PostGE2025 Video: Shughuli za kawaida zarejea Dar es Salaam

PostGE2025 Video: Shughuli za kawaida zarejea Dar es Salaam

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Joined
Dec 9, 2025
Posts
86
Reaction score
207
Wananchi wamejitokeza kwenda kwenye majukumu yao ya kila siku leo 10 December 2025. Kutokea mitaa ya Tandale mpaka soko la Kariakoo shughuli zinarejea taratibu.

Idadi ya watu sio kubwa sana kama siku zingine. Wafanyabiashara kadhaa wanaonekana kuja kazini kwa kuchelewa

Idadi inaendelea kuongezeka kadri muda unavyoenda.


ad​
 
Back
Top Bottom