokua kwa kasi, mada ikitolewa na manguli wa tasnia china ya ICLEI.
Kwa nini katika majumba yetu kila mtu asianze kupanda miti katika eneo lake ya asili...
Gari iko poa haina shida yoyote.
Tairi mpya.
vioo vipya.
Gari ni ya kumwaga oil na hydrochloric tu.
tuwasiliane chap twende bandarini tukachukue gari
location: Bandarini Dar es salaam, 0713096076.
Habari za leo wana JF.
Ninauza kiwanja changu ambacho kipo Chanika Zingiziwa. Kina hati ya serikali ya mtaa. Kina ukubwa wa sqm 406. Kipo eneo la tambarare, udongo wake ni kichanga.
Ni sehemu iliyozungukwa na makazi ya watu. Kipo karibu na Zahanati ya Zingiziwa. Bei ni milioni nne na laki...
KUKAMATWA WATU 27 KWA TUHUMA ZA KUIBA MIFUKO YA SARUJI BAADA YA AJALI YA MALORI MBAGALA
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam linawashikilia watu 27 kwa tuhuma za kuiba mifuko ya saruji baada ya ajali ya malori mawili eneo la Mbagala Mission.
Mnamo tarehe 04/10/2021 saa 04:30 asubuhi eneo...
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ambaye kwa sasa ni mwanasiasa enzi zetu alikuwa ni kimbilio la vijana waliopenda kuijua dunia kupitia muziki.
Freeman Mbowe ndiye aliyemuingiza bungeni mwanamuziki wa kizazi kipya Joseph Mbilinyi na baadae Joseph Haule.
CCM imemuingiza mwana FA hivi karibuni...
Salaam wakuu,
Kama mnavyojua ndugu zangu ni lazima tuhame kwa wazazi wetu tukaanze maisha. Na kutokana na hayo hatuna budi kufikiria kuwa na makazi yetu.
Uhalisia huo umenifanya niijiulize maswali mengi sana hasa ni gharama kiasi gani zinahitajika kutekeleza ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu...
Habari,
Kwa yeyote anaehitaji/ unamfahamu anahitaji huduma ya kujifunza au kutengeneza Profesisional Business Pieces(Documents), CV-Curriculum Vitae, Proposal, Presentation & huduma za Digital Marketing.
Tuwasiliane kwa namba:
+255 688 372 118
Habari Wana JF,
Natafuta Kiwanja Dar es salaam Cha bei poa Chini ya Mil 4
Vigezo;
Eneo liwe lina upatikanaji wa maji na umeme
Pasiwe mbali sana na Mji(Ndani ya dar es salaam)
Eneo la kutosha vyuma ya vyumba 3 na choo 2.
Sote tunakumbuka ya Clouds na report ya CAG kuhusu malipo zaidi ya milioni 600, kwa kisingizio cha kutangaza utalii wa ndani.
Leo, kati kati ya huduma mbovu za miundo mbinu ya bara bara, shule, na mahitaji lukuki ya hospitali za umma, kwenye mkoa wa Dar es salaam, mkuu wa mkoa yupo...
JOHN LIMO WA TPC NA CHAKI WA COSMOPOLITAN
Picha ya kwanza ni ya John Limo na picha ya pili ni ya Chaki mbae katika miaka ya 1960 alikuwa golikipa wa Cosmopolitan na Timu ya Taifa na aliacha kucheza golini na kuja kucheza mbele kwa umahiri mkubwa sana.
Chaki ni huyo katika picha ya mwisho...
Jana mchana wakati nimetoka kanisani Pugu Kajiungeni (Njia panda ya Chanika na Kisarawe ) niliamua nikapate viepe na kuku kwa muuza chips aliyeko kando ya barabara.
Nimefika pale nilishangaa yule kijana muuza chips anawezaje kukaa pale angalau kwa nusu saa. Yaani kijana yule pale ndipo maskani...
Ascerics LTD ni Kampuni ya Kitanzania yenye uzoefu mkubwa katika zoezi zima la kukusanya Ushuru wa maegesho nchini Tanzania. Ili kuboresha huduma zetu za maegesho (Parking services ) kwa system mpya ya E-parking katika Jiji la Dar-es-Salaam.
Kanda no 2 ambao tunasimamia Ilala, Temeke, na...
Mtoto want amesoma masters mwaka Sasa hata proposal ya masters haijavuka kwa supervisor, kila akimcheki supervisor hakuna email reply Wala wala apokei simu.
Nikafunga safari kwenda naye chuo kuuliza tatizo ni nini? Watu tuliowakuta academic block walichosema unajua Hawa ma senior lecture na...
Machinga wanapangwa kuanzia leo katika jiji la Dar es Salaam
Tunaomba zoezi liishe kwa usalama na amani bila kuacha chuki.
Mkuu wa mkoa akifanikiwa hili basi nashauri Tanzania nzima waige mpango wake.
Leo nimesikia kwenye habari ya kuwa Mikoa ya Dar Es Salaam na Pwani watarajie upungufu wa maji kutokana na kina cha maji ya Mto Ruvu kupungua.
Mwanamuziki Bob Marley kwenye wimbo wake wa 'Rat race' kuna mstari anasema "in the abudance of water the fool is thirsty"...na maandiko yanasema "Watu...
Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Haki huinua Taifa, Nchi yetu imeanza kuingia midomoni mwa Watu kila kona duniani kwa sasa,
Kwa Taarifa hii tu, Dar es salaam itapokea wageni lukuki toka nje na ndani,
Kila Mzalendo lazima aone kazi nzuri na njema anayoifanya Rais Samia Suluhu Hassan kwa Tanzania...
Kiini cha njano,kuku wanapewa majani kila siku, hatutumii carophyl yellow kuongeza unjano
Bei ya elfu 6800(kuanzia trei 10)
Oysterbay karibu na ccbrt
0738832076
Bei inapanda na kushuka,kwa hiyo inapobadilika nabadilisha pia katika tangazo humu...hakuna sehemu ya ku edit title ya tangazo.
Kwa Mujibu wa Maelekezo ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla kuanzia leo Septemba 13 wamachinga wote wanaofanya biashara zao kwenye njia za watembea kwa miguu wanatakiwa kuwa wameondoka wao wenyewe pamoja na mabanda yao.
Nimepita Mbagala sijaona dalili yoyote ya wamachinga kuondoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.