covid-19

Testing for the respiratory illness coronavirus disease 2019 (COVID-19) and the associated SARS-CoV-2 virus can be done by polymerase chain reaction (PCR) testing, nucleic acid tests and ELISA antibody test kits. One study published in February 2020 claims that chest CT scans perform better than PCR tests.

View More On Wikipedia.org
  1. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania DRC yatangaza tena maambukizi mapya ya Ebola

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza mlipuko mpya wa ugonjwa wa Ebola katika jimbo la Kivu Kaskazini hapo siku ya Jumapili baada ya mwanamke mmoja kufariki kwa ugonjwa huo, ikiwa ni miezi mitatu tu tangu mamlaka ya afya kutangaza kuwa mlipuko wa awali wa ugonjwa huo ulikuwa umedhibitiwa...
  2. comte

    JamiiForums Tanzania Janga la kirusi cha Corona na ugonjwa wa COVID-19: Dunia sasa yaanza kutuelewa na kutumulika namna Tanzania tunavyokabiliana nayo chini ya JPM

    Even as the world struggles to grapple with the brutal third wave of the COVID-19 pandemic, a small but vocal group of skeptics insists that sinister forces are exaggerating the effects of the virus, control measures like lockdowns are unnecessary, and newly developed vaccines are unsafe. These...
  3. Mathanzua

    JamiiForums Tanzania A must read: A letter addressed to His Excellency President Cyril Ramaphosa, President of South Africa, regarding the safety of the COVID-19 vaccine

    30th January 2021. His Excellency, Cyril Ramaphosa, President of South Africa...
  4. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya habari vya nje na msimamo wa Tanzania juu ya Covid-19

    Mchoraji maarufu wa katuni pale DW nchini Ujerumani ametoa mchoro unaoelezea uhalisia wa yanayo endelea kati ya shirika la afya duniani WHO na wenye maamuzi nchini Tanzania. Je, hii ni sifa kwa taifa?
  5. BAK

    JamiiForums Tanzania Mazungumzo kuhusu nyungu na chanjo ya COVID-19

    MIMI NA YEYE Yeye: Wewe endelea kuwatetea wazungu. Sisi ni matajiri na wao wanatuonea wivu. Hayo machanjo yao wasituletee. Mimi: Kuna chanjo ngapi unazojua tunapewa na zinatoka kwa wazungu? Yeye: Zipo nyingi lakini mbona wameshindwa kutengeneza chanjo ya UKIMWI? Mimi: Unajua ARV na CONDOMs...
  6. rosemarie

    JamiiForums Tanzania SA’s first COVID-19 vaccine shipment takes flight

    Nyie endeleeni kupiga ngonjera na Magufuli wenu wakati hata panadol mnasubiri mzungu awaletee,hivi wewe mwafrica utabisha mambo yaliyoamuliwa na wakubwa? Kwanza una nini cha kuonyesha mkononi,hivi duniani hapa wewe mwafrica una faida gani au unafanya nini??kama ulikuwa huamini dawa ya corona...
  7. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad, Mkewe Bi Awena waambukizwa virusi vya Corona

    TAARIFA KWA UMMA Maalim Seif Apumzishwa Baada ya Kupata Maambukizi ya Covid 19 Chama cha ACT Wazalendo kinawajuilisha wanachama wake, Wazanzibari, pamoja na umma wa Watanzania, kuwa Mwenyekiti wake wa Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad, Mkewe, Bi Awena, pamoja na Wasaidizi wake kadhaa wa karibu...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona

    Corona ipo duniani na Tanzania siyo kisiwa. Nchi kuwa na Corona siyo aibu, maana kirusi hakijui mipaka ya kisiasa. Serikali zilizo responsible duniani zinaendelea kutekeleza sera za kupambana na Covid na kamwe hazitangazi kuwa zimeshashinda vita tayari, bali zinakuwa cautious na zinaendelea na...
  9. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Inaelekea COVID-19 ni nadra sana kuwa na effect kubwa kwa vijana na watoto

    Nilikuwa napitia matangazo ya chanjo za COVID-19 za Australia, chanjo itaanza kutolewa kwa wale walioko katika hatari zaidi ya kupata maambukizi kama watoa huduma za afya, wafanyakazi wanaoishi kwenye makazi ya kuhudumia wa zee na walemavu, walinzi wa mipakani, na watoa chanjo wenyewe. Kisha...
  10. The Sheriff

    JamiiForums Tanzania Prof. Soccorsi, Daktari Binafsi wa Papa afariki dunia kwa Covid-19

    Baba Mtakatifu Francisko tarehe 26 Januari 2021 amehudhuria Ibada ya Misa Takatifu kwa ajili ya kumwombea Prof. Fabrizio Soccorsi aliyekuwa daktari wake binafsi kuanzia mwaka 2015-2021. Na Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S. – Vatican. Baba Mtakatifu Francisko tarehe 26 Januari 2021 ameshiriki...
  11. Fantastic Beast

    JamiiForums Tanzania COVID-19: Watumishi wa Afya ni kama tumetolewa kafara?

    Ndugu Mh. Waziri wa Afya, Fieldmarshal Dr. Dorothy Gwajima naomba nichukue dakika zako chache tu kukuuliza jambo moja tuu wewe kama askari mwenye amri ya mwisho pindi tupo vitani. MMEAMUA KUTUTELEKEZA WAFANYAKAZI WA AFYA TUPAMBANE NA HALI ZETU? Watakaopoteza maisha yao kutokana na negligence...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Schizophrenia is 2nd highest risk factor for dying of COVID-19, after age

    Schizophrenia may be one of the highest risk factors for dying from COVID-19, second only to age, according to a new study. Previous studies had found that people with mental illnesses, particularly depression and schizophrenia — a condition that causes distortions in thinking and perception —...
  13. K

    JamiiForums Tanzania China yatumia njia ya haja kubwa kupima Covid-19

    Nimecheka kicheko cha ubwege, ujinga na majilaumu. Kiingereza wanasema, "the burning issue". Huku "site" tunasema "kinachobamba" kwa sasa ni janga la ubanwaji wa kifua na mafua al-maarufu Corona. Tayari watu milioni 2.1 wamekufa na milioni 100 wameambukizwa. Wanasayansi wanahangaika kusaka...
  14. BAK

    JamiiForums Tanzania Pope Francis to have COVID-19 vaccine, says it is the ethical choice for all

    Pope Francis to have COVID-19 vaccine, says it is the ethical choice for all By Reuters Staff VATICAN CITY (Reuters) - Pope Francis said on Saturday he planned to be vaccinated against COVID-19 as early as next week and urged everyone to get a shot, to protect not only their own lives but those...
  15. comte

    JamiiForums Tanzania Tulichofanya katika zama hizi za CORONA na COVID-19 ni sahihi leo, kesho na siku zote

  16. BAK

    JamiiForums Tanzania Zanzibar’s Abeid Amani Karume Airport is failing on COVID-19 safety protocols

    Zanzibar’s Abeid Amani Karume Airport is failing on COVID-19 safety protocols Abeid Amani Karume International Airport in Zanzibar has been Certified with the lowest 2-Star COVID-19 Airport Safety Rating for failing to properly apply international COVID-19 safety protocols. The Skytrax...
  17. B

    JamiiForums Tanzania Tanzania: Simba SC yalaumiwa vipimo vya Covid-19

    25 January 2021 Mabingwa wa soka Tanzania timu ya mtaa wa Msimbazi jijini Dar es Salaam Tanzania yalaumiwa kwa kuwa na "mkono wake" ktk majibu ya Covid-19 yenye utatanishi. Mfano wachezaji 5 tegemeo wa FC Platinum ya Zimbabwe vipimo vyao vilionekana kuwa wana maambukizi ya virusi vya corona...
  18. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania Afrika Kusini kuuziwa chanjo ya COVID-19 kwa bei ghali mara mbili ya nchi za Ulaya

    Afrika Kusini inatarajiwa kununua dozi za chanjo ya virusi vya corona ya Oxford-AstraZeneca kwa bei mara mbili na nusu zaidi ya nchi nyingi za Ulaya. Afrika Kusini ndiyo nchi iliyoathirika zaidi na maambukizi ya COVID-19 barani Afrika, inatarajiwa kupokea dozi milioni 1.5 za virusi vya corona...
  19. BAK

    JamiiForums Tanzania Medication for COVID-19?

    Researchers tout 'major scientifc discovery' in $14M study for COVID-19 treatment Close to 4,500 people participated in the study, lead researcher calls findings 'substantial' and 'robust' The $14-million study was funded by the Quebec government and several organizations. (Ivanoh...
  20. rosemarie

    JamiiForums Tanzania Zimbabwe's Transport Minister Joel Biggie Matiza has died from Covid-19

    This was confirmed this Friday by government spokesperson Nick Mangwana. Matiza is said to have been hospitalised this past week. He is also former Mashonaland East governor and was current Zanu PF provincial chairperson. Matiza becomes the fourth serving government minister to die of the...
Back
Top Bottom