Habari za leo wana JF.
Ninauza kiwanja changu ambacho kipo Chanika Zingiziwa. Kina hati ya serikali ya mtaa. Kina ukubwa wa sqm 406. Kipo eneo la tambarare, udongo wake ni kichanga.
Ni sehemu iliyozungukwa na makazi ya watu. Kipo karibu na Zahanati ya Zingiziwa. Bei ni milioni nne na laki tatu, mazungumzo yapo kidogo. Kwa mawasiliano nitumie msg pm ili nikupatie namba ya simu.
Karibuni.
Ninauza kiwanja changu ambacho kipo Chanika Zingiziwa. Kina hati ya serikali ya mtaa. Kina ukubwa wa sqm 406. Kipo eneo la tambarare, udongo wake ni kichanga.
Ni sehemu iliyozungukwa na makazi ya watu. Kipo karibu na Zahanati ya Zingiziwa. Bei ni milioni nne na laki tatu, mazungumzo yapo kidogo. Kwa mawasiliano nitumie msg pm ili nikupatie namba ya simu.
Karibuni.