MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Najua leo umepewa Ushauri mzuri na mkubwa sana na Mmoja wa Vichwa Tegemezi wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere Mzee Joseph Butiku kutoka MNF na CCM yake pia.
Nami Mightier nakuomba mno John Mnyika na CHADEMA wako wote ufanyieni Kazi huo Ushauri Kuntu uliopewa leo na Mzee Butiku kwani huyo Mzee japo ni CCM 100% ila ni Muungwana, Mwerevu, mwana Diplomasia mzuri, Mzoefu na anajua mengi ya Kisiasa na Kidemokrasia halafu hana Unafiki au Upendeleo.
Na najua mpaka leo amekuja Kuonana nawe ( nanyi ) basi ama ameshatoka pia Kuonana Mheshimiwa Rais na Mwenyekiti CCM Taifa Samia Suluhu Hassan ( Bi. Hangaya ) au ndiyo anaenda Kuonana nae very soon ili Kuwapatanisheni.
Mpaka kuja Kuwaona amewaheshimu.
Nami Mightier nakuomba mno John Mnyika na CHADEMA wako wote ufanyieni Kazi huo Ushauri Kuntu uliopewa leo na Mzee Butiku kwani huyo Mzee japo ni CCM 100% ila ni Muungwana, Mwerevu, mwana Diplomasia mzuri, Mzoefu na anajua mengi ya Kisiasa na Kidemokrasia halafu hana Unafiki au Upendeleo.
Na najua mpaka leo amekuja Kuonana nawe ( nanyi ) basi ama ameshatoka pia Kuonana Mheshimiwa Rais na Mwenyekiti CCM Taifa Samia Suluhu Hassan ( Bi. Hangaya ) au ndiyo anaenda Kuonana nae very soon ili Kuwapatanisheni.
Mpaka kuja Kuwaona amewaheshimu.