Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Dar es alaam - Chanika

mapozzi

Member
Apr 16, 2015
63
31
Habari za leo wana JF.

Ninauza kiwanja changu ambacho kipo Chanika Zingiziwa. Kina hati ya serikali ya mtaa. Kina ukubwa wa sqm 406. Kipo eneo la tambarare, udongo wake ni kichanga.

Ni sehemu iliyozungukwa na makazi ya watu. Kipo karibu na Zahanati ya Zingiziwa. Bei ni milioni nne na laki tatu, mazungumzo yapo kidogo. Kwa mawasiliano nitumie msg pm ili nikupatie namba ya simu.

Karibuni.

IMG_20180813_144352.jpg


IMG_20180813_144408.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom