china

  1. K

    Ni swali tu: Mwenye kujua kuhusu safari ya China aeleze

    Huu mwaka ndio huo unakwisha na safari iliyopangwa kufanyika bado. Ilitegemewa kuwepo safari ya kwenda kuwatembelea marafiki zetu, ndugu zetu, (wasiokuwa mabeberu) tena waliosifiwa kwa kutoweka masharti kama yale ya 'mabeberu' wanapoamua kukupa pesa zao. Pamoja na sifa hizi tulizowamwagia...
  2. N'yadikwa

    Zijue sababu zilizoiwezesha China kukua kwa kasi kiuchumi, tujifunze

    KUPITIA HADIDU ZA REJEA HIZO HAPO CHINI TANZANIA TUNAWEZA KUJIFUNZA KITU KUTOKA UCHINA. Ukuaji wa kiuchumi wa China kwa sehemu kubwa umechangiwa na kuhama kutoka uzalishaji wa kilimo kwenda uchumi wa viwanda yaani mapinduzi ya viwanda. China ilijiunga na Shirika la Biashara la Kimataifa WTO...
  3. Nyendo

    Marekani yasaini muswada kupinga vikwazo vya China dhidi ya waislamu

    Bunge la Marekani limepitisha muswada ili kupambana na vile wanavyovisema kuwa ni vikwazo visivyo na mantiki, mateso na unyanyasaji kwa waislamu wa jamii ya Uighur nchini China. Imelenga vile vikwazo vinavyowalenga wanachama wa serikali ya China na kumtaja kiongozi wa chama cha kikomunisti...
  4. Nyendo

    China yalipiza kisasi dhidi ya Marekani kuhusu Hong Kong

    China imesitisha ziara ya manowari ya Marekani na kuiwekea vikwazo asasi moja ya Kimarekani, ikiwa ni hatua ya kulipa kisasi kutokana na kusainiwa kwa muswada unaowaunga mkono waandamanaji wanaodai demokrasia mjini Hong Kong. Mji huo wa Hong Kong ulio kitovu cha biashara, umekumbwa na machafuko...
  5. Ultimate

    Kumbe KIKUU pia ni ya Wachina?

    Kutokana na punguzo la Black Friday nilikua napita online niagize saa. Nimetembelea baadhi wa tovuti maarufu hapa Africa mojawapo ni hii Kikuu. Tokea nimejua online market mpaka jana, ungeniuliza Kikuu ni ya wapi ningejibu ni ya hapa Africa. Leo nimesoma 'about us' ya Kikuu imenisikitisha...
  6. Analogia Malenga

    China yakasirishwa na hatua ya Trump kuunga mkono waandamanaji Hong Kong

    Serikali ya China imemuita Alhamis balozi wa Marekani mjini Beijing, ikipinga vikali hatua ya Rais Donald Trump ya kusaini miswada ya haki za binadamu ikiunga mkono waandamanaji nchini Hong Kong. Rais Trump Jumatano alitia saini miswada miwili tofauti inayounga mkono waandamanaji wanaounga...
  7. FRANC THE GREAT

    Former CIA agent sentenced to 19 years in prison for conspiracy with China

    Former CIA agent sentenced to 19 years for conspiracy with China Jerry Chun Shing Lee was accused of delivering secrets to Chinese intelligence officers in exchange for $840,000 A former CIA case agent was sentenced on Friday to 19 years in prison, for an espionage conspiracy with China...
  8. TODAYS

    Algeria yatunisha msuli kwa bidhaa za China nchini Tanzania

    Sikuwahi kufikilia nchi mojawapo ya ukanda wa kaskazini ku-export bidhaa nchini Tanzania, hususani bidhaa ya simu. Leo naona simu yenye uwezo wa kasi ya 4G inayopigiwa kelele na makampuni ya mitandao nchini ikizalishwa nchini Algeria na kuanza kupokeewa kwa mikono miwili. Bidhaa zilizoeleka...
  9. Analogia Malenga

    China yazindua rasmi utafiti na maendeleo ya 6G

    Uchina imeanzisha ofisi mbili ili kuleta kasi ya 6G, kulingana na Wizara ya Sayansi na Teknolojia, ikiondoa mashindano kwa huduma ya data ya kizazi kijacho inayokuja baada ya kasi ya 5G. Wizara hiyo ilisema kwenye wavuti yake kwamba moja ya ofisi hizo zina maafisa wa serikali wanaohusika na...
  10. Miss Zomboko

    Ifahamu Sera iliyopitishwa na China ya kuzuia watu kuzaa mtoto zaidi ya mmoja

    Baada ya Kujua shida ambayo ingeletwa katika siku zijazo kutokana na ongezeko la watu, kati ya 1955-1957 Kiongozi Mkuu wa China, Mao Zedong baada ya kujadili suala hilo na kushawishiwa na Mchumi maarufu na Rais wa Chuo cha Peking aliamua kuanzisha sera ya kitaifa ya kupanga uzazi Mnamo mwaka...
  11. MK254

    Mchina asema kinachoenezwa na Tanzania kuhusu bandari ya Bagamoyo ni uongo

    Asema asllimia kubwa ya sababu ambazo Tanzania ilitumia kubamiza mradi ni uwongo maana hazijawahi kujadiliwa kwenye kikao chochote au siku yoyote. --------------------------------- China’s largest port operator has accused the government of Tanzania of spreading “false information” and...
  12. M

    Wataalamu wa ujenzi, ipi tofauti ya ubora kwenye Gypsum?

    Wakuu!! Kuna hizi Gypsum, ni teknolojia mpya tofauti kabisa na siling boards tulizozizoea. Naomba kujulishwa, kuna tofauti gani ya ubora kati ya Gypsum ya Tanzania( inayouzwa Tsh 13,500/-), China (Tsh 15,000), Kenya (Tsh 15,000), Malaysia (Tsh 18,000) na Touch boards za kampuni ya Ando (Tsh...
  13. The Assassin

    China yazindua 5G technology nchi nzima. Mitandao yote ya simu kutoa 5G kuanzia Ijumaa

    Serikali ya China imetangaza kuanzia Ijumaa ya kesho tarehe 2 Nov, mitandao yote ya simu China itaanza kutoa huduma ya 5G na kufikia mwisho wa mwaka huu inategemewa sehemu kubwa ya miji ya China itakuwa na huduma ya mtandao wa 5G. Hii ndio itakuwa huduma kubwa zaidi ya mtandao wa 5G duniani...
  14. B

    Only one Kenyan company makes the cut for China avocado sales

    October 30, 2019 Nairobi, Kenya Months after Kenya signed a deal to export avocados to China, a shocking revelation has emerged showing that only 1 out of every 100 companies can actually export the products to the emerging super power. Out of over 100 firms, only one has met the requirements...
  15. IamJackReacher

    Bilionea wa China Jack Ma kupambana kimasumbwi na bondia Floyd Mayweather Jr

    Naona mzee Jack Ma, baada ya kustaafu na kuachia ngazi kwenye kampuni yake ya Alibaba, na kupewa masomo ya "boxing" na Bw. Manny Pacquiao yupo tayari kuingia kwenye ringi na "legend" Floyd Mayweather Jr.! Naombea hii "bout" iwe ya ukweli na vile vile pesa zitakazo patikana ziende kwenye...
  16. J

    Rais Magufuli akutana na viongozi wa chama tawala cha China Ikulu

    Rais Magufuli ambaye pia ni mwenyekiti wa chama tawala CCM amekutana na viongozi wa chama tawala cha kikomunisti cha China. Viongozi hao kutoka China wamempongeza Rais Magufuli kwa namna CCM inavyoongoza kwa ufasaha serikali zake mbili ya Muungano na ya Zanzibar. Source Eatv habari!
  17. Mukulu wa Bakulu

    Tanzania supports China on Hong Kong crisis, blames Western media

    Dar es Salaam. The Tanzanian government said on Wednesday October 23 that it supports China’s position in the Asian country’s ongoing dispute with Hong Kong. Justice and Constitutional Affairs minister Augustine Mahiga said this during a dinner hosted by the Chinese embassy to commemorate five...
  18. benjamathayo

    Nataka kwenda Dubai au China kununua simu nipeni maelekezo mliowahi kwenda

    Mabaharia wafanyabiashara nimepata mpunga kidogo kama 20m kwamara yakwanza nataka kwenda dubai au china kununua simu hasa smartphone Nimekuja kwenu kuomba ushauri mliowahi kwenda china au dubai kununua simu au vifaa vyaumeme naomba munieleweshe 1-Gharama zandege kwenda nakurudi 2-Nisehemu ipi...
  19. winnerian

    Tanzania's China-backed $10bn port plan stalls

    Tanzania's China-backed $10bn port plan stalls Thursday May 23 2019 IN SUMMARY In 2013, Tanzania signed a framework agreement with China Merchants Holdings International to build the port and a special economic zone. But Tanzaia says the conditions given are not economically viable, hence it...
Back
Top Bottom