china

  1. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Meli kubwa ya kifahari duniani AZAMARA CRUISE yatua Dar na watalii 600 kutoka Marekani, Japan, China, Taiwan na Uingereza

    Meli kubwa ya kifahari duniani AZAMARA CRUISE yatua Dar na watalii 600 kutoka Marekani, Japan, China, Taiwan na Uingereza. Meli hiyo imetia nanga kwenye gati jipya la kisasa lililoboreshwa ambalo ni sehemu ya maboresho yanayoendelea Bandarini.
  2. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Makadirio ya uchumi wa dunia 2020 kuwa madogo huku uchumi wa China ukitarajiwa kuporomoka

    Benki ya Dunia imesema ukuaji wa uchumi wa dunia kwa mwaka huu unakadiriwa kufikia asilimia 2.5, ikilinganishwa na asilimia 2.4 ya mwaka jana, licha ya kuendelea kuwepo kwa hatari ya kushuka. Ripoti mpya kuhusu mustakbali wa uchumi wa dunia inayotolewa kila baada ya nusu mwaka na Benki ya...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Wana JF, Karibuni China bar tegeta tule bata

    HABARI za muda huu wana JF Leo niko hapa China bar tegeta nakula bata, Kama Uko karibu Njoo tujumuike na kula bata, I. e Kunywa bia, kucheze music na totoz zilizopo hapa China bar, Maana naona warembo wazuri balaa! Karibuni wana JF tule bata
  4. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Tanzania tunawezaje/tufanye nini ili kufaidika na ukuaji wa uchumi wa China?

    Ni hao wakuu. Wandugu uchumi wa China na ukuaji wake ni jambo la kuogopesha sana kwa ukubwa wake. Miaka michache ijayo China itaongoza kiuchumi karibu kwenye kila sekta. Kwa huo uchumi mkubwa China amekuwa mtumiaji mkubwa wa malighafi duniani . Pia ukuwaji huo umetengeneza mamilioni ya...
  5. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania China yakamata watu 99,000 wanaojihusisha na utapeli kwa njia ya simu

    Wizara ya Usalama wa Umma ya China imesema, Polisi nchini humo imefungua kesi 118,000 za uhalifu wa utapeli kwa kutumia simu za mkononi na kuwakamata watu elfu 99 wakati wa operesheni ya "Cloud Sword" iliyoanza mwezi Juni mwaka huu. Mkurugenzi wa Idara ya Uchunguzi wa Uhalifu iliyo chini ya...
  6. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania China yatangaza kupunguza ushuru kwa bidhaa za kigeni kuanzia Januari 2020

    China imesema leo kuwa itapunguza ushuru kuanzia Januari mosi kwenye zaidi ya bidhaa 850 za kigeni ikiwemo nyama ya kuhifadhiwa ya nguruwe, madawa ya maradhi ya pumu na baadhi ya vifaa vya teknolojia ili kuchochea maendeleo ya kiuchumi. Tangazo hilo linafuatia makubaliano ya muda ya kibiashara...
  7. Webabu

    JamiiForums Tanzania Waislamu watakiwa kususia bidhaa za China kuwahurumia wenzao wa Uighur

    Waislamlu kote duniani wamesisitizwa kuonesha umoja wao na nguvu zao kiuchumi kwa kuacha kununua bidhaa za China nchi ambayo imewaweka kuzuizini waislamu wapatao milioni 3 kati ya waislalmu wanaokisiwa kufikia milioni 10 wa jimbo la Magharibi ya China la Uighur. Wito huo umetolewa na mmoja ya...
  8. Influenza

    JamiiForums Tanzania Matamshi ya Mesut Ozil: Kiungo wa Arsenal afutwa kwenye mchezo wa video wa Pro Evolution Soccer (PES) 2020 toleo la Uchina

    Kiungo wa Arsenal Mesut Ozil ameondoshwa kwenye mchezo wa video wa Pro Evolution Soccer (PES) 2020 toleo la Uchina baada ya kuikosoa nchi hiyo kwa kuwatesa jamii ya Waislamu ya Uighur. Ozil, 31, ambaye ni Muislamu, amewaita Wauighur (Wachina wa asili ya Kiislamu) "mashujaa wanaokabiliana na...
  9. Influenza

    JamiiForums Tanzania China: Watu 14 wafariki katika mlipuko uliotokea mgodini

    Watu14 wamefariki na Watu wengine saba wameokolewa huku wengine wawili wakiwa bado ndani ya mgodi huo wa Makaa ya Mawe na Gesi uliopo Kusini-Magharibi mwa China katika Mji wa Guizhou Tukio hilo lililotokea mapema leo katika mgodi huo uitwao Guanglong ni moja ya matukio yanayotokea kwenye migodi...
  10. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Serikali ilegeze masharti ya kupata pasipoti ili watu wakatafute fursa nje ya nchi

    Masharti ya kupata passport inatakiwa tu kitambulisho cha uraia zingine zote mbwembwe za kusumbuana tu sijui barua ya mwaliko sijui nini ujinga mtupu. Kwani mtu hawezi kwenda nchi nyingine kutafuta fursa hata kama hana mwenyeji? Ona huyu kijana Mtanzania mwenye mgahawa China akipiga kazi baada...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Ushauri unaponunua vitu kutoka China ( Alibaba)

    Habari Watanzania, Heri ya miaka 58 ya uhuru! Bila kupoteza muda ngoja tuongee namna ya kununua vitu kutoka nchini China hasa kupitia platform ya Alibaba ( Made in China) Kwanza Kabisa Alibaba sio platform peke yake ya kuweza kununua vitu nchini China kuna platforms kama Global sources...
  12. beth

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya CPJ: Kwa mwaka 2019 hadi kufikia Desemba 01 Waandishi wa Habari 250 walikuwa wamefungwa sehemu mbalimbali Ulimwenguni

    Idadi hiyo ni kwa mujibu wa Kamati ya Kutetea Waandishi wa Habari kupitia ripoti yake ya mwisho wa mwaka huku ikibainisha kuwa mwaka 2018 idadi hiyo ilikuwa Waandishi 255 China ni ya kwanza kwa kufunga Wanahabari 48 ndani ya mwaka huu huku Uturuki ikiwa nafasi ya pili ikiwa imefunga Wanahabari...
  13. The Assassin

    JamiiForums Tanzania Trump aitaka Benki ya Dunia kuacha kuipa mkopo China, adai ina hela nyingi na kama haina inazitengeneza

    Rais wa Marekani Bwana Trump ameitaka Benki ya Dunia kusitisha kuipa mikopo China kwa sababu China ina pesa nyingi ambazo inakopesha nchi nyingine, iweje China anakopesha wengine kupitia mradi wake wa Road lnitiative halafu iseme haina hela iende kukopa Benki ya Dunia?
  14. K

    JamiiForums Tanzania Ni swali tu: Mwenye kujua kuhusu safari ya China aeleze

    Huu mwaka ndio huo unakwisha na safari iliyopangwa kufanyika bado. Ilitegemewa kuwepo safari ya kwenda kuwatembelea marafiki zetu, ndugu zetu, (wasiokuwa mabeberu) tena waliosifiwa kwa kutoweka masharti kama yale ya 'mabeberu' wanapoamua kukupa pesa zao. Pamoja na sifa hizi tulizowamwagia...
  15. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Zijue sababu zilizoiwezesha China kukua kwa kasi kiuchumi, tujifunze

    KUPITIA HADIDU ZA REJEA HIZO HAPO CHINI TANZANIA TUNAWEZA KUJIFUNZA KITU KUTOKA UCHINA. Ukuaji wa kiuchumi wa China kwa sehemu kubwa umechangiwa na kuhama kutoka uzalishaji wa kilimo kwenda uchumi wa viwanda yaani mapinduzi ya viwanda. China ilijiunga na Shirika la Biashara la Kimataifa WTO...
  16. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Marekani yasaini muswada kupinga vikwazo vya China dhidi ya waislamu

    Bunge la Marekani limepitisha muswada ili kupambana na vile wanavyovisema kuwa ni vikwazo visivyo na mantiki, mateso na unyanyasaji kwa waislamu wa jamii ya Uighur nchini China. Imelenga vile vikwazo vinavyowalenga wanachama wa serikali ya China na kumtaja kiongozi wa chama cha kikomunisti...
  17. Nyendo

    JamiiForums Tanzania China yalipiza kisasi dhidi ya Marekani kuhusu Hong Kong

    China imesitisha ziara ya manowari ya Marekani na kuiwekea vikwazo asasi moja ya Kimarekani, ikiwa ni hatua ya kulipa kisasi kutokana na kusainiwa kwa muswada unaowaunga mkono waandamanaji wanaodai demokrasia mjini Hong Kong. Mji huo wa Hong Kong ulio kitovu cha biashara, umekumbwa na machafuko...
  18. Ultimate

    JamiiForums Tanzania Kumbe KIKUU pia ni ya Wachina?

    Kutokana na punguzo la Black Friday nilikua napita online niagize saa. Nimetembelea baadhi wa tovuti maarufu hapa Africa mojawapo ni hii Kikuu. Tokea nimejua online market mpaka jana, ungeniuliza Kikuu ni ya wapi ningejibu ni ya hapa Africa. Leo nimesoma 'about us' ya Kikuu imenisikitisha...
  19. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania China yakasirishwa na hatua ya Trump kuunga mkono waandamanaji Hong Kong

    Serikali ya China imemuita Alhamis balozi wa Marekani mjini Beijing, ikipinga vikali hatua ya Rais Donald Trump ya kusaini miswada ya haki za binadamu ikiunga mkono waandamanaji nchini Hong Kong. Rais Trump Jumatano alitia saini miswada miwili tofauti inayounga mkono waandamanaji wanaounga...
Back
Top Bottom