Testing for the respiratory illness coronavirus disease 2019 (COVID-19) and the associated SARS-CoV-2 virus can be done by polymerase chain reaction (PCR) testing, nucleic acid tests and ELISA antibody test kits. One study published in February 2020 claims that chest CT scans perform better than PCR tests.
Zanzibar’s First Vice President Maalim Seif Sharif Hamad has died at the age of 77, less than a month after being hospitalized with COVID-19.
Zanzibar President Hussein Mwinyi made the announcement on Wednesday, further declaring seven days of national mourning.
Tanzania President John Pombe...
Tuna kila sababu ya kuwa na wasiwasi na mambo mengi yanayohusu tiba hasa kutoka magharibi. Kuna mahali niliwahi soma jinsi waAfrika walivyokuwa wakitumika kama viumbe wa majaribio ya tafiti na chanjo mbalimbali, machozi yalinitoka kwa uchungu ulioambatana na hasira. Ilikuwa hivi, walitaka kujua...
Askofu Nyaisonga kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) asema wanatambua Dunia nzima inahangaika kupambana na maradhi ya #COVID19 yanayosabishwa na #VirusiVyaCorona
Awahimiza Watanzania kutokuwa watumwa wa hofu na kuchukua tahadhari. Asema ni wajibu wa kila mtu kuufuata ukweli na...
Kinachotokea nchini ni mchanganyiko ni ukosefu wa maarifa toka kwa wahusika wanaotakiwa kufanya hivyo. Kama alivyosema Mganga mkuu wa serikali, kuna watu wanataka kusikia kinachosemwa na viongozi ndo wachukuwe hatua za kujikinga. Bahati mbaya wanaotakiwa kusema hawasemi ukweli.
Masikitiko...
Shirika la Umoja wa Mataifa la afya, WHO hapo jana limeridhia chanjo dhidi ya virusi vya corona ya AstraZeneca kuanza kupelekwa kwenye mataifa masikini, baada ya kuithibitisha kwa dharura. Mataifa ya kipato cha chini na cha kati yanatarajiwa kupata dozi ya kwanza ya chanjo mwishoni mwa mwezi...
What Tanzania's COVID-19 vaccine reluctance means for its citizens and the world
Catherine Kyobutungi, African Population and Health Research Center
February 15, 2021 4.29pm SAST
Tanzania’s health minister said earlier this month that the country has no plans to procure COVID-19 vaccines. Moina...
Waziri wa zamani katika serikali ya awamu ya nne, Profesa Mark Mwandosya ametangaza kifo cha baba yake mdogo, Agen Mwandosya kilichotokana na kile alichokiita kuwa ni “changamoto ya kupumua”.
Profesa Mwandosya ametoa tangazo hilo leo Februari 15 katika ukurasa wake wa Twitter huku akisema...
Ndugu zangu tunazidi kuumbuka kuhusu janga la Corona.
Hadi niandikapo uzi huu, msimamo wa Serikali ya Rais Magufuli (si ya wananchi wa Tanzania) ni kwamba hakuna COVID-19 isipokuwa "changamoto ya upumuaji" hivyo basi ni dhambi ya mauti kutamka kuwa kuna "korona" Tanzania hata kama tunapukutika...
Public health
From Wikipedia, the free encyclopedia
Public health has been defined as "the science and art of preventing disease”, prolonging life and improving quality of life through organized efforts and informed choices of society, organizations (public and private), communities and...
Nimeugua Covid 19, nikatibiwa na kupona (Jina la Bwana lihimidiwe). Kuugua kwangu kumenisaidia kujifunza mengi, na kubaini uongo mwingi wanaoambiwa watu wetu ili kuwapooza, badala ya kufanya jitihada ya dhati ya kuwalinda, na kuwaokoa na janga la COVID 19. Ni kwa sababu hii nimeona vema kuandika...
Vaa barakoa mara kwa mara unapokuwa na watu wengine au unapokuwa kwenye mkusanyiko wa watu
Nawa mikono yako mara kwa mara kwa maji tiririka na sabuni
Epuka kusalimiana na watu kwa kushikana mikono, kukumbatiana na kubusu
Ni lazima kuzingatia usafi wa mazingira, kunawa mikono kwa maji na...
Wakatia akichangia hoja Bungeni, leo tarehe 10 Februari, 2021, Mbunge huyo wa Jimbo la Kawe amesema:
"Kuna ugonjwa wa Covid-19 ambao umetikisa dunia na nchi yetu imechukua msimamo tofauti na nchi nyingine zozote.
Waheshimiwa Wabunge, natumia nafasi hii kuwatia moyo. Msiogope. Msiogope...
09 February 2021
Harare, Zimbabwe
Balozi wa Zimbabwe nchini Mozambique apoteza uhai kwa Covid-19
(Video : courtesy of pixie pearls)
Kamanda mwingine aliyeshiriki kumungoa Robert Mugabe afariki kwa matatizo ya kupumua yaliyoletwa na ugonjwa wa Covid-19 akiwa likizoni mjini Harare...
Wanabodi poleni kwa majukumu ya kufukuzana na shilingi inayopepea.
Ibara ya 14 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kisasema 'Kila mtu anayo Haki ya kuishi na kupata kutoka katika jamii hifadhi ya maisha yake, kwa mujibu wa sheria' mwisho wa kunukuu.
Dunia sasa hivi inapitia wakati...
Despite the Covid-19 death count in the United States rapidly accelerating, a startlingly high percentage of health care professionals and frontline workers throughout the country—who have been prioritized as early receipts of the coronavirus vaccine—are reportedly hesitant or outright refusing...
SYDNEY - Clinical trials of a COVID-19 vaccine being developed by Australia’s University of Queensland in partnership with biotech company CSL have been abandoned after participants returned false positive HIV test results. The treatment was a key part of Australia’s response to the pandemic...
The world is eagerly awaiting the release of several COVID-19 vaccines, but Brazilian President Jair Bolsonaro is not.
“I’m not going to take it. It’s my right,” he said in a Nov. 26 social media broadcast.
Bolsonaro, who came down with COVID-19 in July, has also criticized face masks. He and...
Even as the world eagerly waits for a Covid-19 vaccine, tech billionaire Elon Musk has said that he would not take one when it becomes available.
In an interview on the New York Times` podcast "Sway" published on Monday, the Tesla and SpaceX CEO slammed the widespread restrictions imposed...
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza mlipuko mpya wa ugonjwa wa Ebola katika jimbo la Kivu Kaskazini hapo siku ya Jumapili baada ya mwanamke mmoja kufariki kwa ugonjwa huo, ikiwa ni miezi mitatu tu tangu mamlaka ya afya kutangaza kuwa mlipuko wa awali wa ugonjwa huo ulikuwa umedhibitiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.