Umesahau waliyosema kuhusu Ajali ya Fikiri Kunjombe ati Rubani alikuwa Mzee sana?Je, TCAA walifanya tathmini ipi ya huyo rubani wa zaidi ya miaka 65 kwamba atahatarisha usalama wa wasafiri?
Mara ya mwisho huyo rubani kurusha helicopter akiwa above 65 YO ilikuwa lini?
Umesahau waliyosema kuhusu Ajali ya Fikiri Kunjombe ati Rubani alikuwa Mzee sana?
Hawana lolote wanamwogopa Tundu Lissu tu hawa!
Swali la kijinga sana hili unalouliza.Je, TCAA walifanya tathmini ipi ya huyo rubani wa zaidi ya miaka 65 kwamba atahatarisha usalama wa wasafiri?
Mara ya mwisho huyo rubani kurusha helicopter akiwa above 65 YO ilikuwa lini?
Je, TCAA walifanya tathmini ipi ya huyo rubani wa zaidi ya miaka 65 kwamba atahatarisha usalama wa wasafiri?
Mara ya mwisho huyo rubani kurusha helicopter akiwa above 65 YO ilikuwa lini?
Kwahiyo unataka wavunje sheria ili wawajibike na mnafahamu ni juzi tu tobolisu ametoa lalamiko kuwa amepata habari kwa wasiri wake kuw anaandaliwa ajali ya ndege.hawana lolote wanamwogopa Tundu Lissu tu hawa!
Swali la kijinga sana hili unalouliza
Uzee sana unaanzia miaka mingapi? Tuanzie hapo.
Chadema ni mabingwa wa kulia lia. Hata hawaeleweki kazi yao kutafuta sympathy, ndio wataweza kuongoza nchi?Ukisoma taarifa ya Chadema utagundua kuna shida upande wao, maana hawajasema huyo afisa wa TCAA aliwaambia nini hasa sababu ya kuzuiwa kwao.
Chadema wanatakiwa kuwa waungwana. Walianza siku ya kurudisha fomu wakadai wamefika mapema wamewekwa chumba cha kusubilia wakiwa hawajui nini kinaendelea, kumbe wakijua uhakiki wa wadhamini ulikuwa ukiendelea baada ya wao kutofuata taratibu za kuhakiki wadhamini wao wakati wakizunguka.
Fuateni taratibu na muache uhuni, nani atakabidhi nchi kwa wahuni, wazushi na wapotoshaji?