club

A club is an association of people united by a common interest or goal. A service club, for example, exists for voluntary or charitable activities. There are clubs devoted to hobbies and sports, social activities clubs, political and religious clubs, and so forth.

View More On Wikipedia.org
  1. blogger

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini Ahmed Ally hafanani na hapendezi kuwa msemaji wa klabu?

    Ni mimi pekee naona hafai kuwa msemaji wa club? Sijui, naona kama hafai. Hana hamasa. Sijui ni muonekano wake wa kishamba au sauti? What's ur views?
  2. Mto Songwe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Timeless club bangers ( club bangers zisizo chuja )

    Hizi ngoma mbili kwangu binafsi nazipa siti ya mwanzo ya kuwa timeless club bangers. Moja ni ya masista wawili Brick & Lace - Love is wicked Na nyengine hii ya breezy -yeah 3x * Tiririka nyengine unazo zifahamu hapa za bongo na za mamtoni⏬
  3. Mr Lukwaro

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kati ya Simba na Yanga ni nani amepangiwa kundi gumu Klabu Bingwa?

    Baada Ya hatua ya Makundi kwa sasa ni Robo Fainali, Timu zetu mbili za Tanzania zimepangwa na Wababe wa soka la Afrika. Wengine wanasema hii ndo ilipangwa kuziangusha Tumu za Tanzania, Japo hakuna uthibitisho. Wengine wamekuwa na mtizamo chanya na kuona kama Soka la Tanzania limekuwa, na...
  4. Dr leader

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jogging club

    Habari ndugu zanguni Kuna yoyote aliye katika jogging club maneneo ya Hai, Sanya, Boma ngo'mbe au kikundi chochote cha mazoezi.
  5. M

    JamiiForums Tanzania These reasons make it hard for Museveni and Kagame to leave ever-presidents club

    These reasons make it hard for Museveni and Kagame to leave ever-presidents club netbidy.comOct 1, 2023 8:04 AM What you need to know: President Museveni has not announced yet if he will seek re-election in 2026, but many people he leads, including me, think his name will be on the ballot...
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini Kakolanya ni mzuri timu ya Taifa lakini sio kwenye klabu?

    Kumekuwa na tuhuma kwa wachezaji wetu wengi kuhusishwa na kupanga matokeo(rushwa) wanapokuwa kwenye timu zao. Na mmojawao ni Kipa Kakolanya. Kuna muda mwingine ukimuangalia unaona jinsi alivyo makini anapokuwa langoni na kuna muda mwingine anaonekana mpambanaji hasa halafu anakaa position fulani...
Back
Top Bottom