Meli kubwa ya kifahari duniani AZAMARA CRUISE yatua Dar na watalii 600 kutoka Marekani, Japan, China, Taiwan na Uingereza.
Meli hiyo imetia nanga kwenye gati jipya la kisasa lililoboreshwa ambalo ni sehemu ya maboresho yanayoendelea Bandarini.
Benki ya Dunia imesema ukuaji wa uchumi wa dunia kwa mwaka huu unakadiriwa kufikia asilimia 2.5, ikilinganishwa na asilimia 2.4 ya mwaka jana, licha ya kuendelea kuwepo kwa hatari ya kushuka.
Ripoti mpya kuhusu mustakbali wa uchumi wa dunia inayotolewa kila baada ya nusu mwaka na Benki ya...
HABARI za muda huu wana JF
Leo niko hapa China bar tegeta nakula bata, Kama Uko karibu Njoo tujumuike na kula bata, I. e Kunywa bia, kucheze music na totoz zilizopo hapa China bar, Maana naona warembo wazuri balaa!
Karibuni wana JF tule bata
Ni hao wakuu. Wandugu uchumi wa China na ukuaji wake ni jambo la kuogopesha sana kwa ukubwa wake. Miaka michache ijayo China itaongoza kiuchumi karibu kwenye kila sekta. Kwa huo uchumi mkubwa China amekuwa mtumiaji mkubwa wa malighafi duniani . Pia ukuwaji huo umetengeneza mamilioni ya...
Wizara ya Usalama wa Umma ya China imesema, Polisi nchini humo imefungua kesi 118,000 za uhalifu wa utapeli kwa kutumia simu za mkononi na kuwakamata watu elfu 99 wakati wa operesheni ya "Cloud Sword" iliyoanza mwezi Juni mwaka huu.
Mkurugenzi wa Idara ya Uchunguzi wa Uhalifu iliyo chini ya...
China imesema leo kuwa itapunguza ushuru kuanzia Januari mosi kwenye zaidi ya bidhaa 850 za kigeni ikiwemo nyama ya kuhifadhiwa ya nguruwe, madawa ya maradhi ya pumu na baadhi ya vifaa vya teknolojia ili kuchochea maendeleo ya kiuchumi.
Tangazo hilo linafuatia makubaliano ya muda ya kibiashara...
Waislamlu kote duniani wamesisitizwa kuonesha umoja wao na nguvu zao kiuchumi kwa kuacha kununua bidhaa za China nchi ambayo imewaweka kuzuizini waislamu wapatao milioni 3 kati ya waislalmu wanaokisiwa kufikia milioni 10 wa jimbo la Magharibi ya China la Uighur.
Wito huo umetolewa na mmoja ya...
Kiungo wa Arsenal Mesut Ozil ameondoshwa kwenye mchezo wa video wa Pro Evolution Soccer (PES) 2020 toleo la Uchina baada ya kuikosoa nchi hiyo kwa kuwatesa jamii ya Waislamu ya Uighur.
Ozil, 31, ambaye ni Muislamu, amewaita Wauighur (Wachina wa asili ya Kiislamu) "mashujaa wanaokabiliana na...
Watu14 wamefariki na Watu wengine saba wameokolewa huku wengine wawili wakiwa bado ndani ya mgodi huo wa Makaa ya Mawe na Gesi uliopo Kusini-Magharibi mwa China katika Mji wa Guizhou
Tukio hilo lililotokea mapema leo katika mgodi huo uitwao Guanglong ni moja ya matukio yanayotokea kwenye migodi...
Masharti ya kupata passport inatakiwa tu kitambulisho cha uraia zingine zote mbwembwe za kusumbuana tu sijui barua ya mwaliko sijui nini ujinga mtupu. Kwani mtu hawezi kwenda nchi nyingine kutafuta fursa hata kama hana mwenyeji?
Ona huyu kijana Mtanzania mwenye mgahawa China akipiga kazi baada...
Habari Watanzania, Heri ya miaka 58 ya uhuru!
Bila kupoteza muda ngoja tuongee namna ya kununua vitu kutoka nchini China hasa kupitia platform ya Alibaba ( Made in China)
Kwanza Kabisa Alibaba sio platform peke yake ya kuweza kununua vitu nchini China kuna platforms kama Global sources...
Idadi hiyo ni kwa mujibu wa Kamati ya Kutetea Waandishi wa Habari kupitia ripoti yake ya mwisho wa mwaka huku ikibainisha kuwa mwaka 2018 idadi hiyo ilikuwa Waandishi 255
China ni ya kwanza kwa kufunga Wanahabari 48 ndani ya mwaka huu huku Uturuki ikiwa nafasi ya pili ikiwa imefunga Wanahabari...
Rais wa Marekani Bwana Trump ameitaka Benki ya Dunia kusitisha kuipa mikopo China kwa sababu China ina pesa nyingi ambazo inakopesha nchi nyingine, iweje China anakopesha wengine kupitia mradi wake wa Road lnitiative halafu iseme haina hela iende kukopa Benki ya Dunia?
Huu mwaka ndio huo unakwisha na safari iliyopangwa kufanyika bado.
Ilitegemewa kuwepo safari ya kwenda kuwatembelea marafiki zetu, ndugu zetu, (wasiokuwa mabeberu) tena waliosifiwa kwa kutoweka masharti kama yale ya 'mabeberu' wanapoamua kukupa pesa zao.
Pamoja na sifa hizi tulizowamwagia...
KUPITIA HADIDU ZA REJEA HIZO HAPO CHINI TANZANIA TUNAWEZA KUJIFUNZA KITU KUTOKA UCHINA.
Ukuaji wa kiuchumi wa China kwa sehemu kubwa umechangiwa na kuhama kutoka uzalishaji wa kilimo kwenda uchumi wa viwanda yaani mapinduzi ya viwanda.
China ilijiunga na Shirika la Biashara la Kimataifa WTO...
Bunge la Marekani limepitisha muswada ili kupambana na vile wanavyovisema kuwa ni vikwazo visivyo na mantiki, mateso na unyanyasaji kwa waislamu wa jamii ya Uighur nchini China.
Imelenga vile vikwazo vinavyowalenga wanachama wa serikali ya China na kumtaja kiongozi wa chama cha kikomunisti...
China imesitisha ziara ya manowari ya Marekani na kuiwekea vikwazo asasi moja ya Kimarekani, ikiwa ni hatua ya kulipa kisasi kutokana na kusainiwa kwa muswada unaowaunga mkono waandamanaji wanaodai demokrasia mjini Hong Kong.
Mji huo wa Hong Kong ulio kitovu cha biashara, umekumbwa na machafuko...
Kutokana na punguzo la Black Friday nilikua napita online niagize saa. Nimetembelea baadhi wa tovuti maarufu hapa Africa mojawapo ni hii Kikuu.
Tokea nimejua online market mpaka jana, ungeniuliza Kikuu ni ya wapi ningejibu ni ya hapa Africa.
Leo nimesoma 'about us' ya Kikuu imenisikitisha...
Serikali ya China imemuita Alhamis balozi wa Marekani mjini Beijing, ikipinga vikali hatua ya Rais Donald Trump ya kusaini miswada ya haki za binadamu ikiunga mkono waandamanaji nchini Hong Kong.
Rais Trump Jumatano alitia saini miswada miwili tofauti inayounga mkono waandamanaji wanaounga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.