corona

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Yadaiwa kuna mtu ana CORONA(Covd 19) kalazwa Regency Hospital DSM... Hospitali yasema amebainika hana ugonjwa huo

    Hapa kwenye hili suala la Corona sijui zitafanyika siasa za kishamba kama za chakubanga au wataamua kuwa wakweli? ama kwa hakika awamu ya tano tumepatikana ila laana hii yote itabewa na wewe Jk ulitufanya vibaya sana 2015. kama kweli umeingia DSM tujitayarishe kuputika labda kuna watu...
  2. simplemind

    Corona inazidi kutikisa -Marekani imezuia usafiri kutoka bara la ulaya.

    Coronavirus Live Updates: Trump’s Travel Restrictions, Italy in Lockdown and N.B.A. Suspension Italy biashara zote zimefungwa isipokua famasi na maduka ya vyakula. NBA imesitishwa.
  3. Ulimbo

    Kipindupindu kinatupigisha kwata, je Corona tutaiweza?

    Nimejaribu kufikiria sana juu ya huu ugonjwa corona ukiingia hapa Tanzania matokeoyake yatakuwaje: 1: Ni kama serikali haijalichukulia uzito wa kutosha hili tatizo, kwani njia za kujikinga bado zina utata mkubwa, hasa sehemu za mipakani (Njia zitumikazo kuingia nchini) ulinzi na upimaji...
  4. Don Clericuzio

    NBA yamesimamisha ligi kwa sababu ya Coronavirus

    NBA suspends season due to coronavirus Rudy Gobert, mchezaji wa timu ya Utah Jazz amepimwa na kukutwa na coronavirus. Hii imesababisha ligi iahirishwe mpaka wakati utakaoamuliwa (until further notice). Game ya jana kati ya Oklahoma City Thunder (OKC) na Utah Jazz iliyokuwa ichezewe Chesapeake...
  5. Farolito

    Tuchukue tahadhari sana Corona sasa ipo DRC congo!

    Wakuu, Ule ugonjwa wa Covid-19 maarufu kama Corona umeshawasili nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Ikiwa ni Siku chache tu tangu mgonjwa wa mwisho wa Ebola atoke hospitali nchini DRC sasa imeripotiwa mgonjwa wa kwanza wa Corona nchini humo ameripotiwa na kuthibitishwa. Inasemakana...
  6. Course Coordinator

    Tahadhari:Corona imekuwa fursa kwa matapeli ,wanajifanya wametoka Wizara ya afya wanataka kupuliza dawa ya Corona na kuiba majumbani, kuweni makini

    Habari wana Jamvi, Wakati dunia inahangaika kutafuta dawa(tiba) ya kutibu ugonjwa wa Corona Virus Covd19. Ikumbukwe hadi sasa watu wapatao 111,000 tayari wameambukizwa katika mabara 3 na zaidi ya watu 3,890 tayari wamepoteza maisha . Hivyo hili ni Janga kwa Dunia nzima. Lakini kwa wenzetu...
  7. sindesunde

    Msaada jamani nikila chakula nasikia njaa baada ya muda mfupi

    Wajuzi nisiwachoshe nina tatizo limejitokeza toka mwezi wa 12 kwa siku naweza kula chakula ata mara 5-6 na bado ndani ya muda mfupi njaa inarudia! hili tatizo nahisi linataka kuniyumbisha kiuchumi maana maisha yenyewe ya kubaingaza sasa pesa inakatikia katika milo isio na idadi. Naomba ushauri...
  8. F

    COVID-19; Serikali izuie kuingiza mitumba nchini

    NIkiangalia jenga la CORONA na uvaazi wa mitumba naona kabisa tunaenda kupata UGONJWA HUO kwa njia za mitumba. Ugonjwa huo unasemwa unaambikizwa kwa kugusa sehemu yenye virusi hivyo ndio maana tunashauri kunawa mikono mara kwa mara. njia za kupata zipo nyingi ila hiyo ya kugusa ni mojawapo...
  9. MakinikiA

    Chloroquine ni antivirus ya virusi vya Corona

    Mojawapo ya dawa hizo ambayo tayari imejaribiwa katika binadamu ni dawa ya remdesivir - dawa ya virusi vya UKIMWI ambayo bado inafanyiwa utafiti ambayo imejaribiwa dhidi ya magonjwa kama vile Ebola na SARS/MERS. Dawa nyingine ni ile aina ya Chloroquine, dawa ya kukabiliana na malaria ambayo pia...
  10. Mr Big

    Maombi: Dini mbalimbali, kabila tofauti ndani ya Tanzania, tuungane kwa umoja kuomba Mungu atuepushe na ugonjwa wa Corona

    Wakuu nawasalim, Ni dhahiri kwa sasa kila pande ya dunia ugonjwa wa corona madhara yake yamekuwa makubwa zaidi na kila nchi inajaribu kupambana kwa uwezo wake wote ilimradi tu kuuondoa au kupunguza madhara ya huu ugonjwa. Idadi ya vifo ni vingi zaidi, licha yakuwa taarifa zinazotolewa na...
  11. Cvez

    Corona Virus tishio la pili kubwa baada ya 9/11 katika sekta ya utalii

    Katika mwaka ambao sekta ya utalii itapata msukosuko ni huu hasa ukizingatia utalii si basic needs. Baada ya 9/11 Corona virus ni pigo la pili kubwa kuikumba sekta hii. Kutokana na takwimu za tovuti maarufu ya safari barani Afrika Safaribooking, kumekua na anguko la karibia 6% kutoka kipindi...
  12. M

    Hali ya kupambana na Corona ilivyokuwa huko China

    1. Mbinu za kijeshi za wakati wa vita zinatumika, kama vile kufungia ndani kwa kufuli maalum wasthirika wa corona wasitoke 2. Kupeleka waathirika kwenye makambi maalum yaliyotengenezwa 3. kubadiri viwanja vya michezo na mabweni ya shule kuwa vituo maalum vya karantini 4. Kukamata wasiovaa...
  13. guzman_

    Corona Virus: Watanzania hawata wasamehe ugonjwa huu ukifika nchini

    Katika harakati zangu nimezunguka viwanja vya ndege vitatu vinavyopokea sana wageni toka nje, hali niliyoikuta Mungu atusaidie. In short, kinachosemwa na viongozi na yanayotendeka huko ni mbingu na ardhi. Nimeshuhudia raia zaidi ya 200 kutoka Uchina wakipita airport bila kupimwa wala kukaguliwa...
  14. Sky Eclat

    Kuna aliyewaza kutengeneza face masks kujikinga na corona virus?

    Chukuwa hatua mwenyewe, shona masks 😷 zako na familia yako. Fanya malipo kwa mobile money. Tembea na hand sanitiser. Mtu atakayeshona masks za biashara anaweza kupata faida sana kipindi hiki. Coronavirus ni airborne disease, njia ya kuenea kwa haraka na kuingiza wadudu kwa njia ya hewa...
  15. J

    Corona: Zanzibar yasitisha safari zote za ndege kutoka Italy

    Serikali ya mapinduzi Zanzibar imesitisha safari zote za ndege kutoka Zanzibar na sherehe zote zinazohusisha wageni kutoka nje. Waziri wa Afya Zanzibar Mh. Hamad Rashid amesema wamechukua hatua hizo ili kukabiliana na hatari ya Corona iliyoko huko duniani. Source Star tv!
  16. Sky Eclat

    Kipanya: uhusiano wa karibu uliopo kati ya Corona Virus na Tume Huru ya Uchaguzi

  17. lutemi

    Corona Virus imetengenezwa? Virusi hivyo vilibashiriwa katika Kitabu mwaka 1981

    Author Dean Koontz eerily predicted the coronavirus outbreak in his 1981 thriller "The Eyes of Darkness." The fictional novel tells the story of a Chinese military lab that creates a new virus to potentially use as a biological weapon during wartime. The lab is ironically located in Wuhan...
  18. Erythrocyte

    Corona: Tanzania yaingilia kati, madaktari wake wajitolea kwenda China kuidhibiti

    Rafiki wa kweli ni wakati wa shida . ===== SERIKALI ya China imeshukuru utayari wa Serikali ya Tanzania wa kutaka kuwapeleka madaktari nchini humo, kukabiliana na ugonjwa wa homa ya mapafu, inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid -19). Aidha, imewatoa hofu Watanzania kuhusu changamoto za...
  19. kavulata

    Ukubwa wa maambukizi ya Corona duniani ni zaidi ya kinachoripotiwa

    Kuna kila dalili kuwa kiwango cha maambukizi ya virusi vya corona duniani ni kikubwa kuliko hiki tunachokisia. Kwa sababu ama za kiuchumi ama za kisiasa ama za kijamii mataifa ama yanaficha taarifa za maambukizi au yanaripoti takwimu ndogo sana za maambukizi kwenye nchi zao. Hii inasababisha...
  20. Miss Zomboko

    Je, ni namna gani unaweza kuongea na watoto kuhusu mlipuko wa Corona?

    Waondoe hofu Dkt Punam Krishan, ambaye ni daktari wa familia nchini Uingereza mwenye mtoto wa miaka sita, anasema ni muhimu kumuondoa hofu na kumuelea kuwa hali hiyo ni sawa na mtu anapopata mafua au kipindupindu na kutapika. Anaamini kuwa wazazi wanapaswa kuwa wawazi, kuwaeleza ukweli kuhusu...
Back
Top Bottom