china

  1. Suley2019

    Utafiti: China yadaiwa kuwa taifa la pili kwa uuzaji silaha ulimwenguni

    Ripoti ya taasisi ya kimataifa ya utafiti wa amani SIPRI ya mjini Stockholm imeonyesha China ni taifa la pili kwa uuzaji silaha ulimwenguni, likiwa na makampuni manne yanayoingiza mapato makubwa ya mauzo ya silaha. Makampuni hayo manne ambayo ni pamoja na kampuni kubwa kabisa ya kutengeneza...
  2. Influenza

    China: Mji wa Wuhan kulikoanzia virusi vya Corona kujenga Hospitali kwa siku 6 kusaidia katika kutibu Ugonjwa huo

    Mji wa Wuhan unaharakisha kujenga Hospitali mpya kusaidia kutibu Wagonjwa waliokumbwa na Virusi vya Corona ambavyo vimeshaua watu 80 na zaidi ya 870 wameambukizwa nchini humo Kusambaa kwa virus hivyo kulianzia kwenye Mji huo ambapo sasa Madaktari wanasema Waathirika wanapanga foleni kwa muda...
  3. S

    Tusaidiane! Kosa linakuwa wapi kununua mtandaoni?

    Wiki Iliyopita nimepigiwa simu na Rafiki yangu akihitaji msaada namna ninavyoweza kupata suluhisho ya jambo limetokea kwenye kampuni "Y" ambayo ni ya rafiki yake juu ya manunuzi waliyofanya mtandaoni. Case ilikua kama hivi, Kampuni Y ya Tanzania ilikua inahitaji kemikali yenye form ya powder...
  4. Guacamole

    Fahamu kuhusu Virusi vya Corona - China

    CORONA VIRUS ni virusi vinavyotokea kwenye familia iitwayo Coronaviridae, na vimepewa jina hilo kutokana na muonekano wake wa "Crown-like projection" chini ya light microscope. Virusi hivi vinaathiri moja kwa moja mfumo wa upumuaji wa binadamu ambapo huweza kupelekea matatizo kwenye mfumo wa...
  5. The Mongolian Savage

    Liverpool huenda ikakosa kutwaa ubingwa EPL kutokana na mafua ya China

    Mzuqa wanajamvi! Kuna wasiwasi wa Liver kutokutwaa ubingwa wa EPL kutokana na homa ya mafua Coronavirus kuingia Uingereza na kuthibitika leo watu wanne wanayo huko Scotland baada ya kutoka nayo China. Huu ungonjwa unasambaa kwa kasi ya ajabu na kwa muda wa miezi miwili tu itaambukiza mamilioni...
  6. beth

    China yasitisha usafiri wa umma katika mkoa wa Wuhan kudhibiti Virusi Corona

    China imefanya maamuzi magumu ya kusitisha usafiri wa umma hasa katika mkoa wa Wuhan, unaokaliwa na watu karibu milioni tisa, wakati wa mlipuko wa virusi vya ugonjwa wa Corona. Watu wanaoishi katika jiji hilo wameambiwa wasiondoke nje ya mji huo, na uwanja wa ndege na vituo vya treni vitafungwa...
  7. YEHODAYA

    Tanzania kwa nini haihamasishi mauzo ya nyama ya punda China wakati soko liko kubwa mno?

    China nyama ya punda na ngozi za punda zina soko kubwa mno. Kwanini serikali haihamasishi ufugaji mkubwa wa punda Tanzania na kuanzisha minada ya punda?
  8. Suley2019

    China yatajwa kuwa nchi hatari kwa Haki za Binadamu Duniani

    Shirika la kutetea haki za binadamu lililo na makao yake Mjini New York Marekani Human Rights Watch, limesema China inaweka mikakati ya kuidhoofisha mifumo ya kulinda haki za binadamu duniani kote. Shirika hilo limeyasema haya leo tarehe 15/01/2020 Jumatano katika uzinduzi wa ripoti yake ya...
  9. FRANC THE GREAT

    VIDEO: At least six dead after huge sinkhole in China swallows bus and pedestrians

    Footage on state TV shows the vehicle disappearing inside the sinkhole in the city of Xining as people run away Photo: Chinese rescuers prepare to lift a bus out of the ground after the road collapse in Xining. Photograph: STR/AFP via Getty Images An enormous sinkhole has swallowed a bus and...
  10. Miss Zomboko

    Marekani yaiondoa china kwenye viwango vya nchi wadhibiti wa ubadilishaji fedha

    Marekani imeiondoa China kutoka kwenye orodha yake ya nchi zinazodhibiti kiwango cha ubadilishaji wa fedha. Ripoti iliyotolewa jana na Wizara ya fedha ya Marekani inasema kwa sasa hakuna nchi mshirika wa kibiashara wa Marekani anayefikia vigezo vya kisheria vya kudhibiti thamani ya sarafu yake...
  11. FRANC THE GREAT

    Raia wawili wa China wakamatwa wakipiga picha kambi ya jeshi la Marekani

    Shirika la upelelezi nchini Marekani, FBI liliwakamata raia wawili wa China mwishoni mwa juma kwa kosa la kupiga picha kinyume cha sheria kambi ya Jeshi la majini la Marekani huko Florida. Hili ni tukio la pili kufichuliwa na mamlaka hiyo, matukio ambayo yamekuwa yakitekelezwa na raia wa China...
  12. Nyendo

    Meli kubwa ya kifahari duniani AZAMARA CRUISE yatua Dar na watalii 600 kutoka Marekani, Japan, China, Taiwan na Uingereza

    Meli kubwa ya kifahari duniani AZAMARA CRUISE yatua Dar na watalii 600 kutoka Marekani, Japan, China, Taiwan na Uingereza. Meli hiyo imetia nanga kwenye gati jipya la kisasa lililoboreshwa ambalo ni sehemu ya maboresho yanayoendelea Bandarini.
  13. Miss Zomboko

    Makadirio ya uchumi wa dunia 2020 kuwa madogo huku uchumi wa China ukitarajiwa kuporomoka

    Benki ya Dunia imesema ukuaji wa uchumi wa dunia kwa mwaka huu unakadiriwa kufikia asilimia 2.5, ikilinganishwa na asilimia 2.4 ya mwaka jana, licha ya kuendelea kuwepo kwa hatari ya kushuka. Ripoti mpya kuhusu mustakbali wa uchumi wa dunia inayotolewa kila baada ya nusu mwaka na Benki ya...
  14. S

    Wana JF, Karibuni China bar tegeta tule bata

    HABARI za muda huu wana JF Leo niko hapa China bar tegeta nakula bata, Kama Uko karibu Njoo tujumuike na kula bata, I. e Kunywa bia, kucheze music na totoz zilizopo hapa China bar, Maana naona warembo wazuri balaa! Karibuni wana JF tule bata
  15. Red Giant

    Tanzania tunawezaje/tufanye nini ili kufaidika na ukuaji wa uchumi wa China?

    Ni hao wakuu. Wandugu uchumi wa China na ukuaji wake ni jambo la kuogopesha sana kwa ukubwa wake. Miaka michache ijayo China itaongoza kiuchumi karibu kwenye kila sekta. Kwa huo uchumi mkubwa China amekuwa mtumiaji mkubwa wa malighafi duniani . Pia ukuwaji huo umetengeneza mamilioni ya...
  16. Miss Zomboko

    China yakamata watu 99,000 wanaojihusisha na utapeli kwa njia ya simu

    Wizara ya Usalama wa Umma ya China imesema, Polisi nchini humo imefungua kesi 118,000 za uhalifu wa utapeli kwa kutumia simu za mkononi na kuwakamata watu elfu 99 wakati wa operesheni ya "Cloud Sword" iliyoanza mwezi Juni mwaka huu. Mkurugenzi wa Idara ya Uchunguzi wa Uhalifu iliyo chini ya...
  17. Miss Zomboko

    China yatangaza kupunguza ushuru kwa bidhaa za kigeni kuanzia Januari 2020

    China imesema leo kuwa itapunguza ushuru kuanzia Januari mosi kwenye zaidi ya bidhaa 850 za kigeni ikiwemo nyama ya kuhifadhiwa ya nguruwe, madawa ya maradhi ya pumu na baadhi ya vifaa vya teknolojia ili kuchochea maendeleo ya kiuchumi. Tangazo hilo linafuatia makubaliano ya muda ya kibiashara...
  18. Webabu

    Waislamu watakiwa kususia bidhaa za China kuwahurumia wenzao wa Uighur

    Waislamlu kote duniani wamesisitizwa kuonesha umoja wao na nguvu zao kiuchumi kwa kuacha kununua bidhaa za China nchi ambayo imewaweka kuzuizini waislamu wapatao milioni 3 kati ya waislalmu wanaokisiwa kufikia milioni 10 wa jimbo la Magharibi ya China la Uighur. Wito huo umetolewa na mmoja ya...
  19. Influenza

    Matamshi ya Mesut Ozil: Kiungo wa Arsenal afutwa kwenye mchezo wa video wa Pro Evolution Soccer (PES) 2020 toleo la Uchina

    Kiungo wa Arsenal Mesut Ozil ameondoshwa kwenye mchezo wa video wa Pro Evolution Soccer (PES) 2020 toleo la Uchina baada ya kuikosoa nchi hiyo kwa kuwatesa jamii ya Waislamu ya Uighur. Ozil, 31, ambaye ni Muislamu, amewaita Wauighur (Wachina wa asili ya Kiislamu) "mashujaa wanaokabiliana na...
  20. Influenza

    China: Watu 14 wafariki katika mlipuko uliotokea mgodini

    Watu14 wamefariki na Watu wengine saba wameokolewa huku wengine wawili wakiwa bado ndani ya mgodi huo wa Makaa ya Mawe na Gesi uliopo Kusini-Magharibi mwa China katika Mji wa Guizhou Tukio hilo lililotokea mapema leo katika mgodi huo uitwao Guanglong ni moja ya matukio yanayotokea kwenye migodi...
Back
Top Bottom