ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. CUF Habari

    Wananchi zaidi 90 Wilayani Kilwa mkoani Lindi wamerudisha kadi za ACT-wazalendo na CCM na kujiunga na chama cha wananchi CUF

    #HABARI WANANCHI ZAIDI 90 WILAYANI KILWA MKOANI LINDI WAMERUDISHA KADI ZA ACT-WAZALENDO NA CCM NA KUJIUNGA NA CHAMA CHA WANANCHI CUF Mkurugenzi wa mafunzo na udhibiti CUF Taifa Mhe. Masoud Omar Mhina kutoka kushoto ndiye aliyepokea Kadi hizo na Kuwakabidhi kadi za Chama Cha Wananchi CUF...
  2. B

    Membe: Kuna CCM Mpya na CCM ya Zamani

    7 Julai 2020 Rondo, Lindi Tanzania ’CCM ilinionya, Ukimchallenge huyu kutaka Urais utafukuzwa chamani ’ Bernard Membe Sisi wale wa CCM ya zamani tulionekana kama kwamba hatujafanya lolote jema na hawa wanaojiita CCM Mpya. Membe aelelezea utofauti wa aliyoiita 'CCM ya zamani' na 'CCM mpya'...
  3. Mzukulu

    Nani alikudanganya kuwa CCM na Polisi Tanzania hawana Vinasaba vya Undugu, Mshikamano na Ushirikiano?

    ULINZI WAIMARISHWA DODOMA: Dodoma: 07 Julai, 2020 Wakati vikao vya uamuzi vya Chama Cha Mapinduzi vikitarajiwa kufanyika Jijini Dodoma, ukiwemo Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama hicho, Jeshi la Polisi limesema limeimarisha zaidi hali ya ulinzi na usalama. Mkutano mkuu utafanyika Jumamosi na...
  4. S.M.P2503

    CHADEMA/ Tundu Lissu

    CHADEMA, Fanyeni upesi, mtuletee Tundu Lissu aje Kumjambisha huyu wa maendeleo ya vitu Kuliko watu. Lissu anafaa sana na ana vigevyo vyote. Pombe ikichacha humwagwa, nani wa kuimwaga basi, ni Lissu. Pombe ya bia haiwezi kujiona bora bila kupambanishwa na vileo vingine kama gongo, whiskey...
  5. jmushi1

    GE2020 Wana CCM wanaotaja Membe kuteuliwa na CHADEMA bila kumtaja Lissu, ni propaganda chafu. Membe hawezi kuteuliwa bila ridhaa ya Lissu!

    Wanajamvi, Naona kama kuna panic ya hali ya juu humu jamvini, ya members wengi maarufu humu mfano Troll JF johnthebaptist, wakidai kuwepo na kikao cha mwenyekiti wa CHADEMA na Membe kuhusu nafasi ya kuiwakilisha chadema kwenye uchaguzi mkuu wa rais mwaka huu Oktoba. Lakini kwa uelewa wangu...
  6. dosama

    Gari namba MT 0128 Mali ya Jeshi la Magereza ikiwa na Wafungwa inatumika kupandisha Bendera za CCM katika nguzo za barabarani hapa Dodoma Mjini Leo

    Gari namba MT 0128 Mali ya Jeshi la Magereza ,ikiwa na Wafungwa inatumika kupandisha Bendera za CCM katika nguzo za barabarani hapa Dodoma Mjini Leo 7.07.2020. Jeshi la Magereza limegeuzwa nguvu kazi ya CCM
  7. Samia atosha tukutane2030

    Tume huru ya uchaguzi haitoshi kuiondoa CCM madarakani

    Habari waungwana? Mara zote ukweli haupendwi na wapinzani na wanaCCM pia hawaupendi. Ukweli ni kwamba CCM haiwezi kuondolewa kwenye dola kwa kutumia tume huru ya uchaguzi. Simaanishi kuwa Tume huru ya Uchaguzi haina maana hapa nchini. Nitaelezea hili kwa njia ya swali kisha msomaji utajibu...
  8. M-mbabe

    VIDEO: Katibu wa Kanda ya Pwani Chadema atema cheche dhidi ya CCM na serikali yake

    Katibu wa Kanda ya Pwani Chadema, Hemed Ally, ametema zake cheche hizo mbele ya wananchi huko Bagamoyo. Msikilize....
  9. Tabutupu

    Nguvu ya Dodoma katika maamuzi ya Urais wa Zanzibar (CCM)

    Katika mchakato wa kutafuta mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2000, Amani Karume, aliyekuja kuwa mgombea wa chama hicho na baadaye Rais wa Zanzibar, hakuwa mgombea aliyeungwa mkono na wengi visiwani humo. Kulikuwa na kundi kubwa zaidi lililokuwa likimuunga...
  10. Chizi Maarifa

    Safari hii Jini Kizaizai atakuwa anazunguka tu ndani ya CCM yenyewe

    Uchaguzi huu ukipitishwa tu na CCM kugombea Udiwani au Ubunge, UMESHINDA. Wala hauna tena mashaka sijui upinzani. Yaani huku Lumumba ni watu kutafuta tu connection za watu majimboni. Sasa hivi ubaya ubaya unafanyika ndani kwa ndani; yaani usishangae tu ukasikia mtu kapitishwa na Chama kesho...
  11. mgt software

    CCM ya Mkapa na JK iliua njia kuu za usafirishaji kuneemesha matajiri, CCM ya Magufuli yasifika kwa kuuresha Matajiri waishi kama Mashetani

    Wana Jf, Katika watu wanaoleta hisia mzito mpaka kufikia hatua ya kutoa machozi ni pale unapoona watu wakishangilia urejeshwaji wa usafiri wa Treni, ufufuaji wa njia nyingi za treni tena nyingine watu walijenga juu yake hata kufika mitalimbo ya chuma kuitumia kama nguzo. walioshiriki kuua...
  12. jmushi1

    Hivi CCM wanaposema “wamefanya bora zaidi ya wengine”, je wanajifananisha na nani? Ni sisi wananchi tumelala au tumerogwa tusione?

    Wanajamvi, Nimekutana na thread nyingi sana za kuisifia serikali ya ccm kuwa imefanya vyema sana! Na kutuambia kuhusu maendeleo, huku wakijitapa na kijisifia! Lakini nimejikuta nikianzisha thread hii haswa baada ya kukutana na thread hii Asante Ndugu Rais. Majaribio ya treni yameanza Arusha...
  13. Mohamed Said

    Bernard Membe kutoka CCM kunanikumbusha siku Prof. Malima alipotoka CCM 1995

    BENARD MEMBE KUTOKA CCM KUNANIKUMBUSHA SIKU PROF. MALIMA ALIPOTOKA CCM 1995 Ilikuwa siku ya Ijumaa tarehe 15 Julai 1995, magazeti ya siku hiyo ‘’Majira,’’ ‘’Nipashe,’’ pamoja na gazeti la CCM ‘’Uhuru,’’ na Shirika la Habari la Tanzania (SHIHATA) walikuja na habari kubwa katika wino mweusi...
  14. B

    GE2020 Watia nia wengi CCM wameshakosa sifa za kuteuliwa

    WATIA NIA WENGI CCM WAMESHAKOSA SIFA ZA KUTEULIWA. Na Bashir Yakub, WAKILI. +255 714 047 241. Twende na Kanuni ya 35 ya Kanuni za uchaguzi wa Ccm za 2017. Kwanza katika kanuni hizi ambazo ndio msaafu wa maelekezo ya kupatikana kwa viongozi ccm hakuna kitu kinaitwa kutangaza/kutia nia...
  15. jmushi1

    Unless the international community acts soon, the ruling CCM will steal the October elections. Zanzibar will descend into crisis

    For generations, Tanzania has been a beacon of peace and stability in a region characterised by civil unrest. It has stood out as a wise kid among more restless neighbours. In 1979, for instance, the town of Moshi hosted critical Ugandan talks that led to elections in 1980. In 1993 and then...
  16. Erythrocyte

    GE2020 Ubunge wa CCM wageuka kituko, Komandoo Mashimo naye atangaza nia Jimbo la Kibamba

    Huku ndio tulikofikia .
  17. Mzukulu

    Wewe Kada Mwandamizi wa hapo CCM Ofisi Ndogo Lumumba uliyehoji kwanini simkubali Hussein Mwinyi haya ni Majibu yangu Kwako

    Kwanza nimefurahi kujua kumbe nawe ni mwana JamiiForums Mwandamizi na mkubwa kabisa lakini pia kumbe ni Mtu ambaye unapenda sana Kufuatilia Mada (Threads) zangu hapa hasa za Kisiasa. Sitaki Kukutaja Jina ila nashukuru tu ya kwamba Mtu ambaye umemuuliza Asubuhi ya Leo kwamba kwani Mzukulu...
  18. VUTA-NKUVUTE

    Mkoa wa Ruvuma: CCM bado ina nguvu kubwa; CHADEMA yaimarika, CUF yafifia; ACT-Wazalendo yachomoza

    Ni matumaini yangu kuwa kichwa cha habari hii kinatoa tahmini ya jumla juu ya mkoa huu wa Ruvuma. Niko hapa kwa takribani juma moja katika kufanya tathmini binafsi ya kisiasa kuelekea Oktoba mwaka huu. Nimepita Songea na Mbinga; Nikaenda Tunduru na Namtumbo; nikasonga hadi Peramiho na sasa niko...
  19. Ngongo

    Je, Nassari kujiunga CCM?

    Taarifa za chini ya Carpet Nassari atajiunga CCM leo. Ameonekana akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Hai, Ole Sabaya. Ikumbukwe Nassari alitumia style tofauti ya kuunga mkono juhudi.
  20. Mystery

    CCM inategemea vyombo vya dola wakati wapinzani wakitegemea nguvu ya Umma, Nani zaidi

    Kama alivyonukuliwa Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Bashiru Ally hivi karibuni "akijimwambafai" kuwa Chama chake cha CCM, kitaendelea kubaki madarakani milele na milele, kwa kutumia vyombo vyote vya dola vilivyopo nchini ambavyo kama alivyonukuliwa yeye mwenyewe kuwa wao ndiyo wanavimiliiki...
Back
Top Bottom