Tozo ya kodi posta Tanzania unapoagiza bidhaa kutoka Aliexpress China

ibradebo

JF-Expert Member
May 8, 2015
302
177
Nimekuwa nikiagiza bidhaa nyingi kutoka Aliexpress, na mara zote nimekuwa nikitozwa kodi kubwa na posta ninapoenda kuchukua mzigo zaidi ya bidhaa bei ninazoagiza.

Nataka kujua kwa wenzangu ambao mnaagiza kama nyie mnatozwa hivyo au mimi nakosea sehemu!

Mnielekeze nifanyaje ili kupunguza kodi.
 
Unaagiza nini?

Sijui customs wanatumia vigezo gani kuamua mizigo ipi ilipiwe ushuru na ipi ipite bila ushuru.

Kwa uzoefu wangu box likishakuwa kubwa customs wanalizuia. Ukienda ukawaonyesha bei uliyonunulia wanakupatia tax assessment kutokana na vitu ulivyonunua - ipo kisheria. Lazma uliwe kichwa.

Mi naona ukitaka usitozwe kodi agiza mizigo ije kwenye parcel ndogo ndogo au vimifuko hivi. Kitu kikishakuwa kwenye box hasa kubwa kikazuiwa na customs huna la kufanya inabidi ulipe utakachoambiwa maana unakutanishwa na maofisa wa TRA live na watataka kuona bei uliyonunulia.

Kitu kikija kwenye wrapping ndogo customs wanaruhusu kiingie nchini bila kulipiwa kodi - ndio pona yako.

Mfano kama unataka saa 10 badala ya kununua zote zije kama mzigo mmoja nunua zote independently zije moja moja. Box la saa 10 haliwezi kupona, ila saa moja moja inaweza kupita bila kuombwa ushuru.
 
Simu wanaweza kunitoza bei gani?
Utatunguliwa yafuatayo:-
1. Custom Processing Fee = 0.6%
2. Railway Dev Levy = 1.5%, na
3. VAT = 18%.

Sasa assume simununua kwa TZS 500,000

0.6% ya TZS 500K = TZS 3000...... i
1.5% ya TZS 500K = TZS 7500..... ii

Now, thamani ya simu itayotakiwa kukatwa kodi ni 3000 + 7500 + 500,000 = 510,500

VAT 18% ya 510,500 = TZS 91,890 -- Hiyo ndo utawaachia TRA!

Itoshe tu kwamba, ukiagiza bidhaa kwa bei ya kukurupuka, halafu ukaingia kwenye mikono ya TRA, unaweza kujikuta unalipia bidhaa husika kwa pesa ya juu zaidi kuliko kama ungenunua TZ!
 
Utatunguliwa yafuatayo:-
1. Custom Processing Fee = 0.6%
2. Railway Dev Levy = 1.5%, na
3. VAT = 18%.

Sasa assume simununua kwa TZS 500,000

0.6% ya TZS 500K = TZS 3000...... i
1.5% ya TZS 500K = TZS 7500..... ii

Now, thamani ya simu itayotakiwa kukatwa kodi ni 3000 + 7500 + 500,000 = 510,500

VAT 18% ya 510,500 = TZS 91,890 -- Hiyo ndo utawaachia TRA!

Itoshe tu kwamba, ukiagiza bidhaa kwa bei ya kukurupuka, halafu ukaingia kwenye mikono ya TRA, unaweza kujikuta unalipia bidhaa husika kwa pesa ya juu zaidi kuliko kama ungenunua TZ!
Asante kwa ufafanuzi mkuu.
Serikali hii ina mambo ya kinyonyaji sana kumbe bora kununua tu hkuhku bongo.
 
Utatunguliwa yafuatayo:-
1. Custom Processing Fee = 0.6%
2. Railway Dev Levy = 1.5%, na
3. VAT = 18%.

Sasa assume simununua kwa TZS 500,000

0.6% ya TZS 500K = TZS 3000...... i
1.5% ya TZS 500K = TZS 7500..... ii

Now, thamani ya simu itayotakiwa kukatwa kodi ni 3000 + 7500 + 500,000 = 510,500

VAT 18% ya 510,500 = TZS 91,890 -- Hiyo ndo utawaachia TRA!

Itoshe tu kwamba, ukiagiza bidhaa kwa bei ya kukurupuka, halafu ukaingia kwenye mikono ya TRA, unaweza kujikuta unalipia bidhaa husika kwa pesa ya juu zaidi kuliko kama ungenunua TZ!

Umesahau import Duty 25% kwa simu
 
Nimekuwa nikiagiza bidhaa nyingi kutoka aliexpress, na mara zote nimekuwa nikitozwa kodi kubwa na posta ninapoenda kuchukua mzigo zaidi ya bidhaa bei ninazoagiza.

Nataka kujua kwa wenzangu ambao mnaagiza kama nyie mnatozwa hivyo au mimi nakosea sehemu!

Mnielekeze nifanyaje ili kupunguza kodi.

Ongea na anayekuuzia andike bei ndogo hata kikija ni rahisi. Nishafanya sana
 
Utatunguliwa yafuatayo:-
1. Custom Processing Fee = 0.6%
2. Railway Dev Levy = 1.5%, na
3. VAT = 18%.

Sasa assume simununua kwa TZS 500,000

0.6% ya TZS 500K = TZS 3000...... i
1.5% ya TZS 500K = TZS 7500..... ii

Now, thamani ya simu itayotakiwa kukatwa kodi ni 3000 + 7500 + 500,000 = 510,500

VAT 18% ya 510,500 = TZS 91,890 -- Hiyo ndo utawaachia TRA!

Itoshe tu kwamba, ukiagiza bidhaa kwa bei ya kukurupuka, halafu ukaingia kwenye mikono ya TRA, unaweza kujikuta unalipia bidhaa husika kwa pesa ya juu zaidi kuliko kama ungenunua TZ!
Kwanini hizo 3000 na 7500 zijumuishwe kwenye original price ndo zitumike kukatwa kodi?

Kwanini wasingetoa ila wakajumuisha.?
 
Kwanini hizo 3000 na 7500 zijumuishwe kwenye original price ndo zitumike kukatwa kodi?

Kwanini wasingetoa ila wakajumuisha.?
Ndo maana inaitwa VALUE ADDED Tax!

Kwamba, thamani halisi ya product uliyoagiza haitatokani na bei uliyonunulia peke yake bali plus gharama za ziada (Value Added) kama vile import duty, excise duty, etc. Kama ni biashara, basi uta-set bei baada ya kuongoza hizo gharama zingine na kupata gharama halisi ya product yako!
 
Gharama ya kusafirisha saa moja moja kama unatumia Stackry kwa calculator yao utasanda tu ni heri ku-consolidate kwenye box moja kubwa.

Utakwepa TRA ila shipping cost itakuua.

Miwani tu pc 1 wameniambia shipping $70 USPS Express ilhali kuna mizigo mitatu nimeweka box moja about 1kg nimesafirisha kwa $147!View attachment 1652248
Kwa hiyo speed ya mzigo tangu uliponunua mpaka kuupata ni halali kutozwa hiyo shipping fee kubwa
From Dec 9 to Dec 14 chief
Hapo ulichagua shipping method ya express
 
Back
Top Bottom