china

  1. M

    JamiiForums Tanzania China will find out the "Concequences "as it happens Trump roers

    In the midst of rising Coronavirus cases in US, President Donald Trump in his press address hits out at a correspondent when approached about ramifications for China Donald Trump In the midst of rising Coronavirus cases in United States, President Donald Trump on Monday in his press address...
  2. Corticopontine

    JamiiForums Tanzania China yakutana na Mabalozi wa Afrika nchini China imewahakikishia waafrika waishio nchini China usawa

    Mabalozi wa Nchi za Afrika wamekutana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje China, Chen Xiaoding kuzungumzia changamoto zinazowakabili baadhi ya raia wa Afrika katika mji wa Guangzhou, Chen amewaeleaza Mabalozi kwamba Serikali ya China haiungi mkono vitendo vya ubaguzi dhidi ya yeyote. Kuhusu...
  3. Richard

    JamiiForums Tanzania Kinachowatokea waafrika wenzetu huko China ni kweli -Video.

    Angalia dakika 3 za mwanzo.
  4. K

    JamiiForums Tanzania CHINA DASHENG BANK (CDBL), Benki mpya inayotishia soko.

    Taarifa za fedha za mabenki kwa robo ya tatu ya mwaka 2019 zimetolewa kuanzia mwezi wa tisa mwishoni na mwezi wa kumi katika vyombo mbalimbali vya habari hasa magazeti kama ambavyo kanuni ya mabenki na taasisi za fedha ya mwaka 2014 inaelekeza. Kiujumla kumekuwa na kupanda kwa faida kwa mabenki...
  5. Kingsmann

    JamiiForums Tanzania Barua ya US Congress kwenda WHO wakiituhumu kushirikiana na China kusambaza virusi vya corona

    Baraza la Congress la Marekani limemwandikia barua Tedros Adhamon ambaye ni DG wa WHO likimtuhumu kuisaidia China kwenye mpango wake wa siri kueneza COVID19 duniani kwa Makusudi. Jisomee mwenyewe hapa👇: April 9, 2020 Dr. Tedros Adhanom Ghebreyesus Director-General World Health Organization 20...
  6. Corticopontine

    JamiiForums Tanzania CHINA: Tumemkamata aliyezusha kuwa China inawabagua Waafrika

    Raia wa China akamatwa kwa kusambaza uongo kuhusu Waafrika Serikali ya mji wa Guangzhou, kusini mwa China imesisitiza kuwa jamii ya Waafrika katika mji huo ni ndogo kuliko laki tatu iliyodaiwa katika mitandao ya kijamii ya Kichina, na kwamba watu wanaowsili kutoka nchi za nje, raia wa China na...
  7. Corticopontine

    JamiiForums Tanzania CHINA: Tumebuni mfumo wa kupata vipimo vya CORONA ndani ya dakika 15

    China yabuni mfumo wa kupata matokea ya haraka ya vipimo vya virusi vya Corona Wanasayansi wa China wamefanikiwa kubuni mfumo wa kupata majibu ya haraka ya vipimo vya virusi vya Corona. Mfumo huo unaweza kuhifadhiwa na kusafirishwa katika joto la kawaida, na matokeo yanaweza kupatikana dakika...
  8. Suley2019

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkenya aliyesafiri kutokea Tanzania akutwa na Corona,wengine wanne wathibitishwa.Kifo kimoja chatangazwa

    The number of coronavirus cases in Kenya has risen to 184 after five more patients tested positive for COVID-19. Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe on Thursday said the new cases include three Kenyans and two foreigners. Three of the five patients had traveled from Tanzania while the other...
  9. Wacha1

    JamiiForums Tanzania Ubalozi wa China Tanzania na Barrick (Kampuni ya Twiga) zatoa misaada kwa Serikali kusaidia kupambana na Corona

    Twiga Minerals Corporation, a joint venture between Barrick Gold Corporation (NYSE:GOLD) (TSX:ABX) and the Tanzanian government, has announced a support program to assist the country in combating and containing the Covid-19 pandemic. Barrick's chief operating officer for its Africa and Middle...
  10. M

    JamiiForums Tanzania COVID-19 :See The Reasons why China wants to Help African Countries

    China has been making frantic moves to help developing countries, especially Africa, to overcome the Coronavirus pandemic. The coronavirus pandemic has destroyed economies of the world, thereby bringing many countries down. The means of survival of many countries have been crumbled with the...
  11. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania China yaripoti visa vipya vya corona 62 na vifo 2

    Mamlaka ya afya nchini China imethibitisha visa vipya 62 vya maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa hatari wa Covid-19, ambapo janga hilo lilizuka mwezi Desemba mwaka jana. Siku moja kabla watu 32 waliambukizwa virusi vya Corona, kwamujibu wa mamlaka ya afya. Vifo viwili vya nyongeza...
  12. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Marekani yaendelea kuvutana na China kwenye janga la Corona, yahamishia lawama kwa Shirika la Afya-WHO

    Rais Donald Trump amelishukia shirika la afya duniani WHO na kulilaumu kwa kuegemea upande wa China.Trump amesema asasi hiyo ya kimataifa ilishirikiana na China kuficha ukweli. Rais wa Marekani Trump ametishia kulikatia fedha shirika la afya Duniani WHO kwa sababu amesema shirika hilo...
  13. R

    JamiiForums Tanzania CHINA: Tupo tayari kuisaidia Marekani kupambana na Corona

    Msemaji Wizara ya Mambo ya Nje wa China Zhao Lijian amesema China ipo tayari kuisaidia Marekani ili kupunguza maambukizi ya corona ambayo yanaonekana kushika kasi USA wakati huu ambapo China yamepungua, Zhao ni miongoni mwa Watu wa kwanza kudai Marekani imepandikiza corona China. "Niliwahi...
  14. M

    JamiiForums Tanzania China Officially launches research on 6G while America and Europe are busy with 5G..Africa is comfused..

    China is certainly not joking with the advancement in all aspects of human development. For while America and Europe are yet to fully come to terms with the deployment of the 5G technology, and Africa still confused about the safety, and the propaganda about 5G, China has moves to researching...
  15. M

    JamiiForums Tanzania China is preparing to start a War with America...

    Sometime in June 2001, while browsing the Wall Street Journal, I stumbled upon an item on an inside page all the way at the bottom. It was no more than 75 words in a box. It covered a CIA security announcement concerning an increase in internet and cell phone traffic among suspected terrorists...
  16. Corticopontine

    JamiiForums Tanzania 89% ya waliofariki na Corona wametoka bara la Ulaya, Marekani, China na Iran, huku 0.5% vikitoka Afrika na 0.2% weusi tii! Then why lockdown in Africa

    Ukifuatilia kwa umakini epidemiology ya ugonjwa huu haiziathiri ngozi nyeusi zilizokulia Africa zinazopambana na Virus wengi walioko kwenye Vumbi tunalokutana nalo pengine Vumbi hili lina particles ndogondgo ambazo hazitakiwi na mwili na hivyo basi kinga za miili yetu ziko stressed kuingia...
  17. Tz boy 4tino

    JamiiForums Tanzania DRC imeingia makubaliano na Marekani pamoja na China ufanyikaji wa majaribio ya kinga ya Corona nchini mwao

    DR Congo 'prepared' to take part in vaccine testing: official The Democratic Republic of Congo is prepared to take part in testing of any future vaccine against the coronavirus, the head of the country's taskforce against the pandemic said on Friday. "We've been chosen to conduct these tests,"...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Internatinal Court to decide whether China used Corona Virus as Bioweapon to Attack the World

    A new lawsuit filed with the International Criminal Court (ICC) accuses China of using coronavirus as a bioweapon. Although the theory has already been debunked in the past, a new complaint filed against Beijing claims the deadly virus was engineered in a lab by Chinese scientists. The...
  19. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania China inaomboleza wahanga wa COVID-19 nchi nzima

    China leo imefanya maombolezo ya nchi nzima kuwakumbuka maelfu ya watu waliopoteza maisha kutokana na virusi vya corona. Bendera za taifa zimepepea nusu mlingoti nchi nzima pamoja na kusitisha shughuli zote za burudani. Siku hii ya maombolezo iliambatana na kuanza kwa sherehe za kila mwaka za...
  20. S

    JamiiForums Tanzania Unafanyeje biashara kipindi hiki cha Corona?

    Habari za Kwako Mwana Jamii Mwenzangu! Natumaini upo poa na unaendelea kujikinga na Corona iliyokuja kwa kasi 2020, Natumaini Mungu atatuvusha! Wakati China wakiwa wamefunga milango yao na wamerudi makazini na shughuli zikiwa zinaendelea kama kawaida ( masks, sanitizers, kupimwa joto la mwili...
Back
Top Bottom