ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. M

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu alivyoununua uongozi wa CCM Wilaya wampigie debe

    Juzi baada ya kushtukia mpango wa viongozi wa CCM Wilaya kumpatia kura Dkt. Mwigulu Nchemba mpango huo ulichezwa kwa namna ingine. Pamoja na kuweka mazingira yote kuwa kura zitahesabiwa kwa uwazi na taratibu zingine zote kufuatwa bado Dkt. Mwigulu alikuwa kishawashawishi viongozi wote wa CCM...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kumkata Paul Makonda kwenye Kura za Maoni CCM, siyo maamuzi yenye akili

    KUMKATA MAKONDA SI MAAMUZI YENYE AKILI Na, Robert Heriel Ikiwa CCM itaamua kumkata Mhe. Paul Makonda itakuwa imefanya maamuzi yasiyo na busara. Yatakuwa ni maamuzi yasiyo na akili. Makonda ni moja vijana wachache muhimu kwa zama hizi katika taifa hili. Taifa la Tanzania linahitaji vijana mia...
  3. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania CCM ni mfano halisi wa shamba la bibi, Mali za chama ni ulaji wa makada

    Wilayani kwetu tangu nikiwa mdogo, kuna kiwanja kilichotengwa kwa ujenzi wa Ofis za Chama Wilaya, kiwanja hiki kilikuwa kwenye prime area kinatazama barabara kuu. Wakubwa walifika bei na kumuuzia Mwarabu ambae amejenga Hotel. Mpaka sasa ofisi ya CCM ni ile ile iliyokuwa ya TANU. Kuna pesa za...
  4. Nigrastratatract nerve

    JamiiForums Tanzania Leo imedhihirika kuwa bila CCM imara Tanzania itayumba. Tanzania kwa takribani wiki nzima imesimamishwa na Uchaguzi wa CCM

    Kwa kweli yaliyofanyika kuanzia Uchaguzi wa kuwapata wagombea Urais kule Zanzibar kuanzia ile tarehe 8 mpaka leo nchi yetu imesimama kwa maana ya uwazi wa mchakato wa uchaguzi ulivyokuwa Haijawahi kutokea popote Duniani kwa chama chochote tangu kuumbwa kwa Dunia kuwa na mvuto kama wa CCM mwaka...
  5. BAK

    JamiiForums Tanzania NEC igeni CCM jinsi ya kuhesabu kura. CCM mmeonyesha mfano

    Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM, ameagiza kwamba kura za maoni za Ubunge, uwakilishi na udiwani zinazoanza leo zihesabiwe hadharani kama ilivyokuwa wakati kuhesabu kura za Wagombea Urais wa Zanzibar.
  6. T

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa Umma waliotia nia kugombea nafasi mbalimbali za kisiasa kukatwa mshahara wa mwezi Julai

    Haijulikani sababu ni zipi zimeletekeza watumishi wa Umma ndiyo kuwa wengi katika kutia nia kuliko wafanyabishara na wafanyakazi wa Sekta Binafsi. Kuna wengine ambao waajiri wao wamegoma kuwapitishi ruhusa. Kuna wengine kwa kuona mizengwe ya viongozi wao kuhusu kuomba ruhusa wameamua kuondoka...
  7. IMP

    JamiiForums Tanzania CCM Kalenga Yanunuliwa

    Katika hli isiyo ya kawaida, harakati za kuwania kuliwakilisha Jimbo la Kalenga katika Uchaguzi Mkuu ujao unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 2020 zimeingia dosari baada ya watendaji mbalimbali wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kukubali kununuliwa na Wagombea ambao wana ushawishi mkubwa kwa kutumia...
  8. Return Of Undertaker

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kwanini kura za Uchaguzi Mkuu hazihesabiwi hadharani kama za CCM kuchagua wagombea?

    Napendekeza na kura za uchaguzi mkuu kuanzia Udiwani, ubunge na urais zihesabiwe kwa uwazi mbele ya wapiga kura kama wanavyofanya CCM katika kura za urais na ubunge? Naomba mwaka huu iwe hivyo
  9. B

    JamiiForums Tanzania GE2020 Watia nia CCM Mbeya wachimbwa mkwara

    19 Julai 2020 Watia Nia CCM Mbeya Wachimbwa Mkwara Mjiandae kisaikolojia, atakayesaliti kutimulia chama, Katibu Uenezi wa CCM Mpya ndugu Humphrey Polepole aongoza jopo kuwafunda Hakuna mtia nia wa CCM kukimbilia upinzani, ukishindwa kura za maoni. Ukitusaliti tutakufuata popote ulipo asema...
  10. Kabinti ka ludilo

    JamiiForums Tanzania GE2020 Katibu wa CCM Wilaya Kyela anadaiwa kumwaga dawa ukumbini muda huu

    Wakuu, habari nyeti kutoka kwenye ukumbi mkubwa zaidi jijini kyela zinadai Lukas Mwanyanda katibu wa CCM wilaya, ameonekana akimwaga madawa ukumbi utakaotumika kwa uchaguzi kesho. Vyanzo viwili nyeti vinakiri kushuhudia tukio hilo ambalo limefanyika wazi dakika chache zilizopita. "Tulimuona...
  11. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Video: Kura za maoni za CCM tutegemee mambo haya kutokea tena

    Mh Kikwete aliwahi kutuambia kwamba wanaCCM hawaaminiani kwa kiasi cha kushindwa hata kuachiana maji ya kunywa mezani . Usemi huu wa Rais Mstaafu ungali hai hadi leo .
  12. U

    JamiiForums Tanzania CCP Vs CCM, communism

    Naona Kama CCM inafuata mfumo wa kikomunist unaotumiwa na china. Kuna vitu vingi vinashahabiana Kama vifuatavo 1. Information and media Control 2. Lack of Freedom of speech 3. Loyalty of its members 4. Influence katika biashara za matajiri 5. Poor or no democracy 6.Jeshi, police belongs to the...
  13. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kwa kasi hii ya wagombea Ubunge wa CCM sidhani kama Mbatia na Mzee Cheyo wataachiwa majimbo ya upendeleo

    Kasi imekuwa ni kubwa mno na wagombea ni wengi kuliko ilivyotarajiwa kwa upande wa CCM. Ikumbukwe kuwa Mzee Cheyo aliomba mbele ya Mwenyekiti wa CCM kwamba waachiwe majimbo mawili au matatu. Kadhalika NCCR Mageuzi ilitegemewa kupata majimbo kadhaa kuwahifadhi wahamiaji kutoka CHADEMA. Lakini...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Mgombea ubunge Rungwe kwa tiketi ya CCM Enock Bwigane wa TBC amekanusha kupata ajali

    Mtangazaji wa michezo TBC ambaye anagombea ubunge jimbo la Rungwe mkoani Mbeya amekanusha taarifa zinazoenea kwamba amepata ajali mbaya. Bwigane amesema wakati ajali inatokea hakuwa ndani ya gari ila dereva amefariki. Source Swahili Times Rip dereva wa Bwigane. Maendeleo hayana vyama
  15. A

    JamiiForums Tanzania Serikali italipa lini malimbizo ya mshahara?

    Naiuliza tu hii Serikali italipa lini malimbikizo ya mishahara ya walimu? Kuna awamu mbili ya madai ya malimbikizo ya mishahara ya walimu,kuna waliopanda daraja 2018 na 2019 hatujalipwa hadi leo hii. Kwa upande wangu ninadai shilingi laki nane. Kiasi hicho cha pesa kwa kada yangu hii ya uwalimu...
  16. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayalla kugombea kupitia CCM, nisingemlaumu hata mimi ningefanya hivyo

    Pascal Mayalla anaweza gombea kupitia CCM? i bet so. Ndo chama pekee ambacho mtu ambaye atateuliwa kugombea kupitia chama hicho atapata Ubunge. Na hili ndilo jambo ambalo limewafanya wengi wachukue form sababu uhakika upo. Nmeshangaa kidogo suala hilo lakini nkakumbuka kuwa pasko mayala naye ni...
  17. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuwachuja wagombea Ubunge maelfu waliotia nia kupitia CCM

    Mimi nimeshiriki interview nyingi na najua maswali ya mitego watia nia wakiwa wengi hata wajae uwanja wa taifa wakigombea nafasi moja. Kuisaidia CCM kuchuja hao maelfu walioomba ni kazi ndogo tu na rahisi Swali moja tu la kwanza la kuwachujia ni kuuliza matawi waliko wanapoishi wameyasaidiaje...
  18. Nyendo

    JamiiForums Tanzania GE2020 Wagombea 460 wajitokeza kuutaka ubunge Kagera kupitia CCM, milango yafungwa

    Wagombea 460 wajitokeza kuchukua fomu za kugombea ubunge Kagera zoezi la uchukuaji fomu lafungwa. ========= Mchakato wa kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ulianza tarehe 14/07/2020 na kumalizika 17/07/2020 saa kumi jioni. Katika mkoa wa Kagera wagombea 460...
  19. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Jimbo la Ukonga kuna shida, isiposhughulikiwa CCM tutampa tena mpinzani. Waliochukua fomu wengi ni mamluki wa tuliyemkataa 2015

    Ukonga ni miongoni mwa majimbo 3 ambayo yapo katika Wikaya ya Ilala. Wengi wa wakazi ni wa kipayo cha chini na wachache cha kati. Mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi, kama kawaida mengi hujitokeza. CCM Ilala, DSM na taifa wasipotafakari 2020 jimbo tutaligawa kwa Upinzani tena. Zaidi ya wanachama...
  20. F

    JamiiForums Tanzania Wasomi ni muhimu sana CCM

    Tumeona jinsi CCM ilivyoteswa na wasomi wa upinzani kiasi cha kutumia nguvu kuzima hoja zao. Angalizo sasa Chama cha Mapinduzi kitumie wasomi walioomba nafasi za Ubunge ili kujenga base yenye nguvu hata kimataifa. Tumeona pia Rais anavyoteseka kupata mawaziri mpaka analazimika kula matapishi...
Back
Top Bottom