Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,502
- 51,098
Akizungumza na waandishi wa habari, ndugu Kigaila ameitaka NEC kurudisha wagombea wote wa Chadema walienguliwa kihuni.
Amesema kuna watu walitekwa na vyombo vya dola kama TAKUKURU ili wasirudishe fomu.
Kuna wengine walienguliwa kwa wakurugenzi kuharibu fomu zao kwa kuongezea maandishi yasiyohusika, na kuna majimbo mengine madiwani wamepelekewa mapingamizi wakati muda wa maingamizi umeisha.
Chadema imesema, kwa miaka mitano imevumilia uonevu na manyanyaso lakini sasa haitokubali. Imesema kama kulia sasa watalia wote, hawaotoubali kulia peke yao!
Kwa habari zaidi angalia video hii hapa chini:
Amesema kuna watu walitekwa na vyombo vya dola kama TAKUKURU ili wasirudishe fomu.
Kuna wengine walienguliwa kwa wakurugenzi kuharibu fomu zao kwa kuongezea maandishi yasiyohusika, na kuna majimbo mengine madiwani wamepelekewa mapingamizi wakati muda wa maingamizi umeisha.
Chadema imesema, kwa miaka mitano imevumilia uonevu na manyanyaso lakini sasa haitokubali. Imesema kama kulia sasa watalia wote, hawaotoubali kulia peke yao!
Kwa habari zaidi angalia video hii hapa chini: