dar es salaam

Dar es Salaam
Dar es Salaam is the largest city and financial hub of Tanzania. With a population of over five million people, Dar es Salaam is the largest city in East Africa and the sixth-largest in Africa. Located on the Swahili coast, Dar es Salaam is an important economic center and one of the fastest-growing cities in the world.
  1. Binadamu Mtakatifu

    JamiiForums Tanzania Ushirikiano – data za kodi za nyumba Dar es salaam (ili kutengeneza mfumo wakurahisisha ujuaji wa kodi za nyumba/vyumba kulingana na eneo

    Habari wakuu 👋 Ninajenga mfumo wa kisasa (startup) unaotumia Artificial Intelligence (Machine Learning) kwa lengo la 👉 kutabiri bei halisi ya kodi ya nyumba kulingana na eneo (kata) na sifa za nyumba hapa Dar es Salaam. Kwa sasa niko kwenye hatua ya kukusanya data ya awali (Version 1), hivyo...
  2. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Flamingo Supermarket Limited Job Vacancies: 25 Positions in Dar es Salaam & Pwani – January 2026

    FLAMINGO SUPERMARKET LIMITED JOB VACANCIES ANNOUNCEMENT FLAMINGO SUPERMARKET LIMITED is a growing retail and distribution company committed to excellence in customer service, ethical business practices, and continuous operational improvement. As part of our strategy, we seek experienced and...
  3. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Flamingo Supermarket Limited Job Vacancies: 25 Positions in Dar es Salaam & Pwani – January 2026

    FLAMINGO SUPERMARKET LIMITED JOB VACANCIES ANNOUNCEMENT FLAMINGO SUPERMARKET LIMITED is a growing retail and distribution company committed to excellence in customer service, ethical business practices, and continuous operational improvement. As part of our strategy, we seek experienced and...
  4. Vincenzo Jr

    JamiiForums Tanzania Petrol Stations za Dar es Salaam wanakataa kupima mafuta kwa wenye vidumu vya chuma!!

    Jioni ya leo baada ya mafuta kuisha kwenye jenereta ilibidi niende sheli cha ajabu nilichokutana nacho wamekataa kunipimia mafuta wanataka nibebe chombo yaani kama jenereta ningelibeba yaani tumefikia huku jamani vidumu hivi vya chuma vina tatizo Gani wakati mwanzoni mlikuwa mnatupimia vizuri...
  5. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Heche: UDSM wamezuia kongamano la DUPSA mjadala

    Anandika John Heche kuwa; "Chuo kikuu cha Dar es Salaam kwasasa kimegeuka kuwa kama shule ya msingi. Wakati UDASA wana kongamano lao leo, Dupsa walinialika pia kwa kongamano. Ajabu ni kwamba sehemu ambayo Inatakiwa kuwa chimbuko la fikra na mawazo wamezuia kongamano hili dakika za mwisho kabisa".
  6. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Wanaochokolewa masikio kuvunja amani, Dar es Salaam nenda kaulize leo kama vijana wanataka kungia njiani

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua Hoteli ya Jaz Elite Aurora iliyopo Michamvi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, leo tarehe 09 Januari, 2026 amesema ametahadharisha akiwaita wanaochokonolewa kuharibu amani ya nchi kuacha mara moja akikumbusha yaliyojiri...
  7. Bei rahisi Electronicks

    JamiiForums Tanzania Ugumba kwa mwanaume na mwanamke wanapima wapi kwa hapa Dar es Salaam?

    Wakuu habari nataka kuingia kweny ndoa Je, vipimo vya ugumba kwa mwanaume na mwanamke wanapima wapi kwa hapa dar es salaam na gharama zake zipoje
  8. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Kama nawaona Wazee wa Dar es Salaam waliopiga makofi na kushangilia aliposema Who are you?

    Duniani kosa vyote usikose akili Bibi muuaji baada ya kuuwa Watanganyika alijisifia kwa ngebe mbele ya Wazee wa Dar es Salaam kuwa nguvu aliyotumia hadi kuuwa watu ilikuwa sahihi. Zaidi akawauliza Waliomsema kuua, kuteka na kupoteza watu hasa Marekani na Umoja wa Ulaya "Who are You?" Huku...
  9. Chalzwrites

    JamiiForums Tanzania It is December and Dar es Salaam feels strangely empty. Where have the people gone?

    There is nothing as awkward as walking into one of Dar Es Salaaam's biggest malls around ten at night and the guards stop you asking where you are going at that time. Most of the shops at the mall are already closed so you are left trying to come up with convincing answers. From January to...
  10. Ntele Bhn

    JamiiForums Tanzania Uhaba wa maji Dar: Tatizo sio maji, tatizo ni Uongozi

    Dar es Salaam, jiji kubwa na kitovu cha uchumi wa Tanzania, limeendelea kukumbwa na uhaba mkubwa wa maji safi na salama kwa matumizi ya binadamu Jana nimemsikia Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba akiwa mto ruvu anadai tatizo la maji ni tatizo la kidunia.Pia Waziri wa Maji kwa Nyakati tofautitofauti...
  11. Bexb

    JamiiForums Tanzania KIWANJA KINAUZWA KIPO KISOTA KIGAMBONI, DAR ES SALAAM

    Habari ya sikukuu wakuu. Kiwanja kinauzwa 🔥Kina ukubwa wa square metres 597 🔥Kinapatikana KISOTA BLOCK 3 Mtaa wa nyuma ya barabara ya Dr Dau.(Ni mtaa ulio oposite na nyumba ya Dr Dau. 🔥Kina hati ya wizara 🔥Ni corner plot yaani kinatazama barabara mbili za mtaa. 🔥Hakina mgogoro wowote kinauzwa...
  12. bwawani90

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada. Ni shule gani Dar es salaam ya kata yenye hostel

    Naomba anayejua shule jijini Dar ambayo ni kutwa ila inazo hostel ndani ya eneo la shule iwe hostel ya wasichana. Asante
  13. Mwanamke wa mithali 31

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kiwanja Dar es Salaam/pembezoni mwa mji kwa ofa ya Tsh 5m

    Nahitaji pembezoni mwa mji au kiluvya
  14. H

    JamiiForums Tanzania Mtazamo Wangu Juu ya Kupunguza Tatizo la Ukosefu wa Maji Jijini Dar es Salaam

    ✅ 1. Uboreshaji wa Miundombinu ya Maji Mabomba mengi ni ya zamani na yanavuja, hali inayosababisha upotevu mkubwa wa maji. Serikali na DAWASA wanapaswa kukarabati miundombinu hiyo na kupanua mtandao wa maji hadi maeneo ya pembezoni kama Chanika, Mbagala, Bunju, n.k. Pia, ujenzi wa matanki ya...
  15. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania DAWASA yaanza fufua visima kupunguza nakisi ya maji Dar es salaam

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeanza kufufua na kuhuisha visima virefu vya maji ili kupunguza nakisi ya maji ndani ya mkoa wa Dar es Salaam na mikoa jirani. Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi Mkama Bwire ameyasema hayo siku Ijumaa Desemba 12, 2025 katika...
  16. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Video: Shughuli za kawaida zarejea Dar es Salaam

    Wananchi wamejitokeza kwenda kwenye majukumu yao ya kila siku leo 10 December 2025. Kutokea mitaa ya Tandale mpaka soko la Kariakoo shughuli zinarejea taratibu. Idadi ya watu sio kubwa sana kama siku zingine. Wafanyabiashara kadhaa wanaonekana kuja kazini kwa kuchelewa Idadi inaendelea...
  17. Scott junior

    JamiiForums Tanzania Dar es Salaam

    Ila Dar es Salaam mji wa maigizo sana, hakuna vichaa wala ombaomba barabarani.
  18. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Political Tension: Video, hali ilivyo asubuhi hii toka katika jiji la Dar es salaam shukrani kwa DW

    Raia bado wanasoma mchezo wa hali halisi ila mpaka mida hii mitaa inaonekana kuwa ni myeupe kabisa. Tupe update za ulipo.
  19. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Dar es Salaam residents flood Supermarkets in fear of the December 9 protests. Shoppers Mlimani City reports 10x more customers

    Dar es Salaam residents packed major supermarkets on Sunday as many rushed to buy essential supplies ahead of December 9, resulting in long queues and crowded aisles across the city. The rush comes even after the Tanzania Police Force announced a ban on the planned December 9 demonstrations...
  20. ngara23

    JamiiForums Tanzania SHETA hatoshi kuwa Meya wa Jiji la Dar es salaam, CCM fanyeni vetting ya viongozi wa wakubwa

    Binafsi Sina chuki yoyote na SHETA ni kuwa naheshimu sana, ila Niseme wazi huyu bwana hatoshi kuwa Meya wa Jiji la Dar CCM heshimuni basi wananchi kidogo Mnafanya mambo kishabiki mno. Mnawapa watu dhaifu madaraka makubwa mno Au ndo mnawapa madaraka ili muweze kuwaendesha na kupitisha...
Back
Top Bottom