CHADEMA iandae Mgombea Urais Mwanamke 2025 kuepuka ukatili wa kijinsia

escrow one

JF-Expert Member
Nov 29, 2014
1,472
2,867
Baada ya Mama 'kutangaza' nia yake ya kuingia ulingoni 2025, ni vema chama kikuu cha upinzani kikaanza jitihada za kumtengeneza mwanamke atakayepambana na Chifu Hangaya kuwania kiti namba moja hapa nchini.

Kuweka mgombea mwanaume itakuwa ni ukatili wa kijinsia na hoja hiyo itatumika kuwaangusha.
 
Kutafuta uhalali wa kisiasa kwa kutumia kabila lako ni Ubaguzi, kutafuta uhalali wa kisiasa kwa kutumia dini yako ni ubaguzi. Kutafuta uhalali wa kisiasa kwa kutumia maumbile yako ni ubaguzi. Na dhambi ya ubaguzi dawa yake ni kukemewa kwa nguvu na kulaaniwa.
Usawa wa kijinsia ni agenda ya kidunia. Tumuunge mkono mama kuhakikisha 50/50 inapatikana haraka
 
Usawa wa kijinsia ni agenda ya kidunia. Tumuunge mkono mama kuhakikisha 50/50 inapatikana haraka
Sijapinga usawa wa kijinsia.Napinga Samia kusema kuwa atagombea urais mwaka 2025 kwa sababu yeye ni mwanamke.

Kutafuta uhalali wa kisiasa kwa kutumia maumbile yako ni ubaguzi. Mtu anatakiwa kugombea urais kwa sababu ya uwezo wake na wala siyo kwa sababu ya dini yake,jinsia yake,ukabila wake au rangi yake.

Usawa wa kijinsia siyo kumpa mtu uongozi kwa sababu ya jinsia yake bali ni kuwapa uongozi watu wenye uwezo bila ya kupendelea jinsia zao.
 
Back
Top Bottom