Kijakazi Chizi
Member
- Dec 9, 2025
- 86
- 207
Wananchi wamejitokeza kwenda kwenye majukumu yao ya kila siku leo 10 December 2025. Kutokea mitaa ya Tandale mpaka soko la Kariakoo shughuli zinarejea taratibu.
Idadi ya watu sio kubwa sana kama siku zingine. Wafanyabiashara kadhaa wanaonekana kuja kazini kwa kuchelewa
Idadi inaendelea kuongezeka kadri muda unavyoenda.
ad
Idadi ya watu sio kubwa sana kama siku zingine. Wafanyabiashara kadhaa wanaonekana kuja kazini kwa kuchelewa
Idadi inaendelea kuongezeka kadri muda unavyoenda.