dar es salaam

Dar es Salaam
Dar es Salaam is the largest city and financial hub of Tanzania. With a population of over five million people, Dar es Salaam is the largest city in East Africa and the sixth-largest in Africa. Located on the Swahili coast, Dar es Salaam is an important economic center and one of the fastest-growing cities in the world.
  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Dar es Salaam: Magohe mpaka Mbezi Magufuli barabara ni mbovu na haipitiki kwa urahisi

    Hivi kwa nini barabara ya Mpiji Magohe mpaka Mbezi hawajazi kifusi kama barabara ya lami imewashinda? Yaani Barabara imechimbika balaa hata kwa kupita hamna, wahusika tunaomba walione hilo, miezi mwili iliyopita walisawawazisha baada ya siku 3 mashimo yakarudi kwa nini wasiweke kifusi tumechoka...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Ujumbe kutoka kwa Ndugu wa Misri: Siku 25 za Ukimya na Wasiwasi katika Bandari ya Dar es Salaam

    Subject: A Message from an Egyptian Brother: 25 Days of Silence and Concern at Dar Port Habari Tanzania, I am writing this not as an official, but as an Egyptian citizen who has lived and worked in our sister nation, Zambia, for years. I have always carried a deep love and respect for...
  3. RMK Freelancers Agency

    JamiiForums Tanzania BARUA YA WAZI KWA WADAU WA MASOKO YA MITAJI TANZANIA (CMSA, DSE, WIZARA YA FEDHA)

    BARUA YA WAZI KWA WADAU WA MASOKO YA MITAJI TANZANIA Kwenda kwa: Capital Markets and Securities Authority (CMSA) Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) Wizara ya Fedha Tanzania YAH: Maboresho ya Sheria, Teknolojia ya Trading, na Vigezo vya Uandikishaji ili Kukuza Soko la Mitaji Tanzania...
  4. Powell Gonzalez

    JamiiForums Tanzania Need Someone in Dar es Salaam to Handle Tasks for You? (On-Ground Support in Tanzania)

    Need Someone in Dar es Salaam to Handle Tasks for You? (On-Ground Support in Tanzania) Hello, If you are outside Dar es Salaam—or even outside Tanzania—and need someone reliable to handle tasks on your behalf, this service may help you save time, travel costs, and unnecessary stress. I run RMK...
  5. Powell Gonzalez

    JamiiForums Tanzania Need Someone in Dar es Salaam to Handle Tasks for You? (On-Ground Support in Tanzania)

    Need Someone in Dar es Salaam to Handle Tasks for You? (On-Ground Support in Tanzania) Hello, If you are outside Dar es Salaam—or even outside Tanzania—and need someone reliable to handle tasks on your behalf, this service may help you save time, travel costs, and unnecessary stress. I run RMK...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kimara: Polisi walingilia kati kumuokoa aliyepigwa na Wananchi kwa kudaiwa kupoteza nyeti za mtu Mwanaume mmoja

    Jeshi la Polisi limelazimika kuwahi eneo la tukio na kuingilia kati taharuki iliyojibuka Kimara Mwisho, Wilayani Ubungo Mkoani Dar es salaam jioni hii baada ya Wananchi wa eneo hilo kumpiga Mwanaume mmoja anayedaiwa kupoteza sehemu za siri za Mkazi mmoja wa Kimara baada ya kumshika begani...
  7. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Al Jazeera Walipokuja Kufanya Mazungumzo Tanzania na Mimi 2007 (Dar es Salaam) na 2008 (Tanga)

    AL JAZEERA WALIPOKUJA KUNIHOJI TANGA NA DAR ES SALAAM Mahojiano na Al Jazeera nyumbani kwangu Masaki, Dar es Salaam 2007 Mohamed Val Mtangazaji wa Al Jazeera akinihoji nyumbani kwangu Bombo, Tanga (2008) Huyu kijana kutoka Al Jazeera sikumbuki jina lake alinifahamisha kuwa alipata kuishi...
  8. McLaren

    JamiiForums Tanzania Hivi ni sehemu gani hapa Dar ni ambayo ni nzuri zaidi kwa kijana kuanzia maisha? Naona kama Goba ni eneo zuri sana

    Wakuu, Kama wewe ni kijana unataka kuondoka nyumbani kwenu uanze maisha ushauri wangu uende ukaishi Goba Kwanza Goba nyumba nyingi ni mpya na ni bei ndogo. Ukiwa na 100k unapata chumba na sebule na jiko na choo tofauti na eneo kama Sinza au Mwenge ambako utapata single room Lakini vilevile...
  9. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Jinsi Dar es Salaam itakavyokuwa mwaka 2036 kwa mujibu wa Gemini

    Nimeiambia Gemini itengeneze picha ya Dar jinsi itakavyokuwa miaka 10 ijayo kwa kuangalia kasi yake ya ukuaji wa sasa Ikaleta hii picha I can't wait to see Dar inafikia level za kimataifa
  10. A

    JamiiForums Tanzania KERO Huduma Mbovu za Magari ya NEW BEST LINE, ruti ya Tarime - Dar es Salaam

    HAWA JAMANAA WANA HUDUMA MBOVU 🤮🤮🤮 .. NIMELIPIA BUS LUXURY VIP NAULI 85,000 KUTOKA BARIADI KWENDA DAR, BUS IMEFIKA IMECHELEWA, KUINGIA NDANI KUNA JOTO AC HAWAWASHI .. VUMBI NJIANI MTU UMETOKA MZIMA UNAFIKA NA MAFUA .. UKIULIZA KWANINI HAMUWASHI AC, UNAJIBIWA ITAWASHWA .. NA SASA TUMEFIKA...
  11. Planet Data bundles

    JamiiForums Tanzania Wakuu hii Tigana football academy ni ya kuaminika (Dar es salaam)

    Nina kijana wangu anapenda mambo ya mpira sasa nimeunganishwa na hii football academy ya Tigana Kawe Dar.Ila sikuwai kuisikia hapo mwanzo. Kwa wazoefu Je n ya kuaminika?
  12. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Skyline ya jiji la Dar es Salaam imepanuka sana

    Miaka ya nyuma, skyline ya Dar es Salaam ilikuwa simple sana, majengo machache marefu, mengi yakiwa ya kati tu. Lakini leo hii, mji umebadilika kwa kasi kubwa ajabu. Maeneo kama Posta, Upanga, Masaki na Kariakoo yameanza kujazwa na majengo ya kisasa (high-rise buildings), mengi yakiwa na ofisi...
  13. martial jb

    JamiiForums Tanzania Natafuta Master Room Dar Es Salaam

    Habari wakuu, Natafuta master room nzuri Dar Es Salaam, budget yangu 100k mpaka 120k. Maeneo ya kigamboni, makumbusho, magomeni, tabata, manzese No 0787698930
  14. tpaul

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha mvua za radi Dar es Salaam na Pwani

    Wahenga mtakubaliana na mimi 100% kwamba miaka ya nyuma mvua zilizokuwa zikinyesha Dar es salaam hazikuambatana na radi hata kidogo. Tulizoea kusikia matukio ya radi hasa huko Kigoma, Shinyanga, Tabora na mikoa mingine ambako matukio ya watu kuuliwa na radi yalikuwa yakiripotiwa mara kwa mara...
  15. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania LHRC na Wadau wakutana na Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa UN, Parfait Onanga Anyanga jijini Dar es Salaam

    Leo tarehe 12 Machi 2026, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), sanjali na wadau wengine wa masuala ya haki za binadamu wamekutana na mwakilishi maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Parfait Onanga Anyanga katika ofisi za Umoja wa Mataifa zilizopo jijini Dar es Salaam. Ndugu Parfait...
  16. Solo Traveller

    JamiiForums Tanzania Binafsi maisha ya Dar es salaam yamenishinda

    Kuanzia suala Zima la imani, huku watu wengi hasa maeneo ya mjini na uswahilini hawana imani kabisa wako mbali na Mungu. Suala la malezi ndio kabisaa mana watoto hujifunza kwa wanaowazunguka mtoto akikulia vingunguti Tabata au mbagala kazi ipo. Suala la ajali ndo usiseme ajali za uzumbe kabisa...
  17. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania Sambo wa Kigoma na Doreen wa Dar es Salaam washinda Pikipiki Kupitia Promosheni ya “Shinda Boda” ya PigaBet

    Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam. Mjasiriamali Daniel Deogratus Sambo, mkazi wa Kigoma Mjini, na mwanadada Doreen Masawe wameibuka washindi wa pikipiki aina ya TVS kupitia promosheni ya “Shinda Boda” inayoendeshwa na kampuni ya michezo ya kubahatisha ya PigaBet. Akizungumza baada ya kupokea...
  18. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Toyota Harrier Z – 2020 | Dar es Salaam

    🚗 Mileage: 62,000 km GR Sport Body Kit Grade 4 Condition Price: 110M TZS 📲 Call/WhatsApp: 0784225000 Serious buyers only!
  19. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Dawa ya kukabiliana na foleni Jiji la Dar es Salaam hii hapa

    Foleni jijini Dar es Salaam zimekuwa kero kubwa kwa uchumi na maisha ya wananchi. Muda unapotea, gharama za usafiri zinaongezeka, na uzalishaji unapungua. Haya hapa Mapendekezo mahsusi ya kuchukua: 1️⃣...
  20. H

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu ashiriki mazishi ya Kardinali Pengo, Dar es Salaam

    WAZIRI MKUU ASHIRIKI MAZISHI YA KARDINALI PENGO, DAR ES SALAAM Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Februari 28, 2026 ameshiriki mazishi ya Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Marehemu Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, yaliyofanyika katika Kanisa la Hija ya Bikira...
Back
Top Bottom