Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,666
- 218,155
Kwa Mujibu wa Maelekezo ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla kuanzia leo Septemba 13 wamachinga wote wanaofanya biashara zao kwenye njia za watembea kwa miguu wanatakiwa kuwa wameondoka wao wenyewe pamoja na mabanda yao.
Nimepita Mbagala sijaona dalili yoyote ya wamachinga kuondoka, na sasa naelekea Kariakoo kujionea hali halisi.
Popote ulipo ndani ya Dar es Salaam tuletee taarifa ya wamachinga kuhusiana na zoezi hili muhimu
Nimepita Mbagala sijaona dalili yoyote ya wamachinga kuondoka, na sasa naelekea Kariakoo kujionea hali halisi.
Popote ulipo ndani ya Dar es Salaam tuletee taarifa ya wamachinga kuhusiana na zoezi hili muhimu