Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,122
- 214,237
Hii ni baada ya Julius Mwita kuzindua kampeni za ubunge, hii hapa habari kamili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkiwachagua wapinzani mnaniudhi.Hii ni baada ya Julius Mwita kuzindua kampeni za ubunge , hii hapa habari kamili
View attachment 1563730View attachment 1563731
Dreamland.Hii ni baada ya Julius Mwita kuzindua kampeni za ubunge , hii hapa habari kamili
View attachment 1563730View attachment 1563731
Hakuna namna , apeleke maendeleo yote ChatoMkiwachagua wapinzani mnaniudhi.
Magufuli 2020
Dreamland.
You got to dream hard baby!
Too early to declare. Njoo baada ya uchaguzi utoe mrejesho.Sitofautishi ujasiri wa watu wa Mara, Arusha na Mbeya kwenye masuala Kama haya.
Nina Imani nao saana!
Hapo Ni Nani amedeclare mapema? Acha uzwazwa hizo ndio Ngome ambazo CCM lazima waangukie puaToo early to declare. Njoo baada ya uchaguzi utoe mrejesho.
Wametuwakilisha vyema sana.Hii ni baada ya Julius Mwita kuzindua kampeni za ubunge , hii hapa habari kamili
View attachment 1563730View attachment 1563731
And we are part of winning group
Hapana mkuu mi ni mzaliwa wa Musoma miongoni mwa Mikoa inayojielewa na Mara pia ni miongoni mwao, Chadema itashinda jimbo hilo maana lina historia ya kuongozwa na miaka mitano ccm miaka mitano upinzani Matayo anaondolewa mapema sana...Too early to declare. Njoo baada ya uchaguzi utoe mrejesho.
Unajua hata maana ya ngome?! who is the incumbent!Hapo Ni Nani amedeclare mapema? Acha uzwazwa hizo ndio Ngome ambazo CCM lazima waangukie pua
Najua Ngome kongwe Ni Zanzibar..Ila for now Ngome yenu ipo pale Lumumba daslamu!Unajua hata maana ya ngome?! who is the incumbent!
Acha ubishi hilo jimbo linaenda CHADEMA hii musoma mjini ni tofauti na unavyofikiria huwa inaongozwa na miaka mitano na ccm au chama pinzani...Wametuwakilisha vyema sana.
Hilo sipingi kaka, ile kanda ya kaskazini sio kabisa.Acha ubishi hilo jimbo linaenda CHADEMA hii musoma mjini ni tofauti na unavyofikiria huwa inaongozwa na miaka mitano na ccm au chama pinzani...
Tena huyo Matayo David mapema sana abebe virago vyakeHapana mkuu mi ni mzaliwa wa Musoma miongoni mwa Mikoa inayojielewa na Mara pia ni miongoni mwao, Chadema itashinda jimbo hilo maana lina historia ya kuongozwa na miaka mitano ccm miaka mitano upinzani Matayo anaondolewa mapema sana...
Jimbo lingine ambalo laweza kwenda CHADEMA ni RORYA maana hapa pana kimgogoro cha kuikabila, Bunda unaelewa, Tarime mjini, kijijini unaelewa vizuri.
Usipime mambo kwa kutumia historia. Inawezekana umezaliwa Musoma lakini huna habari na yanayoendelea hapa kwakuwa huishi Musoma. Mimi nimezaliwa Iringo, na kwa sasa naishi kwangu Mtakuja, siasa za Musoma nazifahamu vyema. chadema hawana chao mwaka huu Musoma.Hapana mkuu mi ni mzaliwa wa Musoma miongoni mwa Mikoa inayojielewa na Mara pia ni miongoni mwao, Chadema itashinda jimbo hilo maana lina historia ya kuongozwa na miaka mitano ccm miaka mitano upinzani Matayo anaondolewa mapema sana...
Jimbo lingine ambalo laweza kwenda CHADEMA ni RORYA maana hapa pana kimgogoro cha kuikabila, Bunda unaelewa, Tarime mjini, kijijini unaelewa vizuri.