johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Naomba Msajili wa vyama vya siasa mh Jaji Mutungi atupe taarifa rasmi kama Chadema wamegoma kuchukua ruzuku.
Pili, jaji Mutungi atujuze kama CHADEMA hawachukui ruzuku hakuna sheria yoyote wanayovunja kwa kuendelea kuwachangisha wanachama ilhali ruzuku ipo lakini wanaikataa?
Tatu, je ni halali Chadema kubandika picha ya Tundu Lisu kwenye ofisi zao hali iliyopelekea J J Mnyika naye kubandika picha yake ofisi za makao makuu?
Tukumbuke, Vyama vya siasa ni mali ya Umma.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Pili, jaji Mutungi atujuze kama CHADEMA hawachukui ruzuku hakuna sheria yoyote wanayovunja kwa kuendelea kuwachangisha wanachama ilhali ruzuku ipo lakini wanaikataa?
Tatu, je ni halali Chadema kubandika picha ya Tundu Lisu kwenye ofisi zao hali iliyopelekea J J Mnyika naye kubandika picha yake ofisi za makao makuu?
Tukumbuke, Vyama vya siasa ni mali ya Umma.
Nawatakia Dominica yenye baraka!